Hii serikali itatumaliza wananchi wa hali ya chini tunaotegemea kutibiwa kwenye hospitali za serikali. Haiwekani kiongozi wa nchi ufanye maamuzi kisiasa eti madaktari msiporudi kazini mtakuwa mmejifukuzisha kazi!! Kwanza serikali ilitakiwa iwabembeleze madaktari kutokana na mishahara kiduchu inayowapa kwa kazi ngumu na hatarishi bila vifaa vya kisasa. Madaktari wetu pamoja na utalaamu wao hawana thamani katika nchi yao wenyewe badala yake wanathaminiwa nje ya nchi wakienda kufanya kazi. Wanasiasa wengi huwa hawana nia nzuri kwa watu wao ni waauji.