Sio kwamba zinakataa bali hawana zile chemo receptors ambazo hujulikana kama CCR5.1. Umefanya child molestation
2. ulivyofahamu viral load yake ilikuaje?
3. mpaka upate maambukizi lazima cell receptors zako zipokee virus, kuna watu wachache ambao cell receptors zinakataa.
Ya mguu wa mtoto siyo bamiaUnamaanisha Nini?
Aise nomaaaJust a point of curiosity, Why not work on those inhibitor cell receptors mechanism (if there is any) to develop a vaccine for HIV??!!-----take it as a Challenge or opportunity Madame Dr [emoji1787].
"One day you maybe a Nobelist in Medicine."
Why Corona have found vaccines but HiV is still kimbembe so far???
Kampime sehemu 8 TOFAUTI halafu uje na majibu hapaWAKUU HUU UZI NIMEOMBA KWA MADAKTARI TU,NYINYI MNAOONA NI UDAKU AMA NIMEAMUA KUPOTEZA TU MUDA SI MPITE TU MCHANGIE MADA NYINGINE MBONA TUNAKWAZANA KIASI HIKI.???
Mtu analeta serious issue halafu majamaa mengine yanakomenti tu ujinga,acheni niliowaomba waseme huenda faida ikapatikana hata kwa mwingine kuliko mtu amekula ugali wa baba ameshiba anakuja kusumbua.kama kitu hukijui kukaa kimya ni busara pia.
Mkuu kibamia hatuchubui yani hupti kam mimi tuWAKUU HUU UZI NIMEOMBA KWA MADAKTARI TU,NYINYI MNAOONA NI UDAKU AMA NIMEAMUA KUPOTEZA TU MUDA SI MPITE TU MCHANGIE MADA NYINGINE MBONA TUNAKWAZANA KIASI HIKI.???
Mtu analeta serious issue halafu majamaa mengine yanakomenti tu ujinga,acheni niliowaomba waseme huenda faida ikapatikana hata kwa mwingine kuliko mtu amekula ugali wa baba ameshiba anakuja kusumbua.kama kitu hukijui kukaa kimya ni busara pia.
Duuhh! What's is goin' on here!!![emoji848][emoji848][emoji848], Mnafahamiana.Unaozeshwa mtoto na wewe na mimvi yako unachekelea tu, tena ulivyokosa haya mbakaji wewe sio tu kumnyanyasa huyo mtoto kingono bali pia na VVU ukatamani kumpa, umeona sasa kila ukijitahidi hapati ndio waja kujiulizisha kinafki hapa,
Kufa haraka ili huyo mtoto apate uhuru wake.
Habar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.
Nilioa miaka 5 iliyopita,baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa hiv na aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi
Situmii kinga Wala chochote,na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu,yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea
(Tufupishe story)
Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo ?
Kuna Nini hapa,ama inakuwaje kuwaje hili linatokea,?.
Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.
Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
We inaonekana unautakaBaada ya kugundua ndio nikamuanzishia dawa na mambo mengine muhimu.mechi kwa kweli ni rafu saana kupita kiasi
Kama mkeo anakunywa dawa vizuri ni risk ndogo sana kupata ukimwi via sexual intercourseHabar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.
Nilioa miaka 5 iliyopita,baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa hiv na aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi
Situmii kinga Wala chochote,na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu,yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea
(Tufupishe story)
Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo ?
Kuna Nini hapa,ama inakuwaje kuwaje hili linatokea,?.
Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.
Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
Aisee mimi ni mmoja wapo nimetembea Peku Mpaka sehemu Chakavu sana ila nkienda Hospital nipo Negative, Ni muda sana natembeleza Rungu Dry1. Umefanya child molestation
2. ulivyofahamu viral load yake ilikuaje?
3. mpaka upate maambukizi lazima cell receptors zako zipokee virus, kuna watu wachache ambao cell receptors zinakataa.
Mjomba huyo ndio ubavu wako ulioandikiwa, umetimiza neno... Yy aliandikiwa kuzaliwa nao na ww ukaumbwa bila receptors... Anyway umemkuta akitumia dawa? Kama aligundulika baada ya kuzaliwa nao possibility ni kubwa alianza dawa kama asingeanza dawa ni ngumu ww kumkuta amefika umri wa mtu mzima bila kupata madhara kama hatumii dawa effectively, na kama anatumia dawa effectively basi hana virus load ya kuweza kukuambukiza wewe, hapo sije ukajisemea huna hizo receptors japo ni ngumu huku kwetu ku prove, na je umefanyiwa kipimo cha DNA PCR? Kama umepima hivi vya kawaida unaweza kuwa carrier ww waishi navyo na kuambukiza ila haikuletei madhara kwenye mwili wako, hii hutokea mara chache, so ili kujua hasa nn kinaendelea nenda hosp watajaribu hivyo vyote ujulikane uko kundi gani, ila kwa sasa ishi tu kama DISCORDANT COUPLE. ALL THE BESTHabar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.
Nilioa miaka 5 iliyopita,baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa hiv na aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi
Situmii kinga Wala chochote,na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu,yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea
(Tufupishe story)
Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo ?
Kuna Nini hapa,ama inakuwaje kuwaje hili linatokea,?.
Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.
Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
Kuna mambo mengine mengi ya kuzingatia kabla ya kupata majibu sahii, ila mengi hapa ni theory mbalimbali kama ifuatavyo. Ili kupata jibu sahihi ni pale tu sababu halisi za kisayansi zitakapotafutwa kisayansi:Habar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote.
Nilioa miaka 5 iliyopita,baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa hiv na aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima huonekana niko fresh na Sina maambukizi
Situmii kinga Wala chochote,na nafsi iko tayari hata nikipata sio issue kabisa kwangu,yaani nmekubaliana na lolote lile litakalotokea
(Tufupishe story)
Sasa huwa najiuliza sana mbona sipati hiv miaka yote hiyo ?
Kuna Nini hapa,ama inakuwaje kuwaje hili linatokea,?.
Madaktari mniambie lolote la kitaalam nifahamu.
Nb
Kama si daktari ni vyema usichangie
Mbona uko harsh sana katika comments zako? Why all that?Unaozeshwa mtoto na wewe na mimvi yako unachekelea tu, tena ulivyokosa haya mbakaji wewe sio tu kumnyanyasa huyo mtoto kingono bali pia na VVU ukatamani kumpa, umeona sasa kila ukijitahidi hapati ndio waja kujiulizisha kinafki hapa,
Kufa haraka ili huyo mtoto apate uhuru wake.