Madai ya Lissu ya hongo CHADEMA na maswali tata.

Madai ya Lissu ya hongo CHADEMA na maswali tata.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana,

1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali?
Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo michezo ambao wasingeacha alama au ushahidi ikiwa wangeweza au hata wangeshindwa kumuhonga Lissu?

2.Wanawahonga CHADEMA ili iweje?
Kwani mtu si anaweza kuchukua pesa na akiendelea kuinyuka CCM na serikali tu, kauli mbiu mojawapo ya Lema akiwa anagombea Arusha alikuwa anasema kula "CCM kulala CHADEMA", alikuwa anawaambia wapiga kura wachukue hongo/takrima ya CCM lakini waipigie kura CHADEMA. Haiwezekani viongozi wa CHADEMA wanaodaiwa kuhongwa wameamua kutembea na msemo wa Lema?!

3.Pesa zinazohongwa zinatoka katika mfuko gani wa serikali ambao haujazua maswali mpaka sasa?

4.Kama kusingekuwa na hiyo hongo nini kingekuwa cha tofauti CHADEMA kwa sasa?

5.Kwa nini haya madai mpaka sasa yanahusisha Wenje na Lissu tu? Kwa nini Lissu hataji watu wengine alioambiwa wamehongwa?

6.Haiwezekani hao anaoambiwa wamehongwa hawajahongwa bali ni mchezo wa kisiasa tu? Ana ushahidi gani zaidi wa maneno ya kuambiwa kwamba kuna wengine wengi wamehongwa?

7.Lissu alikuwa anataka kuhongwa shillingi ngapi na Abdul?
 
Watu hamjifunzi..... Sababu ipi inakufanya umwamini Lisu au Wenje au Mbowe au Abdul kama walishakuaminisha vitu vingi Kisha ukaja kugundua yote uongo.

Mimi simwamini mwanasiasa yeyote awe CCM au Upinzani.... Naamini nachokiona tu....

Naamini binadamu yeyote kabla ya chochote hujipigania mwenyewe kwanza. Naona kuna watu wameingia kwenye mtego wa kuamini kila asemacho Lisu and they are drank ....nothing can change their minds until Lissu does the opposite of what they believe.
 
Huelewi Siasa .

Katika mpambano wa kisiasa huwezi kutumia silaha yako mara moja Hadi iishe makali.

Kwenye mpambano wa uenyekit CDM Lissu anaitumia silaha ya hongo Kwa uangalifu mkubwa ili isiishe makali mapema Kwa kuwa anajua anahitaj kuendelea kuitumia.

Anaitoa ndani anapiga kisha anairudisha ndani had kesho tena .
 
Nafikili hujamsikiza kwa makini LISSU kuhusu kumsema WENJE na ABDUL kuwahonga viongozi wa CHADEMA


Mimi nasubili wajumbe wa kamati kuu kukana kupokea kwa tuhuma za rushwa kwa maandishi Kila mmoja tuhuma zikimtuhumu WENJE na wengine

Mwisho kwa nn kamati kuu ilishindwa kuwaadhibu eiza WENJE au LISSU baada ya kubaini ukweli ni upi

Ikiwa LISSU alikuwa anaongopa kwa nn hakuchukuliwa hatua

Na ikiwa ni kweli kwa nini WENJE hakuchukuliwa hatua

Kwa mawazo yangu binafsi baada ya kusikiliza pande zote mbili nachelewa kusema pesa za ABDUL zilifka kwa mwenye chama na ndio maana mwenye chama akapuuzia
 
Watu hamjifunzi..... Sababu ipi inakufanya umwamini Lisu au Wenje au Mbowe au Abdul kama walishakuaminisha vitu vingi Kisha ukaja kugundua yote uongo.

Mimi simwamini mwanasiasa yeyote awe CCM au Upinzani.... Naamini nachokiona tu....

