Kipindi cha kutengeneza utajiri wa chap chapHii itakuwa kali,vumbi la kongo kupanda bei,kuibuka upwa kwa dawa za ajabuajabu za kienyeji kama mavi ya tembo,mafuta ya simba,manyoya ya sungura,majani ya miti na mizizi yake.Mfumo wa afya utavurugika sana.Hizi siasa za kikora si nzuri kwa maendeleo ya Taifa
Kazi hatuachii,,na tutapiga dili hadi kieleweke ,,baba yenu si kagoma kutuonheza mshahara!.. endeleen kuimba mapambio,,mnataka sisi tule nyadi?Bora wapunguzwe tu we ukienda Muhimbili huduma zenyewe hovyo wanataka rushwa mgonjwa anaweza kulazwa humo anaongezewa drip tu vipimo hafanyiwi kila ukienda ukifuatilia wampime wanapiga chenga mara kesho atapimwa mara highpertension iko juu visingizio kibao hovyo kabisa kama huna hela ya kuhonga mgonjwa atakufa wanamwangalia.
Shame on you Kama mishahara midogo si muache kazi mkajiajiri huko mfungue hospital zenu mpige pesa nyingi.
Mlisomea masuala ya afya kuokoa uhai wa watu? au mtese viumbe vya Mungu siku ya Mwisho nyie ni motoni.
Dokta umecharaza sana hebu hariri bandiko lakoKazi hatuachii,,na tutapiga dili hadi kieleweke ,,baba yenu si kagoma kutuonheza mshahara!.. endeleen kuimba mapambio,,mnataka sisi tule nyadi?
Deep State wanatumia msambwanda kufikiriaHii itakuwa kali,vumbi la kongo kupanda bei,kuibuka upwa kwa dawa za ajabuajabu za kienyeji kama mavi ya tembo,mafuta ya simba,manyoya ya sungura,majani ya miti na mizizi yake.Mfumo wa afya utavurugika sana.Hizi siasa za kikora si nzuri kwa maendeleo ya Taifa
Time will tellVERY pessimistic mindset; Tanzania is steadily moving forward. You better adjust your broken clocks, labda ndizo zinagonga mizunguko ya "shangazi-clock-waizi!"
Daa nimechekaaa ...eti kama hujui kubeti anza kujifunza kumbe chama cha wazee kubeti kitaanza kuheshimikaaaaNdugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu (🐐🐐 🇺🇸 a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi.
Kutokana na hotuba ya Jana pale jumba la dhahabu, baba kaweka wazi mipango yake ya miaka mitano, hamna sehemu kataja mfuko wa bima ya afya, hi kwa ajira zenu sio changamoto.
Changamoto ni hii Hapa
View attachment 1626016
Yaani upo ndani ya ndoa, umeolewa, halafu bila kupepesa macho, mume anakutangazia rasmi, kuanzia leo wewe Mke wangu na msichana wa kazi, mna haki sawa na hadhi sawa.
Mkuu kasoma mchezo, kagundua hatutakuwa hatuna tena madawa ya msaada, Wala kasenti ketu hakatutoshelezi, hivyo basi, watu wa sekta ya afya mtapunguzwa ili kubana matumizi.
Kama ulikuwa hujui kubeti, Bora uanze kujifunza sasa.
Umechezea cadaver mwaka mzima halafu Manyaunyau na damu zake za paka anakuja kukuondoa wodini.
I love CCM
Hatari Sana. Ndio wawekezaji peker watakaobakiDaa nimechekaaa ...eti kama hujui kubeti anza kujifunza kumbe chama cha wazee kubeti kitaanza kuheshimikaaaa
Nasemaje beti uliwe...mwez huu tangu nibeti naliwa tyu..😀😀😀🤣Hatari Sana. Ndio wawekezaji peker watakaobaki
Huku ndio kuisoma namba kwenyeweHii itakuwa kali,vumbi la kongo kupanda bei,kuibuka upwa kwa dawa za ajabuajabu za kienyeji kama mavi ya tembo,mafuta ya simba,manyoya ya sungura,majani ya miti na mizizi yake.Mfumo wa afya utavurugika sana.Hizi siasa za kikora si nzuri kwa maendeleo ya Taifa
Halafu Kuna shule watoto wanazimia kwa ajili ya kurogwa. Kuna haja Kila shule badala ya kuwa na mtoa huduma ya Kwanza kuwepo na sangoma, hiyo ni basic needKama Bibi zenu na babu zenu hawataki kuwaachia urithi wa miti shamba ndo serikali inawasaidia ili muachiwe urithi huo, Tena Kila hospital na shule zipande dawa muhimu za asili kwaajili ya huduma za haraka yaani mtu ujikate kidogo eti hakuna hata Jani la kukamulia kidonda kikauke, kwa Hilo niko pamoja na JPM kikubwa dawa nzuri zinapatikana porini hivyo zisogezwe mjini kwenye huduma muhimu.
