Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mahindi ya kuchemsha, yana fibres za kutosha zinazo facilitate movement za kinyesi vzuriKupata choo Kwa shida inasababishwa minyoo lakini pia tatizo la kutokunywa Maji ipasavyo na kutokula matunda.
Nakushauri njia sahihi ya wewe kupata choo haraka ni kula Tunda la Papai.
Kula Papai zima halafu kesho njoo ulete mrejesho hapa kama hujapata choo hadi ukahamia huko huko chooni 😜
Nilikuwa sijui kuhusu hiliNa mahindi ya kuchemsha, yana fibres za kutosha zinazo facilitate movement za kinyesi vzuri
Madaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Hili tumbo litakuwa ni self- contained.Madaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Kama ni maji nakunywa Lita mbili Kwa siku na kama matunda nakula Sana hasa mapapai lakini sioni matokeo.Kupata choo Kwa shida inasababishwa minyoo lakini pia tatizo la kutokunywa Maji ipasavyo na kutokula matunda.
Nakushauri njia sahihi ya wewe kupata choo haraka ni kula Tunda la Papai.
Kula Papai zima halafu kesho njoo ulete mrejesho hapa kama hujapata choo hadi ukahamia huko huko chooni [emoji12]
Mahindi nakula Sana.Na mahindi ya kuchemsha, yana fibres za kutosha zinazo facilitate movement za kinyesi vzuri
Mkuu papai nakula Sana na mwanzoni niliweka tumaini kwenye papai lakini sioni matokeo.Kula papai kwa wingi
Naishi hivi Kwa Miaka miwili sasahivi nikitafuta suluhisho.Hata ukiamka asubuhi ukaanza na maji esp ya vuguvugu hukipati?
1 week nzima usifanye mchezo ukaja kusababisha maradhi makubwa
Dr toa neno.duh soft guy hapati choo
pole mkuu
Hapo waone wataalam wa afyaMkuu papai nakula Sana na mwanzoni niliweka tumaini kwenye papai lakini sioni matokeo.