Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Mimi nimesumbuliwa na hili tatzo kwa miaka 2 hadi nilikata tamaa, kupata Choo had umeze dawa na ilifika mahal dawa zikadundaaaa nikaambiwa nikapigwe bomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu aliwahi kuwa na hilo tatizo, nikampelekea Mapapai mawili kama zawadi.Papai zima avae pampas kbs
vipi mkuu ulienda kupigwa paipu? au uliponaje hilo tatizo?Mimi nimesumbuliwa na hili tatzo kwa miaka 2 hadi nilikata tamaa, kupata Choo had umeze dawa na ilifika mahal dawa zikadundaaaa nikaambiwa nikapigwe bomba
Wataalamu wa Choocology wapo humu watakusaidiaMadaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Pole sana.Hivi vinafanyaje kazi
Njoo home kuna Bonge la 🚽 toilet
Nenda utibu minyoo kwanza, utakuwa na hilo tatizo.Kama ni maji nakunywa Lita mbili Kwa siku na kama matunda nakula Sana hasa mapapai lakini sioni matokeo.
huwa wanawafanyia operation halafu wanawakamua utumbo.Duu dunia ina magonjwa mengine ya hatari na kustaajabisha Sana sio utani mtaani kwetu kulikuwa na jamaa Fulani ivi nae alikuwa na ugonjwa wa kutopata choo na jamaa alikufa we fikiria unakula miezi 2 na haunyi noma xanaa
Una shida nyingine yoyote ya kiafya inayokusumbua kws muda mrefu ?Naishi hivi Kwa Miaka miwili sasahivi nikitafuta suluhisho.
Unawez ukal papai zima lenye ukubwa wa ngumi yako nalo hilo ni zima eti,ishu sio kusema papai zima,ishu ni ukubwa wa papai.Papai niliwahi kula zima lakini sikupata choo ila kiboko ni parachichi