Madaktari njooni hapa mtueleze huu ni ugonjwa gani kitaalam, kienyeji huku wanaita "kajembe"

Madaktari njooni hapa mtueleze huu ni ugonjwa gani kitaalam, kienyeji huku wanaita "kajembe"

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hellow wakuu,

Kuna dada mmoja ana umri wa miaka 39 ni mkulima mama wa watoto wanne,

Anachangamoto ya "kajembe" (kati kati ya kifua kwa chini pametengeneza shape ya mbonyeo "u flat"

Mapigo yake ya moyo yapo juu 100 beats per second

Hii ni ya miaka mibgi.

Analalamika kifua kibana na maumivu ya kichwa

Naambatanisha video hapo chini confidentiality imezingatiwa


Hii case huku wanadeal nayo kienyeji lakini nimeona kuna umuhimu wa kupata ushauri wa kitaalam

Nawasilisha
 

Attachments

  • VID_20250126_130905.mp4
    15.7 MB
Hellow wakuu,

Kuna dada mmoja ana umri wa miaka 39 ni mkulima mama wa watoto wanne,

Anachangamoto ya "kajembe" (kati kati ya kifua kwa chini pametengeneza shape ya mbonyeo "u flat"

Mapigo yake ya moyo yapo juu 100 beats per second

Hii ni ya miaka mibgi.

Analalamika kifua kibana na maumivu ya kichwa

Naambatanisha video hapo chini confidentiality imezingatiwa


Hii case huku wanadeal nayo kienyeji lakini nimeona kuna umuhimu wa kupata ushauri wa kitaalam

Nawasilisha
Hii ngumu kumeza kwasababu eneo hilo kuna mfupa mgumu na nyuma yake ndio mapafu na moyo vimekaa. Hakuna uwezekano wa hapo kupumua hvyo aidha kuwe na tobo na moyo uko juu ya hyo skeleton ya kifua. Mh mambo haya aende hospitali aisee ten kubwa au private ale xray wabobez waone kunani
 
Hellow wakuu,

Kuna dada mmoja ana umri wa miaka 39 ni mkulima mama wa watoto wanne,

Anachangamoto ya "kajembe" (kati kati ya kifua kwa chini pametengeneza shape ya mbonyeo "u flat"

Mapigo yake ya moyo yapo juu 100 beats per second

Hii ni ya miaka mibgi.

Analalamika kifua kibana na maumivu ya kichwa

Naambatanisha video hapo chini confidentiality imezingatiwa


Hii case huku wanadeal nayo kienyeji lakini nimeona kuna umuhimu wa kupata ushauri wa kitaalam

Nawasilisha
mpeleke akapatiwe matibabu ya Madonda ya Tumbo .
 
Hellow wakuu,

Kuna dada mmoja ana umri wa miaka 39 ni mkulima mama wa watoto wanne,

Anachangamoto ya "kajembe" (kati kati ya kifua kwa chini pametengeneza shape ya mbonyeo "u flat"

Mapigo yake ya moyo yapo juu 100 beats per second

Hii ni ya miaka mibgi.

Analalamika kifua kibana na maumivu ya kichwa

Naambatanisha video hapo chini confidentiality imezingatiwa


Hii case huku wanadeal nayo kienyeji lakini nimeona kuna umuhimu wa kupata ushauri wa kitaalam

Nawasilisha
Slianza kuhisi hivyo toka akiwa na miaka mingapi ?
 
Hellow wakuu,

Kuna dada mmoja ana umri wa miaka 39 ni mkulima mama wa watoto wanne,

Anachangamoto ya "kajembe" (kati kati ya kifua kwa chini pametengeneza shape ya mbonyeo "u flat"

Mapigo yake ya moyo yapo juu 100 beats per second

Hii ni ya miaka mibgi.

Analalamika kifua kibana na maumivu ya kichwa

Naambatanisha video hapo chini confidentiality imezingatiwa


Hii case huku wanadeal nayo kienyeji lakini nimeona kuna umuhimu wa kupata ushauri wa kitaalam

Nawasilisha
Mwambie aache Imani za kishirikina. Hizo chale 3 kifuani ni ishara ya ulozi na alama za shetani Huwa hazifutiki hata kwa make up
 
Mwambie aache Imani za kishirikina. Hizo chale 3 kifuani ni ishara ya ulozi na alama za shetani Huwa hazifutiki hata kwa make up
Huo sio uchawi ni route ya drug administration kizungu inaitwa subcutaneous route

Pima kitu kwa facts
 
Back
Top Bottom