Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila korona kama bado ipo ule mkutano hakuna atakaepona aiseeMkutano mkuu wa CCM ulikuwa ndio kielelezo kikukuu cha korona kama ipo au la.
Hata sijui nchi za wenzetu wanakosea wapi? Au hawajui kuhusu kupiga nyungu, limao na tangawizi!
JPM ndiye baba lao.
Subiri 14 days ndio majibu ya kitaalamu utayapata.Mkutano mkuu wa CCM ulikuwa ndio kielelezo kikukuu cha korona kama ipo au la.
Hata sijui nchi za wenzetu wanakosea wapi? Au hawajui kuhusu kupiga nyungu, limao na tangawizi!
JPM ndiye baba lao.
Mengi humshinda, je anaweza sema afe yeye na akafa?Mungu ni MKUBWA na hufanya apendavyo na hakuna limshindalo na anapoamua kufanya husema tu KUWA na KITU KIKAWA bila kujali nani ana nini na nani anasemaje.
Ni Taifa teule!Kwingine Corona Inaua, Tanzania pekee ndio Corona haiui.
Kwingine Corona imeua uchumi, Tanzania pekee ndio Corona imekuza uchumi Hadi uchumi was kati
Corona imeendelea kuleta shida kwa taifa la Madagascar, hasa baada ya wao kugundua dawa ya corona.
Rais wa Madagascar ametangaza kua wabunge 2 aamekufa kwa Corona huku wabunge wengine 25 wakipatiwa uangalizi wa karibu na madaktari baada ya kuugua ugonjwa huo.
Wiki iliyopita mji mkuu wa Madagascar Antananarivo uliwekwa vizuizi vya kutoka nje ili kudhibiti maambukizi mapya ambayo yameshika kasi kubwa
Madagascar's president says two lawmakers have died from COVID-19
===
ANTANANARIVO (Reuters) - Two lawmakers in Madagascar have died of COVID-19 and at least 25 members of parliament and of the senate have been infected with the virus since the first case was confirmed on the island in March, President Andry Rajoelina said late on Sunday.
Madagascar has had 5,080 confirmed novel coronavirus cases since then, and 37 deaths, according the government data.
A countrywide state of health emergency has been in place since March and the authorities re-imposed a lockdown in the capital and surrounding areas last week to contain the virus’s spread.
“One deputy died. A senator died. After the tests carried out on the deputies, 11 members of parliament were detected carrying the coronavirus. At the Senate, 14 people, senators and agents of Senate carry the coronavirus,” Rajoelina said during an appearance on a talk show on national television late on Sunday.
He did not say when the lawmakers died, and did not name them.
Rajoelina also said that he and his family had been taking “Covid Organics”, Madagascar’s self-proclaimed, plant-based “cure” for COVID-19 that was launched in April, despite warnings from the World Health Organisation that its efficacy is unproven.
“It is true that I have been in contact with people likely to carry the coronavirus. I have even entered hospitals that care for patients with Covid-19. I’m fine,” he said.
“I don’t carry coronavirus at all. I have no symptoms. Thank God. I follow the directives that I have given myself. But above all, me and my loved ones, my wife and my children, we drink and we follow a treatment based on the Covid Organics concoction.”
hahhahahaahahahahapo ndio utagundua kua mganga hajigangi ...
Kama watu walipona kwenye ile party ya kuaga corona,sioni ni vp kwenye huu mkutano ndio wasipone.Ila korona kama bado ipo ule mkutano hakuna atakaepona aisee
Utasubiri sana sisi tupo na Mungu wetu. Usifanye masihara na kufunga siku tatu kwa maombi then kufunga siku tatu kwa shukrani. Mwacheni Mwenyezi Mungu atende yake kwa maana yeye ndio muweza wa vyote.TZ tusubiri maambukizi makubwa baada ya mikutano ya CCM huko Dodoma maana si kwa starehe zile!!!! Kungwi mwenyewe, waziri wa afya, hakuvaa hata barakoa ya majani.
Poleni majirani kwa wivu!! Poleni kwa kuwa ndani ya top 10 kwenye covid 19 in Africa. Poleni Sana Kenya kwa kukazimika kufungua shule Hadi 2021 kutokana na Corona!! Tanzania tunasonga mbele Mungu ametuponya. Mlitucheka lakini Sasa roho zinawauma! Ila Mungu Ni wa wote, mkimwamini kwa dhati atawaponya pia kamaTaifa. Ila mahali pa kuanzia ni kuomba msamaha kwa wote mliowakejeli walipomtegemea Mungu badala ya kutegemea lockdown!! Bila hivyo Corona itawamaliza!Mtukio 2 ya ajabu duniani 2019:
1. Kupima Corona mapapai, oil, mbuzi n.k
2. Kufuata dawa ya Corona Madagascar
Akili yako kama mapapai tu! Masikini husifia atachawa wake!Poleni majirani kwa wivu!! Poleni kwa kuwa ndani ya top 10 kwenye covid 19 in Africa. Poleni Sana Kenya kwa kukazimika kufungua shule Hadi 2021 kutokana na Corona!! Tanzania tunasonga mbele Mungu ametuponya. Mlitucheka lakini Sasa roho zinawauma! Ila Mungu Ni wa wote, mkimwamini kwa dhati atawaponya pia kamaTaifa. Ila mahali pa kuanzia ni kuomba msamaha kwa wote mliowakejeli walipomtegemea Mungu badala ya kutegemea lockdown!! Bila hivyo Corona itawamaliza!
Ila sisi tumemaliza kolonaNaendelea kukumbushia tu kwamba hiki kitu kinahitaji suluhu la kisayansi, acheni vikombe vya babu na wengine mumejichokea.
Watz walifuata vikombe vya Madagascar kwa mbwembwe na kwa kutumia ndege ya ikulu. Sasa hao waliowapa msaada wa vikombe wanapukutika, wamepoteza wabunge.
Tuzingatie njia za kisayansi na pia tuchukue tahadhari.
Madagascar: Rais atangaza Wabunge 2 kufariki kwa Corona, 25 wengine wanaumwa
Watafuata utaratibu tuWaunde tume kuchunguza na kuangalia kama wamewahi kupokea Barakoa kutoka kwa mabilionea wa kibeberu.Yule waziri aliyekejeli kuwapa pipi watoto wapoze uchungu wa covid aangaliwe nyendo zake na mahusiano yake.
Hawakuwa na imani haoWabunge wawili wa Madagascar wamefariki kwa ugonjwa wa corona. Waandamizi 11 na maseneta 14 pia wamekutwa na corona. Madagascar imeripoti visa 2,573 vikiwepo vip 35 kutokana na corona. Two Madagascar lawmakers die with coronavirus
Je dawa ya corona iitwayo "green gold" tuliyonunua kwa kutumia ndege ya rais itatusaidia kama inaonekana haiwasaidii hata maofisa wakubwa wa Madagascar?
Inawezekana kweli corona inamwogopa magu yaani mikusanyiko yote ile lakini bado anadunda?corona is not fair at allMkutano mkuu wa CCM ulikuwa ndio kielelezo kikukuu cha korona kama ipo au la.
Hata sijui nchi za wenzetu wanakosea wapi? Au hawajui kuhusu kupiga nyungu, limao na tangawizi!
JPM ndiye baba lao.