Ooh sawa nilijua huyo jamaa yupo dar nimuelekeze pharmacy niliposaidiwa na mm.Hapana nimesoma SINO
Naikumbuka dawa/cream moja ya kupaka inaitwa Gentalene-C.Vipi dawa gani ulisaidiwa mkuu
Naikumbuka dawa/cream moja ya kupaka inaitwa Gentalene-C.
Na vidonge vingine nimevisahau ambavyo ni Anti bacteria infection.
Kwa maelezo ya Yule mtaalamu aliniambia kwamba fungus ukichelewa kuzitibu zinasababisha kutokea kwa bacteria.
Kwa hyo kutibu kwake unatibu zote fungus na bacteria sambamba.
Hiyo ni fangasi mkuu advance ilinishambukia sana mpaka leo pumbu zangu zina rangi nyekundu na ngozi laini toka mwaka 2009. Nilipaka mpaka spirit ile ya kijani wapi. Ila nilivorudi nyanda za juu fangasi ikasepa yenyewe. Ila madhara yake bado yapo mpaka leo.
Hatari sana fangasi acha tu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nyekundu????
Kuna dawa nilikunywa mwishoni kidonge buku nishasahau jina Dose siku 30 angalau ilosaidia bahati mbaya ikarudi tena mazingira yanachangia zaidi huu ugonjwa kuwa sugu.Nmeshuhudia mkuu mtu anaoza anajiona
Kuna dawa nilikunywa mwishoni kidonge buku nishasahau jina Dose siku 30 angalau ilosaidia bahati mbaya ikarudi tena mazingira yanachangia zaidi huu ugonjwa kuwa sugu.
Sasa nikikuandikia dawa rafiki na unasema no money itasaidia nini? Halafu kwa level ugonjwa ulipofikia kwa maelezo yako unahitaji physical and chemical diagnosis.
Hapa ndo maana unashauriwa kuwa suruhisho halali ni kwenda Hosp ili afanyiwe check ups then awe prescribed proper medicines per problem detected.
Kutaja dawa tu bila hosp si sahihi hapa!
Aweke bondi bodaboda yake. Ili awahi kwa Daktari. Asione tabu kwani ninaumwa na mguu hii wiki yatatu asa ivi na nishatumi sichini ya sh 700,000 mpaka sasa. Nilijichoma na msumari tu. Ila nashkuru maendeleo mazuri Alhamdulilah.
Kumbe best ww Dk[emoji39][emoji39][emoji39]...
Au tuanze kamchango mzee baba embu lete no hizo wadau wachangie mana aina jinsi