Madai ya waislam kuhusu sensa 2012

Madai ya waislam kuhusu sensa 2012

rais-muislamu
makamu wa rais......muislam
rais wa zanzibar.......muislam
makamu wa 1..........muislam
makamu wa 2..........muislam.
igp.........................muslam.
mkuu tss................muislam.
jai mkuu.................muislam.

waislamu mungu awape nini muache kulalamika?
mimi nashauri uchaguzi wa 2015 nafasi zote za juu ziachwe kwa waislamu ili waridhike kwa sababu wao ndio wa kwanza kuichagua ccm,ccm imekuwa ikiwahadaa miaka na miaka lakini badala ya kuona ni wapi walipokwama wao wanalalamikia ukiristo.
waislamu kwa sasa wako radhi kuisamehe ccm hata ikiwafanyia baya kiaso gani kisa rais na mwenyekiti wa ccm ni muislamu mwenzetu muislam na ili uwajue ni watu wa namna gani mabaya yote ccm inayowafanyia sasa watakuja kuiadhibu siku raisna mwenyekiti wa ccm ataka[po kuwa mkristo.

waziri mkuu pia.......... muislam
mwenyekiti wa tume ya katiba ni ............muislam
spika na naibu wake ni ............waislam
 
NJOONI KWANZA MUWATOE WAISLAM WALIOOMBA UKARANI WA SENSA.

Ili kudhibitisha kuwa Nyie si Wanafiki..

TUMEWACHOKA
 
Ao wanataka mpaka tuwape wake zetu ndo waridhike, IPP ni ya mkristo lakini idadi kubwa ya wauza sura kwenye media zake ni waislam..katika teuzi zake rais amekuwa akiwajaza waziwazi ao ndugu zetu...biashara kubwa posta,kariakoo,buguruni,ilala na maeneo mengine wamezishika wao,marais wa pande zote mbili ni wao. Na bado hakuna mkristo nilyewahi kumsikia akilalamika. Lakini wao wanaelezana uchochezi kila kukicha tena kwenye nyumba za ibada,mimi kwa maskio yangu nimesikia na kuona wakijihusisha na mazoezi ya ukakamavu kwa madai kuwa wanajiandaa na adui,sasa sijui adui gani? Labda sensa.
 
Mbona wakatoliki wanajihesabu wenyewe na hawalalamiki na wanajipangia wao maendeleo yao hivi waislamu mna matatizo gani ninyi?

Wanataka WAZIKANE na Kupewa Maeneo ya Kuzikana
HOJA DHAIFU HATA SISIMIZI HAWEZI KUFIKIRIA HIVI.
 
NJOONI KWANZA MUWATOE WAISLAM WALIOOMBA UKARANI WA SENSA.

Ili kudhibitisha kuwa Nyie si Wanafiki..

TUMEWACHOKA

kweli,manake wamejaa kuomba ukarani,awa sitaki nataka alaf hawajielewi,wanatumia mda mwingi kuwaza bifu
 
narudia kusistiza.......... maswala ya imani zetu tusiyalete humu........ kma lnakukera lipeleke kwenye vyombo vya dini husika....... kwa wale wapagani mezea mdo mdo......

Let's discuss issues which will take us forward as a nation and nt individually nor segregatively........
 
Acheni sensa ipite kwanza alaf mlete madai yenu!
 
hahahahahahahahahhahahahahahaha
umeni furahisha sana.
Hata mimi migomba yangu hiingie kwenye sensa

na mimi nataka watu tuliosoma shule za kata wote tuhesabiwe ili tuone jinsi gani tusaidie shule tulizoziacha

hoja yangu inaweza kuwa strong kuliko ya makaburi...
 
Mbona wakatoliki wanajihesabu wenyewe na hawalalamiki na wanajipangia wao maendeleo yao hivi waislamu mna matatizo gani ninyi?

Wanataka WAZIKANE na Kupewa Maeneo ya Kuzikana
HOJA DHAIFU HATA SISIMIZI HAWEZI KUFIKIRIA HIVI.
 
narudia kusistiza.......... maswala ya imani zetu tusiyalete humu........ kma lnakukera lipeleke kwenye vyombo vya dini husika....... kwa wale wapagani mezea mdo mdo......

Let's discuss issues which will take us forward as a nation and nt individually nor segregatively........

Exactly. Wapeleke BAKWATA. Ingawa ilishatoa Tamko kuwa Lazima watahesabiwa.
 
Kila mtu atabeba mzigo wake ,haitujalishi nani muislamu ikiwa jaji au mfungwa ,maana mkiguswa kidogo tu mnada sijui katibu muislamu mwenye kiti muislamu mwenye upawa muislamu mwenye sufuria muislamu . Msishituke kama kuna wakiristo jina basi vilevile kuna waislamu jina.

Kipengele lazima kiwemo ,mpo awu hahisabiwi mtu hapa !
 
