Madada wa mujini, role model wenu anajitapa kuitafuta ndoa ya tano

Madada wa mujini, role model wenu anajitapa kuitafuta ndoa ya tano

Sikupingi mzee mwenzangu..
We hata ukisema mchanga mtamu mie naramba, ukiniambia mchanga sukari naunga kwenye chai kabisa...[emoji23]


Lile linaonekana ni gwagu, jini makata subiani,maimuna wapo kwa hewa, waganga itakuwa waishatia tia saana vikojoleo ili dawa itende kazi.[emoji23]
Haahaaahaa[emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Sikupingi mzee mwenzangu..
We hata ukisema mchanga mtamu mie naramba, ukiniambia mchanga sukari naunga kwenye chai kabisa...[emoji23]


Lile linaonekana ni gwagu, jini makata subiani,maimuna wapo kwa hewa, waganga itakuwa waishatia tia saana vikojoleo ili dawa itende kazi.[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah maisha yanaenda kasi sana.

Nikikumbuka zile jingo zake naishiwa nguvu kbsa.

“ D ai double d aa aka mama kumbi la moto, wa muheshiwa, mama meya anhaaa aaaa inawachoma” in Dida voice
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]halafu hajali wala nini... Enzi hizo alika,Dida wa mchops,akaja Dida wa G,ikisha Dida wa Ezden,Mara Dida wa meya[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuikimbia ndoa ya nne Dida shaibu amejitapa kuwa tayali yupo kwenye mahusiano mapya na mwakani 2022 ataolewa tena ndoa ya tano.

Dida amesema wakati anafunga ndoa na mhe.Kumbilamoto kuna mtu mwingine ambae alikuwa nae kwenye mahusiano lakini mapenzi yao yalikufa baada ya yeye kuolewa.

Na sasa ameamua arudi kwa mpenzi wake wa awali ambaye ni kijana.

Katika utetezi wake Dida anasema "kaachwa mama Neilson Mandela atakuwa yeye!!" na kuwataka watu waache kumdisi.

Ikumbukwe wakati anaolewa Dida alisema huyo ndiye atakaekuwa mume wake wa kufa na kuzikana.

View attachment 2059224
Atakayemuoa huyo m.a.l.a. y atakuwa karogwa!
 
Tena mheshimiwa hakua peke yake, ila alimzidi kete mpinzani wake na sasa mpira unarudi kwa keeper.
Hata huyo keeper hayupo peke lazima kutakuwa na mabeki katili wanaomsaidia keeper.
Itakuwa kumeota sugu hivyo brashi moja haimtoshi.
 
Back
Top Bottom