madada wa kibongo kwanini mko hivi??why?

halafu dada zenu sisi jamani ni wazuri/warembo, nimefanya kazi na hao wa niger/cameroun hakuna kitu, na tunajitambua pia, sio wote wapo mnavyofikiria ni hizo asilimia chache mlizokutana nazo.

Aminia dada.

Hapa tunapoteza muda. Watu wanatakiwa kujua kuwa duniani (including Bongo) wapo baadhi ya wanaume ambao ni washenzi na wakatili kama ambavyo wapo wanawake wa namna hiyo. Kwa hiyo sipendi kuona wote tunatukana hovyo badala ya kuwaongelea hao wanaofanya upuuzi.
 
nadhani hujui unaongea nini sasa......ona hapa chini



kwa hiyo unahalalisha sisi kutumiwa kishenzi shenzi na nyie lakini si watu wengine eeeh

pity...!!!
hehe shem si unajua wenyewe kwa wenyewe tunajuana?sasa hata gari ikiwa mtumba umetumika ulaya kisha japan kisha dubai kisha bongo unakua mtumba kweli
 

thanks big brother

hizi porojo tu za vibarazani kule bwagamoyo................
 
halafu dada zenu sisi jamani ni wazuri/warembo, nimefanya kazi na hao wa niger/cameroun hakuna kitu, na tunajitambua pia, sio wote wapo mnavyofikiria ni hizo asilimia chache mlizokutana nazo.
kwa swala la urembo ni warembo sana isee hapo hakuna mjadala,si ndio maana tunasikia wivu mkiwa mnachezewa chezewa km karata.
 
watu wanaandika andika tu...........................
mambom gani mhaya mbona mi sielewi??????????????????
tusichoshane jamani kabla ya maisha bora kwa kila mmbongo hayajatufikia.............
 
Pole sana babukijana umetoswa... Matatizo yako pande zote za mahusiano sio madada tu hata nyie kina kaka mna mengi makubwa na mazito ...tunaenda mdogo mdogo tu !!
 
watu wanaandika andika tu...........................
Mambom gani mhaya mbona mi sielewi??????????????????
tusichoshane jamani kabla ya maisha bora kwa kila mmbongo hayajatufikia.............


haya maisha bora yatafika lini niendelee kusubiri


 
watu wanaandika andika tu...........................
mambom gani mhaya mbona mi sielewi??????????????????
tusichoshane jamani kabla ya maisha bora kwa kila mmbongo hayajatufikia.............
mkuu hizo bangi nenda kale ugali kwanza,we unasubiri maisha bora wakati mwenyewe aliyekuahidi yuko visiwa vya bahamas anakula life we unangoja tu hapo manzese kalaghabaho.
 
BabuKijana uko sawa kabisaaaaa. dadazetu sijui wamerogwa na foreigners!!! hawakatai hata km huyo mtu huko anakotoka ni sawa na manzese lkn utasikia mdada anajisifu eti Msauzi yulee. aibu tupu wanaishia kudanganywa tu na kuachwa solemba hapa bongo

Hahahahah! Yaani hata wale Wazaire wanaofanya kazi za kutengeneza kucha za wanawake kwenye saloons wanawatafuna sana dada zetu jamani.

Hata wale wakata viuno kwenye bendi za Ndombolo ya Solo pia wanawapata mteremko, kisa ni ''FOREIGNER''......Ngoja namimi niende zangu Ethiopia au Rwanda nikaitwe Foreigner.....!!!
 
watu wanaandika andika tu...........................
mambom gani mhaya mbona mi sielewi??????????????????
tusichoshane jamani kabla ya maisha bora kwa kila mmbongo hayajatufikia.............

Ama kweli Vasco da Gama atashinda tena uchaguzi, maana bado kuna watu wanasubiri awafikishe kwenye nchi ya ahadi.
 
Pole sana babukijana umetoswa... Matatizo yako pande zote za mahusiano sio madada tu hata nyie kina kaka mna mengi makubwa na mazito ...tunaenda mdogo mdogo tu !!

Mbaya zaidi kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, Wabongo ndio tunaongoza kwa kuwa na mabinti warembo, ukiondoa Rwanda na Burundi ambao wako wachache sana, wanaume wengine wote wakija Bongo wanachanganyikiwa, na daeda zetu ndio hao mcharuko. Nadhani hata idadi ya wahamiaji haramu ni kubwa mno hapa nchi, ''benefits'' ni nyingi mno.
 

Kaka jisalimishe Jolly Pub jionijioni.....
 
Hii inanikumbusha dada mmoja niliwahi kufanya kazi naye mahali fulani akaja kupata kajamaa kanadai kenyewe ni Kaswaziland ila wazazi wake walihamia DRC siku nyingi sana. Huwezi kuamini demu alikuwa anamwaga fedha kwa jamaa kisa eti mchumba watakuja kuoana. Jamaa alivyokuwa mhuni alifunga ndoa ya serikali na yule demu akamwambia ampe pesa za mtaji aende Dubai kuchukua mzigo wa simu afanye biashara. Taarifa nilizonazo mdada alitoa 5ml na jamaa tangu mwaka jana August bado yuko Dubai ananunua simu, binti alidata alikuwa anatoa shikamoo mpaka kwa cleaners aliowazidi umri mara 2.
 
Hahahah,huu mjadala...

Unajua inategemea na mindset za watu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…