Badala ya kuwaza ya kuishi wewe unawaza ya kuzikwa.........kuna mtu amekosa pa kuzikwa tangu uzaliwe hapa Tanzania just kwa sababu ya imani yake?........shame on you and of your kind!

Hawa si ndio waliogawiwa sanda na Mheshimiwa huko nachingwea? Wameshapata sanda bado makaburi ya kuzikwa. Lazima wapiganie kuyapata kisha tuwazike.
 
Kila mtu atabeba mzigo wake ,haitujalishi nani muislamu ikiwa jaji au mfungwa ,maana mkiguswa kidogo tu mnada sijui katibu muislamu mwenye kiti muislamu mwenye upawa muislamu mwenye sufuria muislamu . Msishituke kama kuna wakiristo jina basi vilevile kuna waislamu jina.

Kipengele lazima kiwemo ,mpo awu hahisabiwi mtu hapa !

umeshasema mwenyewe kuna wakristu jina na waislamu jina...sasa kipengele cha dini kiwekwe ili iweje wakati kuna waislamu jina na wakristu jina? utapataje idadi halisi ya waislamu/wakristu wakati wengine siyo waumini makini na hata kwenye hiyo misikiti/makanisa hawajawahi kutia mguu ?
 
Watu badala ya kujadil mada mnajadil vitu vya ajabu... Unahesabu nyumba za ibada halafu hutak kujua waumin wangap huingia humo huo si ujnga? Nchi kama uingereza,marekan,kenya,ethiopia ktk sensa zao kipo kipengele cha dini umeshasikia watu wamekufa huko kwa sbb ya sensa? achen upuuz..Eti wasio na din itakuaje? wakat hyo serikal imepanga sensa ikaweka dodoso la nyumba za ibada je.! wapagan wana nyumba za ibada? huon serikal ina maanisha waislam na wakristo tu....WAISLAM MSIMAMO UPO PALE PALE HAKUNA KUSHIRIK
 
Sina maana hiyo. Namaanisha kwamba kuna haja gani sasa ya kuhesabu nyumba za ibada wakati waabudu wanaoingia kwenye hizo nyumba wenyewe bila kuhesabiwa? Kuna Nini kilichojificha hapa katikati?
 
ni muda mrefu waislam wa tz wanalalamika juu ya manyanyaso wanayofanyiwa na serikali yao. Hili limekuwa likijitokeza katika siasa, elimu afya na hata nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini.

Mwaka huu serikari inatarajia kuendesha zoezi la kuhesabu watu na makazi kwa wote watakaolala nchini usiku wa kuamkia tar 26. Zoezi litadumu kwa muda wa siku saba. Dodoso litahusisha jina la mtu, umri wake, jinsi, elimu nk. nyumba za ibada pia zitahesabiwa!

Ni uamuzi mzuri wa serikari yetu kwa lengo la ku-provide huduma kwa raia wake.

Sasa waislam wanahoji kukosekana kwa kipengele cha dini katika madodoso hayo ya sensa. Eti wana-jf wenzangu, kuna ubaya gani serikari kujua idadi ya watu na imani zao? Kwani hii si inaweza kusaidia katika kutoa huduma stahili kwa watu kulingana na imani zao? E.g kugawa maeneo ya mazishi kulingana na idadi ya waumini fulani katika eneo fulani? (kumbuka waislamu, wakristo nk huzikana kulingana na imani zao hivyo si rahisi ku-share eneo la makaburi).

umeambiwa eneo la mazishi limeisha???
 
Bado hujasomeka. Hebu fafanua kidogo ili wana-JF waku-understand.
 
....
Kwani hii si inaweza kusaidia katika kutoa huduma stahili kwa watu kulingana na imani zao? ....
Hakuna huduma zinazotolewa au zinazotakiwa kutolewa na serikali kulingana na imani
 
Hivi ikitokea serikali ikiruhusu kiwepo icho kipengere, na sisi wakristu tukikataa kisiwepo serikali itatakiwa ifate lipi? Hawa jamaa sijui wanatakaje kuna waislam nimesoma nao A-Level walikua na mambo haya haya ya udini, wote Zero sasa sijui wanataka wapewe idara gani kwa mwendo wa Zero.
 
Sina maana hiyo. Namaanisha kwamba kuna haja gani sasa ya kuhesabu nyumba za ibada wakati waabudu wanaoingia kwenye hizo nyumba wenyewe bila kuhesabiwa? Kuna Nini kilichojificha hapa katikati?
mimi sijaliona dodoso ila naomba unisaidie...kwenye hicho kipengele cha nyumba za ibada, je wameweka specifically nyumba ya ibada ya dhehebu gani au wanataka kujua kuna nyumba za ibada ngapi bila kujua dhehebu kwenye eneo husika?
 
Back
Top Bottom