- Thread starter
- #101
Kujamba sijambi na nikijamba nahisi kabisa kijambo hakijaisha.Kuna muda nalazimisha kitoke.wiki mkuu hiyo ni tatal constipation, vipi kuhusu kujamba unaweza kuachia mishuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujamba sijambi na nikijamba nahisi kabisa kijambo hakijaisha.Kuna muda nalazimisha kitoke.wiki mkuu hiyo ni tatal constipation, vipi kuhusu kujamba unaweza kuachia mishuzi?
Ulitokaje kwenye hii hali Dada.Mimi nimesumbuliwa na hili tatzo kwa miaka 2 hadi nilikata tamaa, kupata Choo had umeze dawa na ilifika mahal dawa zikadundaaaa nikaambiwa nikapigwe bomba
Hii bisacilodyl ukiitumia wanashauri uwe nyumbani,. Maana utapata choo laini sana (utaharisha). Na ukiharisha ndo hapo mwisho wa doziTumia suppository kama Hydrocortisone au Bisacodyl. Unaiingiza kule nyuma kwenye annus
Ntajaribu kufanyia kazi papai asubuhi mchana na jioni.Nione itakuwaje.Nenda utibu minyoo kwanza, utakuwa na hilo tatizo.
Maana wengi wenye hilo tatizo wakila Mapapai huisha
Nadhani ndicho anachotaka huyu mtoa mada. Mzigo ulainike halafu utoke mwiliniHii bisacilodyl ukiitumia wanashauri uwe nyumbani,. Maana utapata choo laini sana (utaharisha). Afu pindi ukiharisha ndo hapo mwisho wa dozi
ili upate choo lazima uwe umejenga angalau hta chumba kimoja mkuuMadaktari ni wiki moja na siku 2 tokea nilipopata choo mara ya mwisho.Nilienda Kwa Daktari nikapewa dozi nikamaliza lakini hamna mabadiliko.
Nashukuru mkuu hili nalo ntajaribu kufanyia kazi tatizo sio msimu wa mashamba.Kunywa maji ya kutosha,kula matunda hasa papai na parachichi,fanya mazoezi,au kama una kieneo unaweza lima basi lima walau hatua kumi kwa kumi,yaani kimba hili mlangoni,usile chapati chapati na maandazi,vinaziba sana
Hii inakuwaje mkuu.Wengine tuliponea futa la mnyonyo,,na tukabadili life style
yanauzwa maduka ya dawa mkuu,,haizid 5000,, unakunywa tu kawaidaHii inakuwaje mkuu.
Mkuu ni hiviFunguka mkuu hupati choo kwa maana husikii haja ama unasikia haja ila mzigo hautoki kutokana na ugumu.
Binafsi mzigo uligoma kutoka kwa takribani wiki tatu na siku kadhaa ilikuwa ni wakati wa maumivu nilitumia dawa za hospital na za kienyeji nikapona
Akapigwe bomba hospitali hapo hamna namna.duh soft guy hapati choo
pole mkuu
Naogopa ila ntafanyaje sasa.We huogopi?
Baada ya kuteseka sana 2021 na 2022Ulitokaje kwenye hii hali Dada.
Kwahiyo ulipigwa bomba au ulitafta namna nyingneMimi nimesumbuliwa na hili tatzo kwa miaka 2 hadi nilikata tamaa, kupata Choo had umeze dawa na ilifika mahal dawa zikadundaaaa nikaambiwa nikapigwe bomba
Basi Dada ulikutana na Malaika.Akakuponya Kwa maneno.Ushauri ntaujaribu.Baada ya kuteseka sana 2021 na 2022
Maisha yangu yalikua ni mimi na dawa na dawa na mimi ilifika wakat niliogopa kula,
Matunda yoteee niliyamaliza papai hata 3 kwa siku nilikula lakn hazikusaidia chochote,
Sikumoja niliamua kwenda hospital na kumueleza daktari kwa Mara ya kwanza,
Daktari Alitabasamu na akaniambia hivi,
Rudi nyumbani, mimi sikuandikii Matibabu yeyote,wewe ni mzima na hauna tatizo lolote.
Nilishangaa sanaaaaa yaan mimi nateseka yeye anasema Sina tatizo.......
Alinielekeza haya,
Kula ugali mlaini sana WA dona
Mboga za majani nyingi na za jamii ya kunde,
Kula matunda,yaan Kati ya vyakula vyangu kwa siku mlo m,moja uwe matunda pekee hasa papai na parachichi,
Ninywe maziwa mtindi kilasiku
Niache kula vyakula vya Ngano
Niache kula wali, n.k
Mimi nilpona toka sikuile nilipotoka hospital,
Hayo matunda siri hata hizo mboga za majan siyo mtumiaji
Ila napata Choo vzur, toka siku ile
Siri ngano ,siri wali
Minyoo hutaki kutibu?Ntajaribu kufanyia kazi papai asubuhi mchana na jioni.Nione itakuwaje.