Shetani na makala wake waanza kushika zamu zao kwa kasi ya kutisha. Mungu hajawahi kushindwa. Akili za mwanadamu haziwezi kuchunguza na kujua matendo makuu ya Mungu bila ya msaada wake.
Chanjo zinako zalishwa zinapingwa na kutiliwa shaka kwa kiasi cha kutosha. Wakati huo huo wengine wameamua kuchagua utahira wa kutojifikirisha, kulikoni? Corona free passport.