Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Sometimes tuachane na ushabiki wa Tz vs Ke na tuwe wakweli. Utafiti wa aina gani wakati walishaanza kuinywa hukohuko Madagascar kabla hata haijatua nchini? Na nasikia ilipotua hapa wakagawana! 🤔 🤔 isitoshe utafiti unachukua miezi mingapi maana hadi leo hawajatueleza walichogundua."Serikali haijachukua dawa ya kutibu virusi vya Corona kutoka nchini Madagascar kwa lengo la kugawa kwa wananchi bali ni kwa ajili ya utafiti na uchambuzi"
Endelea kupotosha maana nyuzi zako bila kupotosha huwa unaona hujaandika chochote yaani,
Serikali Kuifanyia Uchunguzi Dawa ya Virusi vya Corona Kutoka Madagascar