Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
duh! Duh! Duh! Mia.
Dah! Dah! Pole sana figganigga kwa mkasa uliokukumba, safari nyingine uwe makini ktk kuomba au kutoa namba za simu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh! Duh! Duh! Mia.
hujui kuna love at first sight na wwe ebo!Ndiyo mkome kutoa toa macho kwenye vyombo vya usafiri!
Tamaa tu ka za fisi. Sasa hapo umempenda au umemtamani?
nikiona uwezo wako wa dagaa nademand kuku. Lazima ukimbie.
Sasa atajuaje una mambo yako kibao ili asikuite???
Na kama kutongozana kwenye daladala siyo sawa akutafutie wapi? Si ndo maana kaomba namba ya simu ili akutongozee nje ya daladala?! mia.
Mmmh.... Mia!
Dah! Dah! Pole sana figganigga kwa mkasa uliokukumba, safari nyingine uwe makini ktk kuomba au kutoa namba za simu!
kweli penye miti hapana wajenzi.angekua tusker bariiidi aone.miakuna mdada mmoja nlishakaa nae kutoka mwenge kwenda posta nkamwona anahangaika kutaka kunsemesha akashinwa maskini
baadae mara ashike simu mara aniwekee mkono na kusema sory nkamwamngalia tu kwani
siku hiyo akili yangu ilikuwa haisomi network, tukashuka wote posta akajikaza kuniuliza benki ya CRDB iko wapi wakati inaonekana.
nkamwelekeza kwa kidole akasogea but huku akinianagalia nenda wapi
umejifunza nini baada ya maswahibu hayo?
kweli wengi wamejaa tamaa wanazani kila mwanaume ni buzi
wengine mnajitakia wenyewe kwani ukinyamaza kuna ubaya gani
Siku nyingine usirudie. Mia..
wanakukomesha, mpk akupe no ya simu anakujua? umezidi, tena mi watu wanaoomba no za simu ovyo huwa ndo nawaona malocal
.hizi comment zenu zinazidi kunivuruga akili.yaani hata wewe husninyo unaunga mkono madada wenzio wanayoyafanya?