Naamini binadamu yeyote kabla ya chochote hujipigania mwenyewe kwanza. Naona kuna watu wameingia kwenye mtego wa kuamini kila asemacho Lisu and they are drank ....nothing can change their minds until Lissu does the opposite of what they believe.
💯✔️
You've just summarized it all, the all motherfvckers are one and the same.
Never trust politicians, never trust ANY damn politician.
 
Watu hamjifunzi..... Sababu ipi inakufanya umwamini Lisu au Wenje au Mbowe au Abdul kama walishakuaminisha vitu vingi Kisha ukaja kugundua yote uongo.

Mimi simwamini mwanasiasa yeyote awe CCM au Upinzani.... Naamini nachokiona tu....

Naamini binadamu yeyote kabla ya chochote hujipigania mwenyewe kwanza. Naona kuna watu wameingia kwenye mtego wa kuamini kila asemacho Lisu and they are drank ....nothing can change their minds until Lissu does the opposite of what they believe.

View: https://youtu.be/rTWpnMO7kto?si=54k-QsjtgmlxtnQw
 
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana,

1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali?
Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo michezo ambao wasingeacha alama au ushahidi ikiwa wangeweza au hata wangeshindwa kumuhonga Lissu?

2.Wanawahonga CHADEMA ili iweje?
Kwani mtu si anaweza kuchukua pesa na akiendelea kuinyuka CCM na serikali tu, kauili mbiu mojawapo ya Lema akiwa anagombea Arusha alikuwa anasema kula "CCM kulala CHADEMA", alikuwa anawaambia wapiga kura wachukue hongo/takrima ya CCM lakini waipigie kura CHADEMA.

3.Pesa zinazohongwa zinatoka katika mfuko gani wa serikali ambao haujazua maswali mpaka sasa?

4.Kama kusingekuwa na hiyo hongo nini kingekuwa cha tofauti CHADEMA kwa sasa?

5.Kwa nini haya madai mpaka sasa yanahusisha Wenje na Lissu tu? Kwa nini Lissu hataji watu wengine alioambiwa wamehongwa?

6.Haiwezekani hao anaoambiwa wamehongwa hawajahongwa bali ni mchezo wa kisiasa tu? Ana ushahidi gani zaidi wa maneno ya kuambiwa kwamba kuna wengine wengi wamehongwa?

7.Alikuwa anataka kuhongwa shillingi ngapi na Abdul?
Reasoning za vijana wa CCM huwa za kitoto sana ,hapo mwenyewe unajipongeza umejenga hojaa!?
 
💯✔️
You've just summarized it all, the all motherfvckers are one and the same.
Never trust politicians, never trust ANY damn politician.
And you know what!
The only time one exposes the other is when he knows that has nothing to lose or personal interests[Mijinga hapo inadhani ni public interest].

Mimi nitafurahi tu na kusifia nikiona barabara imejengwa, afya imeimarika ila haina maana nitakuamini.
 
TL ananisikitisha sana,

Anatumia trust yake kwa umma ku manipulate story yeyote anayoiona kwakwe itampa ushindi dhidi ya FAM..

TL anataka uenyekiti wa CDM kwa gharama yeyote ile, yes, thats what it is.. hata kuvuruga kila kitu mradi awe yeye...

Anatoa tuhuma alafu anasema aliambiwa na marehemu flani ili kujenga narrative nyingine mbaya zaidi kwa FAM..

Kwa sasa yeye ndio ukweli na muhimili wa Ukweli CDM.. bila yeye hakuna ukweli.

Huyo Abdul anatembea labda na pesa ngapi.. maana kuhonga mtu wa Caliber ya TL labda Bilion or so.. sasa atakuwa na mabegi ya pesa ngapi kwenye gari?

Na unawahonga ili wawe soft kias gani? Wakubali kitu gani? Au wasiseme nini.

Kwenye nchi ambayo Ukiwa Rais unaweza amrisha lolote na likawa

Kipindi cha Magufuli nini walifanya kikafanikiwa?

Uchaguzi serikali za mtaa nini kimefanyika?

Mzee wa ukweli na uwazi na mmiliki wa Ukweli muda utasema yote hayo....

What goes around comes around...
 
