Madaktari, kwanini Mimi sijapata UKIMWI mpaka sasa?

Kwa hiyo unauita UKIMWI? Jiwe lilikuwa likipiga kelele kuhusu kifo. Kifo, kifo, kifo, kifoooo kifooo mwisho kifo kikamuondolea uvivu na kufanya kweli hivyo na wewe endelea tu, MANENO HUUMBA!!
 
Kwa hiyo ulitaka nishangilie hilo libaba kuoa mtoto wa miaka 13? Na wewe ndo wale wale eeh, jua huo ni ubakaji na unyanyasaji
Unaujua umri wa mtoa mada?. Alafu pia lengo lake ni kupata ufafanuzi from doctors or medical experts. Na uzuri walengwa wamechangia vizuri tu. Ila sijajua why umekuwa so harsh. Yawezekana ukawa na point nzuri kwa unachojaribu kukipinga, ila uwasilishaji wako naona umeharibu mantiki nzima.
 
Unataka kusema umri wa mtoa mada ni miaka 13 kwa hiyo ni watoto ndio wameoana? Ameandika mwenyewe alimuoa huyo mtoto akiwa 'mdogo sana' akaongezea miaka 13, kujitetea kwake eti alilazimishwa, na nani? yaani unataka nitumie maneno laini kwa Mbakaji!!? Una watoto? Una lea? Huyu angetoa address yake mbona ungekua unampelekea chakula lupango ewe muungwana sana.
 
Sometimes inategemea na group la damu ulio nalo.

Maranyingi group O, sio rahisi kua receptive na HIV unless uwe umefanya rough match na mwenzio mwenye group O alie athirika ndio unaweza ukapata HIV...

Hii ndio one of advantage of group O, lakini ubaya wa hili group ukiwa na upungufu wa damu kupata donor inakua ngumu kidogo, kwasababu sio rahisi upatikanaji wake, mpaka upate group O mwenzie tu, watu wachache wanao hili group

Group O hawezi kuwa donated na group lolote la damu zaidi ya group O tu, na group O ndio damu ambayo donor kwa ma group mengine mfano group A, group B , group AB na mwenzie group O.

Ila group AB anaweza kua donated na magroup A, B, AB na O, hili group linakuwa rahisi pia kupata maambukizi ya HIV kutoka magroup mengine yote.

Group A, anaweza kua donated na magrop A na O tu. Hivyo anaweza pokea maambukizi ya HIV kutoka magrop hayo tu.

Vilevile Group B anakua donated na magroup B na O tu, na anaweza kupokea maambukizi ya HIV kupitia magroup hayo.

Ila stay safe use protection
 

Its easy complaining than acting accordingly. Never judge others easly my sister. Everyone has their own situations, unajaribu kuonesha unauchungu sana, ila ukijaribu kupitia your daily activities, utakuta hata wewe una weakness na makosa kibao tu.

Mfano akisema akupe address yake, what will you do?

We are from different backgrounds, my shoes wont fit you, neither yours to me, judge less n learn to think on what to say, before even saying it .
 
Nimeelewa sasa, pale wabakaji wanapojaribu kuteteana, hebu achana na mimi nahisi kinyaa.
Alaf in a real life experience, unaweza kukuta mimi ninaumizwa sana violence acts kuliko hata wewe. Hata hicho kinyaa unachosema unahisi ukute pia huna.

Anyway, narudi tulipoanzia, stop being harsh. Unaweza ku express what you feel na ukaeleweka bila hata kutumia nguvu
 
[emoji1785][emoji2961][emoji2961]
 
[emoji1785][emoji2961][emoji2961]
Umefanya nimepitia baadhi ya reply zako kwenye threads za wadau wengine (threads zako hazina tatizo), but it seems you are harsh most of the time. I think that doesnt suit you. Mawazo yako mengi somehow yako vizuri, ila presentation yako ndio inakuangusha.

Work on that my lady.
 
Ushanipenda weye sio bure,
Tatizo sipendi wabakaji, hilo tuuuu.
 
Asante kwa kunipa majibu mazuri mchangiaji, mimi nilitembea na demu kumbe yule demu ana ukimwi nimefanya nae mwaka mzima ila kuna watu wakaja kunambia kua huyo ni muathirika nikampima kisiri home nakaa na doctor tukagundua kumbe alizaliwa nao na alikua anatumia ARV niliamini na mimi moja kwa moja nina ukimwi kupima Nipo negative sina maambukizi ndipo nilipokuja kuamini ukicheza rafu ukimwi unapata ila ukiplay safe hupati ukimwi hata ukitembea na mwenye virusi hata hivyo mimi sio malaya sana mpaka umri huu nimetembea na mademu wawili na hua singonoki saaanaaa
 
Elimu hasa inapaswa kutolewa, kuna tofauti kati ya UKIMWI na VVU, nadhani tulijifunza haya darasa la tano kama sikosei.
 
Elimu hasa inapaswa kutolewa, kuna tofauti kati ya UKIMWI na VVU, nadhani tulijifunza haya darasa la tano kama sikosei.
Ila wanawake wapo katika risk kubwa mno ya kupata ukimwi
 
Maambukuzi ya ukimwi yako complicated sana si rahisi kuupata na wala si ngumu nahisi ni timing sijui mm nakumbuka nishatembea peku mara tatu na binti ambaye baadae nilijua kaungua tena rafu nyng sana ila sijawahi kuambukizwa na yy
 
Maambukuzi ya ukimwi yako complicated sana si rahisi kuupata na wala si ngumu nahisi ni timing sijui mm nakumbuka nishatembea peku mara tatu na binti ambaye baadae nilijua kaungua tena rafu nyng sana ila sijawahi kuambukizwa na yy
Yan kuna watu hua wanaleta mada nzuri sanaaa humu mimi nilitaka kujiua baada ya kugundua demu niliyekua napiga kaungua kumbe alizaliwa nao na alikua anatumia dawa vizuri saivi ana miaka 25 na sikua na rafu hata kidogo bila kutengeneza uterezi simfanyi na kila nikipiga bao naenda kunawa na kukojoa
 
Viungo vyenu ni laini sana so kupata mchubuko ni rahisi kuliko wanaume unajua mwanaume anavyotahiriwa hua kuna layer inaongezeka ambayo hutengeneza kinga zaidi na kupunguza michubuko mpaka damu itoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…