Madagascar waongeza lockdown baada ya kirusi kuzingua balaa, hivi hawa si ndio Wabongo walifuata dawa yao kwa ndege

Madagascar waongeza lockdown baada ya kirusi kuzingua balaa, hivi hawa si ndio Wabongo walifuata dawa yao kwa ndege

Bado tuko kwenye stage za mwisho kuanza kuigawa kwa watanzania.. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] 😉 😉 😉
Sisi hatuumwi. Kazi tuliyonayo ni kuwahamisha ndugu zetu walioko huk o msije kuwaua kwa hasira zenu za kushindwa.
 
Afrocinema continues shortly.....[emoji1]
IMG_4170.JPG[IMG]
Huyo waziri wa mambo za kigeni anatuangusha. Huyo ni msomi lakini anafanya mambo yasioeleweka.
 
Huyo dogo anapenda neno la kujichokea...utadhani ni mtoto anayeanza kujifunza a e i o u....kujichokea ni nini ndugiu..kama huna msemo mingine tuambie tukupe unatuchosha sasa. Afu tu nikujibu kistaarabu ukitaka kujua mambo ya tz wala huna sababu ya kuharisha kqa usiyojua huku. Unajionesha ulivyo na hasira na roho mbaya. Tafuta wakenya ambao wamejazana huku waulize. Kama huna watafute wale wanaofahamika huku wapo wakenya kwenye timu zetu kibao wanafurahia maisha. Hicho kitu unachojifariji nachonhatuwezi fanana. Hutaki au unataka tatizo la corona limebaki historia huku. Hakuna anayekufa na kils wiki tunafunga vituo tulivyokuwa tumevitenga. Hakuna aliyejichokea huku maana hatujafungia. Tunapiga kazi kaziaana hapa ni kazi tu. Kama unaendelea kubabanywa ili tujue unajua kuchonga endelea ila siku mojs utakosa chs kubwabwanya huku. Mi nifanya kazi hospitalini tena za serekali hakuna wagonjwa wa corona. Mitaani the same. Ninyi wakenya mlikosea sana pale mlipomdharau Mungu mkajifanya wana sayasi wakati hata sayansinyenyewe inakataa lockdown zenu. Na sasa hivi mnachokipata ni fundisho kwamba Mungu hadhihakiwi. Sisi tulijua hatuwezi tukaamua kumtegemea aliyejuu ya wanasayansi wote na tumeshavuka huko hata kama ukisikia hivyo inakuuma lakin huo ndio ukweli. Unaweza tengeneza story ndefuuu but ukweli unaujua na ukweli haujifichi. Huwezi kuficha vifo wala ugonjwa. Ila kws vile unatafuta tufanane wewe endelea kuropoka tu huku sisi tunadunda. Poleni

Hehehehe!!! Pole naona imekuingia vibaya, ila ndio huo ukweli, tatizo hautaki kuambiwa kama ilivyo, na utachoka sana bro maana utakumbushwa kila siku kwamba mumejichokea kwenye safari dhidi ya hiki kirusi na kuachia liwalo na liwe, wa kufa afe na wa kupona ajiponee, hamna mbinu hata moja mnayotumia ya kisayansi au kitaalam, mnajipa mizuka tu ya kujiaminisha kwamba hamna corona, imepona kwenu.
 
Nakubaliana na wewe kwenye suala la kuchukua tahadhari lakini nikueleze tu kuwa magonjwa yote yanayosababishwa na virusi hayana dawa bali wanahangaika na dalili tu (symptomatically). Treatments can only help with symptoms while you wait for your immune system to fight off the virus. Antibiotics do not work for viral infections...

Imekuwa hivyo kwa magonjwa yote yakiwemo HIV/Aids, surua (smallpox), mafua (common cold/ flu), mumps, rubella, tetekuwanga (chicken pox), shingles, homa ya ini (hepatitis), mkanda wa jeshi (herpes and cold sores), homa ya kichaa cha mbwa (rabies), ebola and hanta fever, etc...

Uko sahihi, ni kweli kirusi hakina dawa ya kuponya ila dawa hubuniwa za kupunguza makali, kama ilivyo kwa HIV, binafsi sikumaanisha tusubiri dawa ya kuponya na tusitegemee wala kuitarajia. Uzuri wa hiki kirusi haki-mutate sana, hivyo watalaamu wanapambana kupata kinga dhidi yake, haitakua na ugumu kama wa HIV.
Mpaka sasa kuna aina kadhaa ya madawa ambayo yanafanyiwa majaribio, hususan kwa ajili ya kusaidia kupunguza siku unazoumwa corona.
 
