Madada acheni tabia za kilocal

Madada acheni tabia za kilocal

wasichana wengi wamekuwa MAMAJUSI...yani wanatembelea nyota.ukija kichwa kichwa sio vocha tu, na salun, na shoping utampeleka wakati hata lako Wala jina lake la pili hulijui.
 
wasichana wengi wamekuwa MAMAJUSI...yani wanatembelea nyota.ukija kichwa kichwa sio vocha tu, na salun, na shoping utampeleka wakati hata lako Wala jina lake la pili hulijui.

mkuu wewe una akili sana.mia
 
wasichana wengi wamekuwa MAMAJUSI...yani wanatembelea nyota.ukija kichwa kichwa sio vocha tu, na salun, na shoping utampeleka wakati hata lako Wala jina lake la pili hulijui.
Hahaha!!!! Nimecheka kweli mkuu
 
Nia ya kutongoza wadada kwenye daladala ninini?? Kwanini ufanye hvyo wkt unajua waz kw hakujui wl humjuimmekutana km zali. Hujionei huruma??
 
mie nadhani wewe ndo unatabia za kilocal za kutongoza tongoza hovyo hovyo. And therefore ur tittle inatakiwa ibadilike kuwa "wakaka tuacheni tabia za kilocal" mods plz!
 
Umeyataka na ulichopata ni stahili yako. Unafikiri kila unayekutana nae anawaza mapenzi tu. Next time utachagua cha kuongea badala ya kutongoza hovyo.
 
mie nadhani wewe ndo unatabia za kilocal za kutongoza tongoza hovyo hovyo. And therefore ur tittle inatakiwa ibadilike kuwa "wakaka tuacheni tabia za kilocal" mods plz!

mimi sina mtu ndo naanz kutafuta. Je nikikutana na yule mwenye sifa nnazotaka nsimsemeshe? sasa nifanyeje? Mia
 
Umeyataka na ulichopata ni stahili yako. Unafikiri kila unayekutana nae anawaza mapenzi tu. Next time utachagua cha kuongea badala ya kutongoza hovyo.

Msichana ni kutongozwa. wewe hapo ulipo usipotongozwa mwezi tu lazima ukonde na kuanza kuwaza kwenda kwa karumanzila. MIA
 
Back
Top Bottom