Madaktari wa JamiiForums huu Ugonjwa Hatari na Mpya Mitandaoni unaitwaje?

Jentamaisini sijawahi kugombana na wewe lakini ukiona Simba amelala usifikiri amefariki ukaanza kumvuta vuta mkia na kumchezea sharubu.
Aisee umetuangusha sana wanachuga, umeongeaaje hivyo aisee,.
Andika kama kijana wa matejoo nakuja kuchungulia aisee tofauti na hapo uhame mkoa huu
 
Shoga hawezi sumbua watu wazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…