Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko

Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Sakata la maji ya Mto Mara kubadilika rangi huku Samaki wakifa ikielezwa kuwa kuna kemikali za sumu limechukua sura mpya baada ya malaka husika kutoa kuhusu kinachoendelea.

Maji hayo yamebadilika rangi na kuwa meusi huku wakazi wanaoishi katika vijiji vilivyopo kandokando ya Mto Mara wakiwa hawatumii maji hayo tena kwa matumizi ya nyumbani.

Serikali Mkoani Mara imezuia matumizi ya maji hayo kwa wananchi wake kutokana na maji hayo kupoteza sifa ya kuwa maji safi na salama.

Pia Serikali imezuia shughuli za uvuvi zinazofanyika katika mto huo pamoja na ulaji wa samaki zinazotoka ndani ya mto huo.

Awali, kabla ya taarifa hiyo kutolewa kulikuwa na madai ya chinichini kuwa sumu hiyo ya kwenye maji imetokana na matumivi ya kemikali kutoka kwenye midogo iliyopo maeneo husika japo hakuna uthibitisho rasmi juu ya hilo.

SABABU MAJI YA MTO MARA KUWA MEUSI
Baada ya sintofahamu hiyo ya maji ya mto Mara katika eneo la Kirumi, Bodi ya Maji bonde la Ziwa Victoria imekuja na taarifa za uchunguzi wa awali baada ya kuchukua sampuli ya maji ya mto huo.

Mkurugenzi wa bodi hiyo, Renatus Shinhu amesema katika maji hayo wamebaini kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta pamoja na kukosekana kwa gesi ya Oksijeni kwenye maji hayo.

“Baada ya bodi kuchukua sample yam aji ya maeneo hayo tumegundua kuwa kuna kiwango kikubwa cha mafuta oil na grease kuliko kiwango kinachokubalika, kitu cha pili ni kukosekana kwa hewa ya oxygen kwenye maji.

“Hivyo kukosekana kwa oxygen kwenye maji kumetokana na kiwango kikubwa cha mafuta, kuhusu rangi ya maji kuwa meusi uchunguzi bado unaendelea,” - Renatus Shinhu.


Source: Clouds TV

Pia soma > Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu Mto Mara
 
Nemc wametolewa meno migodini ? Haya mambo tulikua tumeyasahau enzi za mzee
 
Tumerudi kule kule tunachezewa na kila kikaragosi, Kila mwekezaji sasa ameota sharubu maaaana hatuna Centre Backup. Kiukweli Kiongozi lazima awe na Msimamo thabiti na Lugha ya Uongozi kukemea na kulinda Watu wa Nchi yake na Rasilimali za Nchi yake.
Imagine Hawa North Mara wanadiriki kuweka Maji machafu kwenye mto unaotumika na Umma wa Wananchi halafu mpaka leo hakuna hata kikaragosi mmoja ametiwa ndani kwa huuu ufedhuli??? Nchi inachezewa hiii na Hatuko sawa Upstair
 
hiyo ripoti ya uchunguzi nani anaweza akaiamini
 
Sema wale samaki walikua watamu, wanateleza tuu kooni. Waruhusu shughuli za uvuvi
 
Sakata la maji ya Mto Mara kubadilika rangi huku Samaki wakifa ikielezwa kuwa kuna kemikali za sumu limechukua sura mpya baada ya malaka husika kutoa kuhusu kinachoendelea.

Maji hayo yamebadilika rangi na kuwa meusi huku wakazi wanaoishi katika vijiji vilivyopo kandokando ya Mto Mara wakiwa hawatumii maji hayo tena kwa matumizi ya nyumbani.

Serikali Mkoani Mara imezuia matumizi ya maji hayo kwa wananchi wake kutokana na maji hayo kupoteza sifa ya kuwa maji safi na salama.

Pia Serikali imezuia shughuli za uvuvi zinazofanyika katika mto huo pamoja na ulaji wa samaki zinazotoka ndani ya mto huo.

Awali, kabla ya taarifa hiyo kutolewa kulikuwa na madai ya chinichini kuwa sumu hiyo ya kwenye maji imetokana na matumivi ya kemikali kutoka kwenye midogo iliyopo maeneo husika japo hakuna uthibitisho rasmi juu ya hilo.

View attachment 2148629
SABABU MAJI YA MTO MARA KUWA MEUSI
Baada ya sintofahamu hiyo ya maji ya mto Mara katika eneo la Kirumi, Bodi ya Maji bonde la Ziwa Victoria imekuja na taarifa za uchunguzi wa awali baada ya kuchukua sampuli ya maji ya mto huo.

Mkurugenzi wa bodi hiyo, Renatus Shinhu amesema katika maji hayo wamebaini kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta pamoja na kukosekana kwa gesi ya Oksijeni kwenye maji hayo.

“Baada ya bodi kuchukua sample yam aji ya maeneo hayo tumegundua kuwa kuna kiwango kikubwa cha mafuta oil na grease kuliko kiwango kinachokubalika, kitu cha pili ni kukosekana kwa hewa ya oxygen kwenye maji.

“Hivyo kukosekana kwa oxygen kwenye maji kumetokana na kiwango kikubwa cha mafuta, kuhusu rangi ya maji kuwa meusi uchunguzi bado unaendelea,” - Renatus Shinhu.