😃😃😃😃 the thing You don't know is that we took SAMPLE to test the standards before consumption
 
Nakumbuka picha za mawaziri wa Tz wakinywa vikombe vya dawa ya Madagascar iliyofuatwa kwa ndege ya ikulu, wabongo wakawa wanatokwa mipovu walipoambiwa muhimu hiyo dawa ikafanyiwa ukaguzi wa kisayansi kabla ya kuichangamkia kama walivyofanya kwenye kikombe cha babu.

Sasa hao wenzetu Madagascar kwao huko wameingia lockdown baada ya kirusi kuwatesa zaidi, hii ina maana tusubiri dawa ya beberu tu hamna namna, hiki kirusi kinaboa kishenzi ila haipaswi kujichokea na kujiaminisha hakipo.

=======

Madagascar has placed its capital Antananarivo under a fresh lockdown following a new surge in coronavirus infections, two months after the restrictions were eased, the presidency announced Sunday.

"The Analamanga region [under which the capital is situated] is returning to full lockdown," the presidency said in a statement.

No traffic will be allowed in or out of the region starting Monday until July 20.

A strict curfew will be imposed on street movement by people.

"Only one person per household is allowed to go out into the street between 6:00 am (0400 GMT) and 12:00 pm (1000 GMT)," said the statement.

The measures have been taken "because of the spread of the epidemic and the increase of COVID-19 cases," it added.

Used to registering dozens of coronavirus cases a day, Madagascar has in recent days seen an exponential rise in daily numbers, jumping to a record 216 cases on Saturday.

The latest tally came after 675 people were tested.

Nearly 24,000 tests have so far been conducted on the impoverished island.

By Sunday the country had a cumulative 2,728 cases, including 29 deaths since the virus was first detected on the Indian ocean island on March 20.

All government meetings will now be held via video conferencing, while court hearings have been suspended.

In April, President Andry Rajoelina launched a local herbal concoction he claimed prevents and cures the novel coronavirus.

Rajoelina has been promoting the brew for export, saying it is the country's "green gold" which will "change history".

The potential benefits of COVID-Organics, a tonic derived from artemisia -- a plant with proven efficacy in malaria treatment -- and other indigenous herbs, have not been validated by any scientific study.

Source: Madagascar re-imposes lockdown amid surge in virus cases
Ukiiongelea tz naomba uwe na heshima bro. Nangojea kurudi mku Hadi leo border hamjaiopen.
Hivi, haujiulizi tz ina nn cha ziada ambacho kimeufunika ugonjwa huu? Huu ugonjwa haufichiki, vifo havifichiki ndugu. Tz tungekuwa tumeumbuliwa Kwa naelfu ya vifo Kwa sasa. Kwaivyo, naomba ujiulize tz imefanya nn cha ziada?
Ni vyema maraisi wangeandaa (WHO) press conference wamuite magufuli kama mgeni wa heshima, aihutubie dunia jinsi ya kujikinga dhidi ya huu ugonjw
 
Ukiiongelea tz naomba uwe na heshima bro. Nangojea kurudi mku Hadi leo border hamjaiopen.
Hivi, haujiulizi tz ina nn cha ziada ambacho kimeufunika ugonjwa huu? Huu ugonjwa haufichiki, vifo havifichiki ndugu. Tz tungekuwa tumeumbuliwa Kwa naelfu ya vifo Kwa sasa. Kwaivyo, naomba ujiulize tz imefanya nn cha ziada?
Ni vyema maraisi wangeandaa (WHO) press conference wamuite magufuli kama mgeni wa heshima, aihutubie dunia jinsi ya kujikinga dhidi ya huu ugonjw

Vifo Afrika havishuhudiwi kwa maelfu, hata sisi ambao hatufichi kama mnavyofanya, mpaka sasa Kenya tuna vifo 160, pona yetu Afrika ni kwamba kuna namna moja au nyingine hatufi kwa hiki kitu. Hivyo hata kukificha sio kazi ngumu, haswa kwa nyie ambao mumefanya kuumwa corona kama ni aibu fulani hivi.
 
Wakenya acheni ubishi pigeni nyungu

Kunyweni tangawizi,vitunguu swaumu na limao. Corona kwisha habari yake mpaka tunafanya matamasha ya shukrani,shule tumefungua. Ebo Tanzania ipo imara
 
Back
Top Bottom