Madaktari bingwa wafariki na kuacha simanzi Arusha

Madaktari bingwa wafariki na kuacha simanzi Arusha

Anaonekana dingi alipiga sana ma A E I O U
 
Saa 12 na dakika 57 asubuhi hii RFA wanapiga wimbo wa cosmas chidumule DODOMA ulioimbwa na REMI ONGALA.
Nadhani tumeelewana.
Dodoma hali tete.
Baba yangu wa mwaka 1942 namuombea anadai yupo vizuri hukooo ila hali tete sio kidogo wazeee wanakwenda kwenye hesabu
 
Kati ya haya majina mawili ni nani dokta Manywele. Kuna girl mmoja alikuwa analia jana kuwa daktari wao kipenzi wa utotoni amefariki. Ndio akawa anamuita Manywele
 
RIPdah covid kule nzige
Hiv imesahaulika kabisa
 
Ila hawa madaktari muda mwingine ni wazembe sanaa.
Wengi hawavai barakoa,
Wanajitoa ufahamu kabisa
 
Hivi siku hizi ni fahari kutangaza kila anaekufa?? Mnatuboa bwana
ya redio one unaskiliza ya humu unajifanya hutaki..! ndo hvyo amefariki kwa tatizo la upumuaji, na tunaopenda taarifa muhimu tunaendelea kupeana..! mungu tuepushe na maradhi hatari ya virusi vya corona 😷 🙏
 
Kati ya haya majina mawili ni nani dokta Manywele. Kuna girl mmoja alikuwa analia jana kuwa daktari wao kipenzi wa utotoni amefariki. Ndio akawa anamuita Manywele
Huyo girl akishamaliza kulia muulize atakuambia.
 
Siku ikifika imefika
Kwanini tusifanye siku yako leo iwe imefika kwako uende tu ukanunue kamba hata ya mbuzi tu ukajinyonge?

Mawazo mengine ama kwa hakika mbona tunajidhalilisha tu?

Si lazima kila mtu aweze kujua kuwa hatujaelimika!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Duuu Tuseme nini sasa zaidi ya kuomba Neema za Mungu pekee.
 
Sijui ndio hizo changamoto za upumuaji au kuna kitu kingine ila vifo vinafululiza mno hii Arusha...

Kuanzia Raska zone mpaka Arusha Meat pale ndani ya week 2 tu nimesikia misiba zaidi ya mitano. Na jioni hii mwingine tena yan mpaka mtu unapata woga kwenda kuhudhuria
Mbona unanitisha cc, si unajua nina Mr yuko huko lol.
 
Huyo girl akishamaliza kulia muulize atakuambia.
Ulikuwa unawahi kuharisha hata hujaelewa comment ila ukakurupuka kujibu. Nimesema alikuwa analia jana, wewe unasema akimaliza kulia anambie. Hata tenses hujui
 
Ni hivi karibuni tu ndipo nilipoanza kusikia kuwa kuna ugonjwa unaitwa "CHANGAMOTO YA UPUMUAJI".
 
Back
Top Bottom