Source: Clouds TV

Pia soma > Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu Mto Mara
GGM sijui wataua watu sn
 
Sakata la maji ya Mto Mara kubadilika rangi huku Samaki wakifa ikielezwa kuwa kuna kemikali za sumu limechukua sura mpya baada ya malaka husika kutoa kuhusu kinachoendelea.

Maji hayo yamebadilika rangi na kuwa meusi huku wakazi wanaoishi katika vijiji vilivyopo kandokando ya Mto Mara wakiwa hawatumii maji hayo tena kwa matumizi ya nyumbani.

Serikali Mkoani Mara imezuia matumizi ya maji hayo kwa wananchi wake kutokana na maji hayo kupoteza sifa ya kuwa maji safi na salama.

Pia Serikali imezuia shughuli za uvuvi zinazofanyika katika mto huo pamoja na ulaji wa samaki zinazotoka ndani ya mto huo.

Awali, kabla ya taarifa hiyo kutolewa kulikuwa na madai ya chinichini kuwa sumu hiyo ya kwenye maji imetokana na matumivi ya kemikali kutoka kwenye midogo iliyopo maeneo husika japo hakuna uthibitisho rasmi juu ya hilo.

View attachment 2148629
SABABU MAJI YA MTO MARA KUWA MEUSI
Baada ya sintofahamu hiyo ya maji ya mto Mara katika eneo la Kirumi, Bodi ya Maji bonde la Ziwa Victoria imekuja na taarifa za uchunguzi wa awali baada ya kuchukua sampuli ya maji ya mto huo.

Mkurugenzi wa bodi hiyo, Renatus Shinhu amesema katika maji hayo wamebaini kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta pamoja na kukosekana kwa gesi ya Oksijeni kwenye maji hayo.

“Baada ya bodi kuchukua sample yam aji ya maeneo hayo tumegundua kuwa kuna kiwango kikubwa cha mafuta oil na grease kuliko kiwango kinachokubalika, kitu cha pili ni kukosekana kwa hewa ya oxygen kwenye maji.

“Hivyo kukosekana kwa oxygen kwenye maji kumetokana na kiwango kikubwa cha mafuta, kuhusu rangi ya maji kuwa meusi uchunguzi bado unaendelea,” - Renatus Shinhu.


Source: Clouds TV

Pia soma > Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu Mto Mara
Je hii ni dalili ya kuwa na mafuta ukanda wa mto Mara ?
 
Nemc wametolewa meno migodini ? Haya mambo tulikua tumeyasahau enzi za mzee
Kuna taarifa inabodi kuzifuatilia tena na tena. Inaonekana kwamba Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi wa kansa...

Migodi yenye madini isiposimamiwa vizuri ni laana!


 
Sakata la maji ya Mto Mara kubadilika rangi huku Samaki wakifa ikielezwa kuwa kuna kemikali za sumu limechukua sura mpya baada ya malaka husika kutoa kuhusu kinachoendelea.

Maji hayo yamebadilika rangi na kuwa meusi huku wakazi wanaoishi katika vijiji vilivyopo kandokando ya Mto Mara wakiwa hawatumii maji hayo tena kwa matumizi ya nyumbani.

Serikali Mkoani Mara imezuia matumizi ya maji hayo kwa wananchi wake kutokana na maji hayo kupoteza sifa ya kuwa maji safi na salama.

Pia Serikali imezuia shughuli za uvuvi zinazofanyika katika mto huo pamoja na ulaji wa samaki zinazotoka ndani ya mto huo.

Awali, kabla ya taarifa hiyo kutolewa kulikuwa na madai ya chinichini kuwa sumu hiyo ya kwenye maji imetokana na matumivi ya kemikali kutoka kwenye midogo iliyopo maeneo husika japo hakuna uthibitisho rasmi juu ya hilo.

View attachment 2148629
SABABU MAJI YA MTO MARA KUWA MEUSI
Baada ya sintofahamu hiyo ya maji ya mto Mara katika eneo la Kirumi, Bodi ya Maji bonde la Ziwa Victoria imekuja na taarifa za uchunguzi wa awali baada ya kuchukua sampuli ya maji ya mto huo.

Mkurugenzi wa bodi hiyo, Renatus Shinhu amesema katika maji hayo wamebaini kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta pamoja na kukosekana kwa gesi ya Oksijeni kwenye maji hayo.

“Baada ya bodi kuchukua sample yam aji ya maeneo hayo tumegundua kuwa kuna kiwango kikubwa cha mafuta oil na grease kuliko kiwango kinachokubalika, kitu cha pili ni kukosekana kwa hewa ya oxygen kwenye maji.

“Hivyo kukosekana kwa oxygen kwenye maji kumetokana na kiwango kikubwa cha mafuta, kuhusu rangi ya maji kuwa meusi uchunguzi bado unaendelea,” - Renatus Shinhu.


Source: Clouds TV

Pia soma > Vifo vya Samaki Mto Mara: Kamati ya Dharura yaundwa kuchunguza Samaki wanaodaiwa kufa kwa Sumu Mto Mara
Tangu mwazo nilisema mleta uzi ni kilaza, ulidai ‘sumu kutoka migodini……’ nika kuuliza ni aina gani ya sumu? ukashindwa kuitambua hiyo sumu
 
Back
Top Bottom