Madahara ya kukutana kimwili nje ya ndoa au pasipo kuwa katika ndoa

Hii kitu MAROHO wafia dini wengi mnapenda sana kudanganya watu eti maroho na blahblah nyingi huku mkiquotes vifungu vya bible.
Wakati nyuma ya pazia ndio mnaongoza kuwatafuna kondoo wenu bila ya huruma.
 

Halafu weweee long time kweli ujue mtabibu wangu!
Nimefurahi mnoo kuona comment yako
gorgeousmimi
 
Vijana wapo busy na kula tunda kimasihara tu....hatari sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…