U.t.i ina sababishwa na mambo mengi sna mkuu , sio tu kua mchafu
Miongoni mwa sababu ni hizi zifuatazo
1. Kutumia chemical kupaka sehem za siri kama vile (baadhi ya powder )
2.kutopenda kunywa maji ya kutosha ( kunywa maji mara kwa mara ( hii hupelekea bacteria ambao wanaweza kuingia huku
kwa njia moja ama nyengine wasiwe flushed out , pia hupelekea mkojo kua very concentrated ( kuwemo na crystals ,na elements zengine nying ktk mkojo )
3. Kutokua na kawaida ya kujisafisha kwa kina dada punde tu baada ya sex na kua na utamaduni wa kulazishia kwa sisi wanaume
4. Kwa kina dada kua na kawaida ya kujisafisha kwa maji kutoka nyuma kuja mbele baaada ya haja kubwa hivyo wanamchukua bacteria ambae anaitwa Escherichia coli kutoka kwenye kinyesi kumleta kwenye uke na kutokana na wadada distance ya urethra zao na blader ni ndogo basi ndo maana wanaugua U.T.I mara kwa mara ukilinganisha na sisi wanaume kwani distance ya urethra zetu ni kubwa hadi kufikia urinary blader
5.kupendelea vinywaji vya chemical ambavyo vinaweza ku distarb kidney nephron ( glomerula) hivyo large molecules kama leucocytes , protein na blood( RBC ) kuweza kupenye had kuweza kuonekana ktk mkojo wanaojua wanajua kwamba upatikanaj wa protein ktk urine pia ni U.T.I
Nimezungumza hayo kwanza ili niende hasa directly kwenye sabbu ya kwanini kila sku ukienda hosp unaambiwa una u.t.i husan kwenye hospital za private kwa wakina dada
1. Poor test used to diagnose u.t.i ( kiilivyo ili kuthibitisha kama mtu anaugua real U.T.I lazima ufanye culture ( uoteshaji wa bacteria ) ukimaliza unafanya na sensitive test ( je ikiwa ipo u.t.i ni dawa gani itamtibu muhusika )
Sasa hospital zetu hakuna huo utaratibu watu wanapiga chemical na microscopical habar imeisha ndo maaana mara nying mda mwengin watu wanabandikwa u.t.i ambazo sio za ukwel
Mfano : mtu unamkuta na cells za epithilial ambazo ni moderate tu unamwambia ana u.t.i mtu huyo huyo pengine ka sex 3 hours ago
Tunajua epithilial ni cells ni cells zinazojenga kuta laini sasa kama mtu kapata msuguano wa sex kwann zisionekane hapo utakuta anapigwa powercef mtu huyu
2. Utumiaji wa antibiotic kiholela , wote tunajua antibiotic sio dawa za kutumia kama pipi hasa hasa strong antibiotic
Ila sasa watu wamefanya fashian akienda na ki u.t.i uchwara anapigwa powercef inafiga mda mtu anafanya DRUG RESISTANCE hivyo hata akiigua u.t.i ya ukwel na kupewa dawa za antibiotic bas dawa hizo hazimtibu u.t.i bali anaendelea kuwa na u.t.i yake na kwa vile hatuna utaratibu wa re - testing soon after treatment basi mtu anaamin u.t.i imepona kumbe bado ipo sema inasubir Immunity ikishuka tu inajitokeza
3.Bussiness reason: sababu ya mwisho ni ya kibiashara zaid hasa kwenye ma hospital ya private kuna madawa ya gharama(antibiotic ) sna kama vile augumentin , amoxyclave etc mtu hawezi kuacha hizi dawa zi expire katika phamancy hivyo hapo ni mwendo wa kuzitoa kwa njia yyte ile
Ndo pale nilipoongea hapo juu kwamba ukikutwa na moderate tu epithilial cells , hutoambiwa unywe maji ya kutosha badala yake utapigwa augumentin
Hizo ndo sababu nilizooona kwa expirience yngu