#COVID19 Madagascar yakubali kupata chanjo ya Covid-19

#COVID19 Madagascar yakubali kupata chanjo ya Covid-19

Kwa hiyo mbwembwe zote zile! Tukapeleka na ndege maalum kabisa kwenda kuchukua mzigo! Prof akapiga picha akigigida lichupa la juisi hadharani! Yote hayo ni kazi bure! 😇
 
Dah jamaa waliingiza serikali yetu pendwa ya mwendazake Cha kike
Kabudi inabidi aombe radhi
 
Jiwe na kabudi ni wachawi Sana ,mmoja kaondoka kwa ubishi wake kabaki mzee wa kutoa macho ka mjusi guluguja
 
Shetani na makala wake waanza kushika zamu zao kwa kasi ya kutisha. Mungu hajawahi kushindwa. Akili za mwanadamu haziwezi kuchunguza na kujua matendo makuu ya Mungu bila ya msaada wake.

Chanjo zinako zalishwa zinapingwa na kutiliwa shaka kwa kiasi cha kutosha. Wakati huo huo wengine wameamua kuchagua utahira wa kutojifikirisha, kulikoni? Corona free passport.
 
anayekuuzia supu ya pweza nae kaachwa na mkewe kwasababu hamridhishi
 
Sasa hili povu humu utafikiri mlinyweshwa hizo dawa za Madagascar,serikali haikuzinunua ilipewa na kuja kuzifanyia majaribio na wakati huo hakukuwa na chajo na serikali haikuwahi kugawa kwa raia hadi sasa hili povu la nini?
 
Back
Top Bottom