Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakamata Jimbo soon apambane na magamba mjengoniNA HUYO DR ULIMBOka kapata wapi?????????????
NA HUYO DR ULIMBOka kapata wapi?????????????
Asante kwa wosiaWasisahau kuwatumia shangazi zao dola za matumizi.
Sasa wanangoja nini? mbona wengi sana tu wako huko toka zamani? waende tu. Kwani wanaikomoa Serikali? Unanchekesha!
Wasisahau kuwatumia shangazi zao dola za matumizi.
Tatizo ni kuwa wamesomeshwa kwa gharama ya serikali na serikali hiyo hiyo imeshindwa kuwalea wanaenda kuwapa faida mataifa mengine.