Madaktari tumshauri huyu mshkaji anaugua gonjwa la ajabu....

Madaktari tumshauri huyu mshkaji anaugua gonjwa la ajabu....

Ujumbe utamfikia mkuu, asset geto la kijana cha maana vinguo vyake na jiko la mafuta ya taa lile.....
Disease ishaingia Systemically so anahitaji matibabu ya kina. Akope au auze assets aende hosp akatibiwe (kimfaacho mtu ni kile alonacho)

Pole kwake!
 
Hospitali anataka saaaana fedha ni tatizo mkuu anaazima hela ya kwenda hospitali
Hospital huwezi kufukuzwa at a kama hauna hela nadhani ana cheza na afya anapataje hela ya kwenda pharmacy ana shindwa kupata elfu 5000 ya cheti ya kumuona daktari
 
Hospital huwezi kufukuzwa at a kama hauna hela nadhani ana cheza na afya anapataje hela ya kwenda pharmacy ana shindwa kupata elfu 5000 ya cheti ya kumuona daktari
Nitalifikisha mkuu
 
Inavyo oneka kwa mtiririko mzima wa maelezo yako, huyo jamaa anaumwa ugonjwa wa UKATA...!!

Maana katika sentensi (maelezo) yote uliyo toa, neno jamaa hana hela limejitokeza mara nyingi.

"UKATISIM" ukimuishia (namaanisha akipata hela ya kutosha) hakuna kitakacho shindikana..!

Mshauri aweke BONDI Bodaboda yake ajitibie kwanza hilo tatizo..

Pole kwake Mgonjwa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inavyo oneka kwa mtiririko mzima wa maelezo yako, huyo jamaa anaumwa ugonjwa wa UKATA...!!

Maana katika sentensi (maelezo) yote uliyo toa, neno jamaa hana hela limejitokeza mara nyingi.

"UKATISIM" ukimuishia (namaanisha akipata hela ya kutosha) hakuna kitakacho shindikana..!

Mshauri aweke BONDI Bodaboda yake ajitibie kwanza hilo tatizo..

Pole kwake Mgonjwa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na huyo jamaa ndio mwandika thread
 
Sasa nikikuandikia dawa rafiki na unasema no money itasaidia nini? Halafu kwa level ugonjwa ulipofikia kwa maelezo yako unahitaji physical and chemical diagnosis.

Hapa ndo maana unashauriwa kuwa suruhisho halali ni kwenda Hosp ili afanyiwe check ups then awe prescribed proper medicines per problem detected.

Kutaja dawa tu bila hosp si sahihi hapa!
Madaktari mko wapi jamani....
 
Kaka iyo ni afya si mchezo mchezo kama anaweza auze aseti zake za ndani aende akatibiwe mana hali si hali
Daaaaah jamaa hawezi mudu hakika hawezi mudu nilimpa buku 5 nkabaki na buku tatu hiyo hela nilitegemea inivushe wiki nzima mzee kumsaidia kwa haliyake ningemsaidia haraka sana
 
Kumbuka mwandishi ni mimi na story ni ya mwingine... Nimetia msisitizo ili kuonesha uhalisia wa kile kinachomwamisha...

Ni neno ambalo nasisitizia kuonesha kuwa kwa wajuzi wa hili tatizo ANAHITAJI TIBA YA GHARAMA NAFUU
Inavyo oneka kwa mtiririko mzima wa maelezo yako, huyo jamaa anaumwa ugonjwa wa UKATA...!!

Maana katika sentensi (maelezo) yote uliyo toa, neno jamaa hana hela limejitokeza mara nyingi.

"UKATISIM" ukimuishia (namaanisha akipata hela ya kutosha) hakuna kitakacho shindikana..!

Mshauri aweke BONDI Bodaboda yake ajitibie kwanza hilo tatizo..

Pole kwake Mgonjwa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu naomba jikite kwenye lengo la thread just help where necessary anaitaji kupata tiba upesi, kama una ufahamu tushare pamoja hapa
Na huyo jamaa ndio mwandika thread
 
Aisee upo sahihi kabisa.. Nitamuambia
Sasa nikikuandikia dawa rafiki na unasema no money itasaidia nini? Halafu kwa level ugonjwa ulipofikia kwa maelezo yako unahitaji physical and chemical diagnosis.

Hapa ndo maana unashauriwa kuwa suruhisho halali ni kwenda Hosp ili afanyiwe check ups then awe prescribed proper medicines per problem detected.

Kutaja dawa tu bila hosp si sahihi hapa!
 
Kikubwa kuna mambo madogo ya kuzingatia ambayo yanaweza mpelekea asipone hali hio
1. Kabla ya kupakaa dawa ahakikishe anaosha na kukausha vizuri sehemu husika.
2. Apakae cream ya kutosha (thin layer) sehemu husika na kwenye ngozi karibu na sehemu ilio athirika.
3. Asirudie nguo alizovaa baada ya kupakaa cream hadi azisafishe.
Hayo ni mambo madogo ya kuzingatia, anaweza akatumia dawa zote bila mafanikio na pia asiishie pharmacy aende hospital akamuone daktari kabisa ili apate dawa sahihi.
 
Ni used alinunua 750000 boxer ya mwaka 2015 haoneshi kuwa willing kuiuza, nitamfikishia ujumbe wako mkuu maamuzi ni yake
Aweke rehani bodaboda yake ya 2,500,000.00 achukue laki 5 akajitibie akishapona atatafuta njia ya kurudisha hiyo hela,we live once,na ukifa hiyo bodaboda watachukua wengine na kuendelea na maisha...
 
Kikubwa kuna mambo madogo ya kuzingatia ambayo yanaweza mpelekea asipone hali hio
1. Kabla ya kupakaa dawa ahakikishe anaosha na kukausha vizuri sehemu husika.
2. Apakae cream ya kutosha (thin layer) sehemu husika na kwenye ngozi karibu na sehemu ilio athirika.
3. Asirudie nguo alizovaa baada ya kupakaa cream hadi azisafishe.
Hayo ni mambo madogo ya kuzingatia, anaweza akatumia dawa zote bila mafanikio na pia asiishie pharmacy aende hospital akamuone daktari kabisa ili apate dawa sahihi.
Ujumbe utamfikia thanx
 
hivi hujiulizi ni kwanini watu wanauza figo lakini hawauzi dudu la yuyu a.k.a mjulubeng..!? mwambie aache utoto akiipoteza itabidi ajiunge chama la kina davito,bobrisky na jamesdelicious
 
apo hakuna msaada tofauti na kwenda hospitali, yaan awahi fasta akope pesa au aombe msaada kwa ndugu wa karibu.
 
Mkuu kwa hilo tatizo inaitajika pesa huwezi sema inaitajika matibabu ya garama nafuu aende kwa bodaboda wenzake wamchangie
Kumbuka mwandishi ni mimi na story ni ya mwingine... Nimetia msisitizo ili kuonesha uhalisia wa kile kinachomwamisha...

Ni neno ambalo nasisitizia kuonesha kuwa kwa wajuzi wa hili tatizo ANAHITAJI TIBA YA GHARAMA NAFUU
 
Back
Top Bottom