Madagascar wao hawana visingizio,wanashine tu,Taifa stars tunafail wapi?

Madagascar wao hawana visingizio,wanashine tu,Taifa stars tunafail wapi?

😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we Jamaa acha kutuvunja mbavu kiasi hiki lol! Hahahahaha

Tunafeli pale ilipoanza kuitwa taifa staa

Kuiombea taifa staa , ni matumizi mabaya ya maombi na kumjaribu bwana Mungu wako
 
hahahahahahaha huwezi jua labda kukosekana kwa njumu kunasababisha wakose ushindi, of course with a light touch.
Hahahahhah. Umenichekesha balaa. Hivyo basi Algeria lazima wakae.
 
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?
Ngoja nicheke ki Xhona kkkkkkkkkkkkk
 
Nimecheki huo mpira Mwanzo mwisho hadi nikamuuliza jamaa yangu hivi ni hawa Madagascar tuliopeleka majeshi yetu kutuliza mapinduzi!!? Akanijibu ndio hawa hawa
Yaani acha tu. Kweli mpira ni ufundi siyo maneno.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we Jamaa acha kutuvunja mbavu kiasi hiki lol! Hahahahaha
Kwa nini mkuu wangu ! ?

Samahani sana kwa kuvunja mbavu zenu inabidi muwahi hosipitali ya gavamenti
 
Umeona eeh. Hata mimi leo nimejiuliza hawa Madagascar wanashiriki kwa mara ya kwanza. Sisi mara ya pili baada ya miaka 39.Madagascar wamemfunga aliyewahi kuwa bingwa AFCON mara kadhaa. Sisi Senegal tulimwogopa kabla hata hatujakutana nae. Halafu tuna visingizio vya uzoefu. Hawa Madagascar wao wanashinda na leo wameongoza group.
Tumeshajifunza! Miaka ijayo tutafanya vizuri
 
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?

Tunatekeleza ilani ya uchaguzi ya ccm.
 
Walikua na mpango wa mda mrefu kuingia AFCON,...
waliingia kwa mizani sahihi kwa ushindani wakashinda na sio kubebwa tu kwa huruma ya jirani.
Hawana siasa za majitaka zinazowaga watu katika kuipa support team yao, kwani unapoigawa team kisiasa ujue pia kwa wachezaji pia wapo wa upinzani ndani yao...
Wana uongozi UNAOJITAMBUA (sauti ya speaker wa Bunge) hivyo wanajua kusimamia watu wao
Madagascar wanashiriki AFCON kwa mara ya kwanza,wamemtoa jasho GUINEA na leo wanamtoa Jasho Nigeria,hope watashinda.Wao kazi yao ni moja tu kusukuma ball haijalishi aliye mbele yao ni Nigeria ama GUINEA.Tanzania taifa stars tunafail wapi?
 
Rais wa Caf - From Madagascar, Makamo wa Rais - From Nigeria, Mke wa Kocha wa Nigeria - From Madagascar, before last group stage Nigeria was Already Qualified "Alisikika Mlevi mo=moja akisema.
 
Sasa kama wenzetu wanaruhusu uraia pacha na bahati nzuri walitawaliwa na wafaransa; wazee wa assimilation policy, kwa nini wasifanye vizuri!

Wachezaji 21 kati ya 23, wanacheza nje ya nchi hasa Ufaransa kwenye klabu kubwa kubwa tu! Sisi huku kuna chama kinaitwa ccm eti kinaogopa nchi yetu kuwa na uraia pacha kwa sababu itatokea vita!

Tungeruhusu uraia pacha, huenda tungepata wachezaji wengi wazuri wenye asili ya Tanzania kuja kuisaidia nchi yetu kwenye sekta ya michezo na pia kwenye sekta nyingine ikiwemo ile ya uchumi.
 
Back
Top Bottom