Madaktari wa JF nisaidieni sipati choo

Madaktari wa JF nisaidieni sipati choo

Mimi hua sikati week ila kama unafanya kazi za kukaa sana usingojee hamu we nenda ufosi kunywa maji mengi
 
🍀 MARADHI YA KUTOPATA CHOO 🍀
Haya ni maradhi ambayo yamekithiri sana kwa binaadamu na kuweza kusababisha matatizo mbalimbali katika miili yetu.
Wako baadhi ya watu wenye tatizo hili, wao hawapati choo vizuri, katika hao wapo ambao hawapati choo Ila baada ya siku tatu nne hata wiki na wengine hupata choo mfano wa kilicho choo cha mbuzi.
Haya ni maradhi , tena ni maradhi hatari sana kwa wanaume na hata pia wanawake.
🍃Maradhi haya yakimtokea mwanaume humletea :::-----
👉Gesi tumboni
👉Vidonda tumbo
👉kumpotezea nguvu za kiume haraka
👉Bawasiri
🍃Vilevile maradhi haya yakimtokea mwanamke humsababishia :;;:;;-------
👉Chango
👉Vidonda vya tumbo
👉Gesi tumboni
👉kupoteza hamu ya tendo la ndoa
👉maumivu makali sana wakati wa tendo la ndoa
👉Bawasiri

SANAMAKI.
💥 TAHADHARI .... usitumie sanamaki na juisi ya limau, machungwa, na maziwa.
💥wajawazito na wanaonyonyesha usitumie dawa hii.

DAWA YA MTU ASIYEPATA CHOO.
⚡--->Chemsha dawa inayoitwa SANAMAKI kofi moja (kiganja kimoja) mpaka iive sawa sawa na unywe kikombe kimoja kutwa mara moja (1×1),
⚡--->Hakika utapata choo pia dawa hii ni mujarabu kwa wagonjwa wa tumbo.

🌻DAWA NYINGINE NI ZAYTUNI🌻
Kunywa mafuta ya zaytuni ujazo wa kikombe cha kahawa kutwa mara mbili siku tatu.
🌲 KWA WATOTO 🌲
Chukua MAFUTA YA LOZI kijiko kimoja cha chai ikiwa mtoto ni chini ya mwaka mmoja na ikiwa mtoto ni zaidi ya mwaka mmoja mpe kijiko kimoja cha chakula na fanya hivyo kutwa mara mbili siku 3.

Kwa ushauri tiba na mahitaji ya dawa zetu wasiliana nasi
What's app\call
+255656303019
~Chief Sang'ida .
Mnatumiaga mijina migumu ili mtafutwe...
Eti sanamaki...
 
Chukua papai lililoiva asubuh tu ikifika mchana utaachua makimba yakutosha
 
Kula paipai kunywa maji mengi pia kwenye chakula chako mboga za majani za kutosha
 
Mboga za majani zakutosha kama mchicha fungu moja kula mwenyewe na papai zima maji lita taty
 
Kupata choo Kwa shida inasababishwa minyoo lakini pia tatizo la kutokunywa Maji ipasavyo na kutokula matunda.

Nakushauri njia sahihi ya wewe kupata choo haraka ni kula Tunda la Papai.

Kula Papai zima halafu kesho njoo ulete mrejesho hapa kama hujapata choo hadi ukahamia huko huko chooni 😜
Inamaanako minyoo inagoma kuupisha mzigo?
 
Madaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Chukua sabuni ingiza kunako nununu the subiri, ila kunywa maji mengi sana 2 lt kwa uchache kwa siku, nunua matunda parachichi na papai ule kwa wingi pa2 na ndizi, acha kula wanga unaezachemsha mchicha ukala wenyewe tu kwa wingi, ukiona bado mzee kuna kimbegu kinaitwa mkuyati chukua vi3 meza ila hakikisha hauna kazi yoyote siku hiyo na hautoki nyumbani maana hiyo inakokots kila uchafu tumboni utahatisha mpaka roho itske kuchomoka, ila nunua oral weks kwenye maji unywe siku nzima polepile
 
Back
Top Bottom