Madaktari, manesi na watu wa maabara ajira zenu ziko mashakani

Madaktari, manesi na watu wa maabara ajira zenu ziko mashakani

Wataachiwa wafanye mpaka upasuaji tuone.

Mkuu huko kamwe uwezo hawana ila magonjwa sugu kama pressure , kisukali , hiv haya kwa mfumo mzuri wa ulaji vyakula hawahitaji elimu kubwa kugundua kusaidia upatikanaji wa unafuu kwa wagonjwa , mkuu upasuaji hiyoni taaluma bingwa haibahatishi.
 
Very ignorant thread. Uwepo wa tiba mbadala na ajira za manesi kutishiwavina uhusiano gani? Fika pale Muhimbili kuna kitengo kinafanya utafiti wa tiba mbadala. Kinachoenda kufanyika ni kuongeza nguvu tufike mahali tuweze fanya clinical trials za mitishaba ili iweze kutambulika katika dunia ya sayansi
 
Back
Top Bottom