min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
🥲🥲 unanisingiziaAlisema unamimba yake tena changa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥲🥲 unanisingiziaAlisema unamimba yake tena changa
Ooooh huijui kijana,bomba linapitishwa kwa.......... ngoja waje sijui tafsidaKubigwa Bomba Inakuaje iyo
Naomba umsamehe alilewa siku ileKabisa sitaki uongo
Hii hujitaji doctor, km Una blander,Chukua parachichi, papai na ndizi tengeneza juisi unywe,km huna nunua mwenyewe Chukua parachichi,ndizi mbivu,papai na tikitimaji osha katakata,tafuta movie yako angalia huku unakula taratibu vikiisha subiria kwenda safisha tumbo.Madaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Kweli tena🥲Naomba umsamehe alilewa siku ile
Nimeshasema ukitakq sema ukweli🥲🥲 unanisingizia
EhNaomba umsamehe alilewa siku ile
Msamehe min me tatizo yule anapenda kulewa
zinasaidia kupata choo kwa harakaHivi vinafanyaje kazi
Msamehe min me tatizo yule anapenda kulewa
Kwahyo tunaotaka kuhamia vyooni tule mapapai mazima 😂ulete mrejesho hapa kama hujapata choo hadi ukahamia huko huko chooni 😜
Hapa atahara uharoo sio poakula karanga robo kunywa na maji
Funguka mkuu hupati choo kwa maana husikii haja ama unasikia haja ila mzigo hautoki kutokana na ugumu.Madaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Kupigwa bomba aka kuinikwaKubigwa Bomba Inakuaje iyo