Madai ya Wanafunzi kusomea chini ya mti Shule ya Msingi Kwembe (Dar), Serikali yasema walikuwa katika programu maalumu

Idadi ya waliofanya mtihani ni ileile idadi ya wanaofanya masahihisho, kwa nn wasifanyie kwenye darasa walilofanyia mtihani?
Mazuzu mpo wengi humu jf siku hizi
Yaani unahoji mbinu za fundishaji wa mwalimu? Inawezekana aliwatenga vipanga wasiohitaji sana usimamizi wakae darasani waendelee kufanya maswali
Halafu masanga upepo kama wewe wanahitaji kusimamiwa tit fo tati huku wakipunga upepo nje
 
Hapa imekaa sawa sio wananchi wanakaa serikali haijibu kitu wala hailezi utafikiri serikali ni gogo kumbe ni watu!
 
Una akili kidogo sana ,madarasa A,B,C,D wakae chumba kimoja

USSR
Mwenye Akili nyingi umeng'amua kuwa madarasa A,B,C,D sasa hv yame condense au yamebomoka hvyo hawawezi fanyia masahihisho sio? Shule haina Bwalo la hata kuhifadhi wanafunzi mikondo minne? Less than wanafunzi 180?

Hivi guts za kutetea huu uhuni unazitoa wapi we popoma?

Wasomee madarasa A,B,C na D, mitihani wafanyie humo, masahihisho tu ndo wafanyie kwenye mchanga, hata kama unajiita mwenye akili basi hizo akili ni kama za ndugu zako kina Msukuma na Lusinde!
 
Popoma USSR .....
 
Hawana bwalo la kuhifadhi wanafunzi 180 as moja kigezo cha kuanzishwa shule?....Nawe unajiita Genius?
 
Mimi niko bado na mwandishi, kasema amekuwa akipita kila mara anawaona nje. Ndiyo akaamua awapige picha kwa matumizi ya baadaye.

Pamoja na hii barua kukanusha, sasa ndiyo mtashangaa madarasa mapya yanajengwa, baada ya kuumbuliwa. Tumeshaona video nyingi, watoto wanasomea nje au darasa mbavu za mbwa. Jengeni madarasa acheni kununua magari ya gharama.
 
Safi sana, makanjanja wa habari wengi, mitandao imejaa habari za uongo.
Ni ngumu sana kwa nchi kama Tz kuendelea ikiwa na waislam.. wao hakuna wanachojua zaidi ya kuridhika na mtawala akiwa dini yao. Mengine yote hawayaoni. Huu upuuzi huwez kuona kwa wakristo, hili limedhihirila kipindi cha magufuli.. aliluwa akipogwaa spana hata na kanisa lake. Ni masikitiko makubwa kuwa kwenye jamii iliyojaa wapuuzi kama hawa. Wako waislam wachache sana wanaojitambua haswa wanaotoka bara ila pwani yote ni masifuri kichwani. Wanachojali wao ni vigodoro na ndoa saba...shwain kabisa
 
Idadi ya waliofanya mtihani ni ileile idadi ya wanaofanya masahihisho, kwa nn wasifanyie kwenye darasa walilofanyia mtihani?
Wakati wa mitihani huwa wanatumia madarasa ya shule nzima ikibidi kwa vile mkondo mmoja wa darasa la mtihani ni wanafunzi 25 sasa wakiwa watahiniwa 200 ina maana ni mikondo 8,ndio maana siku za mitihani ya mock na ile ya taifa wanafunzi wengine hawaendi shuleni.
 
Mwandishi angekuwa makini angepata picha Bora kabisa kuzidi hizo alizopiga.Amefanya serikali ijibu kirahisi tu hoja yake.Laiti kama angefanya timing nzuri angepata picha ambazo Ingekuwa ngumu Kwa serikali kujibu.Ukiona Kuna jambo limetokea ujue Kuna mambo mengi Sana yaliyojificha.
 
Huko unafika mbali, Uislam unaharibiwa jina na poyoyo kama huyo lakini Uislam na Waislam ni wema sana.

Kwenye msafara wa mamba, kenge hawakosekani. Lakini usitake kuwaponda Waislam wte kwa kosa la mmoja au wawili.

Huyo kafanya makosa kafahamishwa na kakiri kweli kafanya makosa. Ajenge sasa mabweni afate sheria zote ndiyo achukuwe wanafunzi.
 
Hawana bwalo la kuhifadhi wanafunzi 180 as moja kigezo cha kuanzishwa shule?....Nawe unajiita Genius?
Kwanza sijasema mimi ni genius ila nakumbuka mwalimu wetu wa mathe alikuwa anatumwaga nje tunafanya hesabu huku tumekaa chin ya miti tukipata kipupwe safi siyo kwamba madarasa hayakuwepo ila ilikuwa mbinu yake ili tusiigiliziane oya nilijikuta napenda hesabu na nikapata A
 
Kama wewe ulivyo zuzu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…