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana,

1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali?
Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo michezo ambao wasingeacha alama au ushahidi ikiwa wangeweza au hata wangeshindwa kumuhonga Lissu?

2.Wanawahonga CHADEMA ili iweje?
Kwani mtu si anaweza kuchukua pesa na akiendelea kuinyuka CCM na serikali tu, kauli mbiu mojawapo ya Lema akiwa anagombea Arusha alikuwa anasema kula "CCM kulala CHADEMA", alikuwa anawaambia wapiga kura wachukue hongo/takrima ya CCM lakini waipigie kura CHADEMA. Haiwezekani viongozi wa CHADEMA wanaodaiwa kuhongwa wameamua kutembea na msemo wa Lema?!

3.Pesa zinazohongwa zinatoka katika mfuko gani wa serikali ambao haujazua maswali mpaka sasa?

4.Kama kusingekuwa na hiyo hongo nini kingekuwa cha tofauti CHADEMA kwa sasa?

5.Kwa nini haya madai mpaka sasa yanahusisha Wenje na Lissu tu? Kwa nini Lissu hataji watu wengine alioambiwa wamehongwa?

6.Haiwezekani hao anaoambiwa wamehongwa hawajahongwa bali ni mchezo wa kisiasa tu? Ana ushahidi gani zaidi wa maneno ya kuambiwa kwamba kuna wengine wengi wamehongwa?

7.Lissu alikuwa anataka kuhongwa shillingi ngapi na Abdul?

Mbona hii sio rocket science wandugu na keshatoa maelezo sana, nanukuu kasema alihoji Abdul kufanya kikao cha energy na Museveni kuwakilisha nchi kama nani? Abdul akahamaki na kutafuta mtu (Wenje) amuunganishe ili ampe mzigo aache kuhoji, Hivi shule zetu hazifundishi critical analysis na logic siku hizi?
 
Mbona hii sio rocket science wandugu na keshatoa maelezo sana, nanukuu kasema alihoji Abdul kufanya kikao cha energy na Museveni kuwakilisha nchi kama nani? Abdul akahamaki na kutafuta mtu (Wenje) amuunganishe ili ampe mzigo aache kuhoji, Hivi shule zetu hazifundishi critical analysis na logic siku hizi?
Wacha hizi blabla,
Kwamba TL anaweza kuhoji kuliko watu wote Twitter, JF, Museven aliepost, Wananchi wote Africa Mashariki na hata wana CCM viongoz wa serikal na wengine?

Ahongwe aisiseme kitu ambacho kila ktu ameona? Huyo bwana mnampa ufalme ni suala la muda tutarudi hapa kuelezana matokeo
 
Wacha hizi blabla,
Kwamba TL anaweza kuhoji kuliko watu wote Twitter, JF, Museven aliepost, Wananchi wote Africa Mashariki na hata wana CCM viongoz wa serikal na wengine?

Ahongwe aisiseme kitu ambacho kila ktu ameona? Huyo bwana mnampa ufalme ni suala la muda tutarudi hapa kuelezana matokeo

Unaumia ukiwa wapi? So hana haki ya kuongea mawazo yake? Mna hatimiliki ya mitazamo na mawazo ya watu siku hizi? Spoke his mind, km hukubaliani naye una kila haki ya kupuuza na wala sio dhambi au offence, unachagua tu unachopenda kusikiliza then unatuachia sisi unaodai "tunampa ufalme" mbona maisha yana mambo mengi sana ya kufanya mkuu?
 
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana,

1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali?
Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo michezo ambao wasingeacha alama au ushahidi ikiwa wangeweza au hata wangeshindwa kumuhonga Lissu?

2.Wanawahonga CHADEMA ili iweje?
Kwani mtu si anaweza kuchukua pesa na akiendelea kuinyuka CCM na serikali tu, kauli mbiu mojawapo ya Lema akiwa anagombea Arusha alikuwa anasema kula "CCM kulala CHADEMA", alikuwa anawaambia wapiga kura wachukue hongo/takrima ya CCM lakini waipigie kura CHADEMA. Haiwezekani viongozi wa CHADEMA wanaodaiwa kuhongwa wameamua kutembea na msemo wa Lema?!

