Madaktari wa JamiiForums huu Ugonjwa Hatari na Mpya Mitandaoni unaitwaje?

Madaktari wa JamiiForums huu Ugonjwa Hatari na Mpya Mitandaoni unaitwaje?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Unakuta kuna Member Mmoja Maarufu mno Mitandaoni mpaka Rais Samia anamjua na Kufurahishwa nae na Wengine baadhi ila anachukiwa na Members kadhaa lakini hao hao Members Wanaomchukia huyo Member maarufu kila mara na kila Saa tu Wanamfuatilia na Kumsoma huku Wengine hata wakiwa Wanamfolo vile vile.

Nasikia Kitaalam / Kitabibu hawa Watu ( Members ) wana Ugonjwa Hatari sana unaowasumbua ila bahati mbaya hawaujui na wala hawajijui pia.

GENTAMYCINE naomba kujua kutoka Kwenu Madaktari Bingwa mlioko hapa JamiiForums je, huu Ugonjwa unaitwaje na Unatibikaje ili Unaowahusu wakaanze Tiba zao Milembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam?

Cc: Chaliifrancisco etc
 
Unakuta kuna Member Mmoja Maarufu mno Mitandaoni mpaka Rais Samia anamjua na Kufurahishwa nae na Wengine baadhi ila anachukiwa na Members kadhaa lakini hao hao Members Wanaomchukia huyo Member maarufu kila mara na kila Saa tu Wanamfuatilia na Kumsoma huku Wengine hata wakiwa Wanamfolo vile vile.

Nasikia Kitaalam / Kitabibu hawa Watu ( Members ) wana Ugonjwa Hatari sana unaowasumbua ila bahati mbaya hawaujui na wala hawajijui pia.

GENTAMYCINE naomba kujua kutoka Kwenu Madaktari Bingwa mlioko hapa JamiiForums je, huu Ugonjwa unaitwaje na Unatibikaje ili Unaowahusu wakaanze Tiba zao Milembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam?
Mkuu pole sana ukiona unapigwa Vita na Member humu Jamii Forums ujuwe kuwa umewazidi Kinyota ushauri wangu wapuuze hao wanaokupiga vita. Waswahili wanasema kuwa Mti wa Muembe unapigwa mawe wakati umejaa maembe hauwezi kupigwa mawe Muembe ambao hauna maembe.. Usijali Member Wakikupiga Vita ujuwe umewazidi nyota yako ina ng'ara.
 
Mkuu pole sana ukiona unapigwa Vita na Member humu Jamii Forums ujuwe kuwa umewazidi Kinyota ushauri wangu wapuuze hao wanaokupiga vita. Waswahili wanasema kuwa Mti wa Muembe unapigwa mawe wakati umejaa maembe hauwezi kupigwa mawe Muembe ambao hauna maembe.. Usijali Member Wakikupiga Vita ujuwe umewazidi nyota yako ina ng'ara.
Cc: Chaliifrancisco
 
Moderator chizi katoroka hospital, adhibitiwe haraka kabla hajaleta madhara.
Herbalist Dr MziziMkavu naona sasa taratibu Wagonjwa wa Akili ambao huu Uzi unawalenga wameanza Kujitokeza mafichoni na watajitokeza wengi hivyo nakuomba uanze Kuwahesabu ili ujue una Wateja wako wangapi upige Hela kupitia huo Ugonjwa wao.
 
Herbalist Dr MziziMkavu naona sasa taratibu Wagonjwa wa Akili ambao huu Uzi unawalenga wameanza Kujitokeza mafichoni na watajitokeza wengi hivyo nakuomba uanze Kuwahesabu ili ujue una Wateja wako wangapi upige Hela kupitia huo Ugonjwa wao.
Usishindane nao hao wanakuonea wivu na chuki bila ya sababu Wapuuze wewe endelea kutoa mafundisho na ushauri wako mzuri hongera.
 
Herbalist Dr MziziMkavu naona sasa taratibu Wagonjwa wa Akili ambao huu Uzi unawalenga wameanza Kujitokeza mafichoni na watajitokeza wengi hivyo nakuomba uanze Kuwahesabu ili ujue una Wateja wako wangapi upige Hela kupitia huo Ugonjwa wao.
halafu sisi shabiki zako hatujazoea kukuona ukijibu comment kwa ustaarabu namna hii.

tumezoea kukuona ukijibu kwa jeuri, jazba na matusi. umepatwa na nini jamaa yangu?. unatuvuruga bhana.
 
CD827193-8790-4AF5-B066-EACDE296B28B.jpeg
 
halafu sisi shabiki zako hatujazoea kukuona ukijibu comment kwa ustaarabu namna hii.

tumezoea kukuona ukijibu kwa jeuri, jazba na matusi.

umepatwa na nini jamaa yanggu?. unatuvuruga bhana.
Herbalist Dr MziziMkavu tafadhali naomba uniwekee 10% yangu kwa Kukutafutia Wagonjwa wa Kuwatibu kwa kutumia Akili yangu Kubwa yenye Mbinu nyingi sawa?
 
Jentamaisini sijawahi kugombana na wewe lakini ukiona Simba amelala usifikiri amefariki ukaanza kumvuta vuta mkia na kumchezea sharubu.
hajazoea kupitiasha wiki bila ban, sometimes huwa anaamua yeye mwenyewe kujitengenezea mazingira ya kujiweka kwenye mtego.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom