Madaktari wa JamiiForums huu Ugonjwa Hatari na Mpya Mitandaoni unaitwaje?

Madaktari wa JamiiForums huu Ugonjwa Hatari na Mpya Mitandaoni unaitwaje?

Jentamaisini sijawahi kugombana na wewe lakini ukiona Simba amelala usifikiri amefariki ukaanza kumvuta vuta mkia na kumchezea sharubu.
Aisee umetuangusha sana wanachuga, umeongeaaje hivyo aisee,.
Andika kama kijana wa matejoo nakuja kuchungulia aisee tofauti na hapo uhame mkoa huu
 
Back
Top Bottom