3.Pesa zinazohongwa zinatoka katika mfuko gani wa serikali ambao haujazua maswali mpaka sasa?

4.Kama kusingekuwa na hiyo hongo nini kingekuwa cha tofauti CHADEMA kwa sasa?

5.Kwa nini haya madai mpaka sasa yanahusisha Wenje na Lissu tu? Kwa nini Lissu hataji watu wengine alioambiwa wamehongwa?

6.Haiwezekani hao anaoambiwa wamehongwa hawajahongwa bali ni mchezo wa kisiasa tu? Ana ushahidi gani zaidi wa maneno ya kuambiwa kwamba kuna wengine wengi wamehongwa?

7.Lissu alikuwa anataka kuhongwa shillingi ngapi na Abdul?
Rubbish
 
kila asemacho Lisu and they are drank
Watu na akili zao wametekwa na Lisu . mtu mwongo mkubwa, hafai kabisa kuwa kiongozi. Nimekuwekea clip umeisikiliza? Lisu siyo mtu ni jini linakutafuna kichini chini
 
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana,

1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali?
Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo michezo ambao wasingeacha alama au ushahidi ikiwa wangeweza au hata wangeshindwa kumuhonga Lissu?

2.Wanawahonga CHADEMA ili iweje?
Kwani mtu si anaweza kuchukua pesa na akiendelea kuinyuka CCM na serikali tu, kauli mbiu mojawapo ya Lema akiwa anagombea Arusha alikuwa anasema kula "CCM kulala CHADEMA", alikuwa anawaambia wapiga kura wachukue hongo/takrima ya CCM lakini waipigie kura CHADEMA. Haiwezekani viongozi wa CHADEMA wanaodaiwa kuhongwa wameamua kutembea na msemo wa Lema?!

3.Pesa zinazohongwa zinatoka katika mfuko gani wa serikali ambao haujazua maswali mpaka sasa?

4.Kama kusingekuwa na hiyo hongo nini kingekuwa cha tofauti CHADEMA kwa sasa?

5.Kwa nini haya madai mpaka sasa yanahusisha Wenje na Lissu tu? Kwa nini Lissu hataji watu wengine alioambiwa wamehongwa?

6.Haiwezekani hao anaoambiwa wamehongwa hawajahongwa bali ni mchezo wa kisiasa tu? Ana ushahidi gani zaidi wa maneno ya kuambiwa kwamba kuna wengine wengi wamehongwa?

7.Lissu alikuwa anataka kuhongwa shillingi ngapi na Abdul?
Ni aibu kwa haya ''maswali'' yako.
1. Abdul anahonga kwa sababu alitumwa na mama yake. Samia hawezi kuamini watu wa serikali au CCM kwa sababu hata huko kuna wabaya wake.
2. Wanahonga CHADEMA ili Samia asipate upinzani. Hukusia Abdul alimwambia ''natasaidia ili usimseme vibaya mama?''. Na ukichukuwa fedha unakuwa umefanya mkataba. Usipotii watakuua kama walivyofanya kwa Kibao.
3. Fedha zinazohongwa zinatoka kwa Samia. Ana njia nyingi ya kuzipata. Wafanyabiasha, Waarabu na mikataba yao nk
4. Hili swali unatakiwa umuulize Abdul na mama yake. Kwani walikuwa wanaogopa nini mpaka wahonge?
5. Yanahusisha Wenje na Abdul kwa sababu ndiyo walikwenda kwa Lissu. Hao wengine ukifika wakati watatajwa.
6. Ushahidi ni Abdul kwenda kwake na makapu ya fedha.
7. Hakutaka hata kuuliza kwa sababu hakuwa na nia ya kuzipokea. Utaulizaje mhongaji ana nia ya kukupa kiasi gani wakati huna nia ya kupokea? Huoni itakuwa ni kama unasikilizia iwapo atasema kiwango kikubwa ndiyo upokee?
 
Back
Top Bottom