Soma hiyo attached doc
Mtu kama huyo hajui hata anachoongea
Kwa ufupi tu!,inasema nini?Soma hiyo attached doc
Soma hiyo attached doc
Hatuna RaisNdugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu ([emoji238][emoji238] [emoji631] a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi.
Kutokana na hotuba ya Jana pale jumba la dhahabu, baba kaweka wazi mipango yake ya miaka mitano, hamna sehemu kataja mfuko wa bima ya afya, hi kwa ajira zenu sio changamoto.
Changamoto ni hii Hapa
View attachment 1626016
Yaani upo ndani ya ndoa, umeolewa, halafu bila kupepesa macho, mume anakutangazia rasmi, kuanzia leo wewe Mke wangu na msichana wa kazi, mna haki sawa na hadhi sawa.
Mkuu kasoma mchezo, kagundua hatutakuwa hatuna tena madawa ya msaada, Wala kasenti ketu hakatutoshelezi, hivyo basi, watu wa sekta ya afya mtapunguzwa ili kubana matumizi.
Kama ulikuwa hujui kubeti, Bora uanze kujifunza sasa.
Umechezea cadaver mwaka mzima halafu Manyaunyau na damu zake za paka anakuja kukuondoa wodini.
I love CCM
Ndugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu ([emoji238][emoji238] [emoji631] a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi.
Kutokana na hotuba ya Jana pale jumba la dhahabu, baba kaweka wazi mipango yake ya miaka mitano, hamna sehemu kataja mfuko wa bima ya afya, hi kwa ajira zenu sio changamoto.
Changamoto ni hii Hapa
View attachment 1626016
Yaani upo ndani ya ndoa, umeolewa, halafu bila kupepesa macho, mume anakutangazia rasmi, kuanzia leo wewe Mke wangu na msichana wa kazi, mna haki sawa na hadhi sawa.
Mkuu kasoma mchezo, kagundua hatutakuwa hatuna tena madawa ya msaada, Wala kasenti ketu hakatutoshelezi, hivyo basi, watu wa sekta ya afya mtapunguzwa ili kubana matumizi.
Kama ulikuwa hujui kubeti, Bora uanze kujifunza sasa.
Umechezea cadaver mwaka mzima halafu Manyaunyau na damu zake za paka anakuja kukuondoa wodini.
I love CCM
Hapa umechemka vibaya, huu ujinga wako haununuliki! !Ndugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu ([emoji238][emoji238] [emoji631] a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi.
Kutokana na hotuba ya Jana pale jumba la dhahabu, baba kaweka wazi mipango yake ya miaka mitano, hamna sehemu kataja mfuko wa bima ya afya, hi kwa ajira zenu sio changamoto.
Changamoto ni hii Hapa
View attachment 1626016
Yaani upo ndani ya ndoa, umeolewa, halafu bila kupepesa macho, mume anakutangazia rasmi, kuanzia leo wewe Mke wangu na msichana wa kazi, mna haki sawa na hadhi sawa.
Mkuu kasoma mchezo, kagundua hatutakuwa hatuna tena madawa ya msaada, Wala kasenti ketu hakatutoshelezi, hivyo basi, watu wa sekta ya afya mtapunguzwa ili kubana matumizi.
Kama ulikuwa hujui kubeti, Bora uanze kujifunza sasa.
Umechezea cadaver mwaka mzima halafu Manyaunyau na damu zake za paka anakuja kukuondoa wodini.
I love CCM