Madaktari tusaidiane hapa.

Madaktari tusaidiane hapa.

DrYUSUPH KISUNZU

New Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
4
Reaction score
0
Mimi ni mwanafunzi nasoma medicine ngazi ya diploma kinachonisumbua ni kumaster diseases na dawa zake ikiwemo na dosage yake.
Namna gani ninaweza kuzishka? Nisaidieni tafadhari najua tunasumbuliwa wengi tu. Tusaidieni mbinu.
 
Ok nashukuru kwa msaada huo nilijua huwa kuna njia mbadala mbali na kukalili hasa mnemonics za madawa na magonjwa yake. Asanteni
 
Back
Top Bottom