Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
Yani kila hospital ninayopita sijawahi kutana na Dr asiye na mvutooo.
Duuuh wanajua kuvaa hasa suruali za kadeti mashati yamenyooshwa vizur yani mahandsome[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Jaman jana nilikuwa mitaa ya Mirembe hospital wale wakaka sjui walikuwa kwenye field sijui mitihani yani wotee wazurii khaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Ila madr wanajua kuvaa alafu mbona sura zaoo nzurii sana au macho yangu.

Usiombe ukutane na Mahb madr ndo wametoka kuajiriwa kama mwaka au miaka miwili wanakuwaga wazuri yanii vijana vijana wanavaa vizur yani [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]

Alafu Madr wanapenda kumiliki vitu vizur vizur kuanzia simu,magari na nyumba kwa sababu wana mihelaaa.

Ndo maana nimeamua kuolewa na Mganga kalumanzila maana nawazimia madaktareeee[emoji182][emoji182][emoji182]
image_search_1537601966044.jpg
 
Yani kila hospital ninayopita sijawahi kutana na Dr asiye na mvutooo.
Duuuh wanajua kuvaa hasa suruali za kadeti mashati yamenyooshwa vizur yani mahandsome[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Jaman jana nilikuwa mitaa ya Mirembe hospital wale wakaka sjui walikuwa kwenye field sijui mitihani yani wotee wazurii khaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Ila madr wanajua kuvaa alafu mbona sura zaoo nzurii sana au macho yangu.

Usiombe ukutane na Mahb madr ndo wametoka kuajiriwa kama mwaka au miaka miwili wanakuwaga wazuri yanii vijana vijana wanavaa vizur yani [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]

Alafu Madr wanapenda kumiliki vitu vizur vizur kuanzia simu,magari na nyumba kwa sababu wana mihelaaa.

Ndo maana nimeamua kuolewa na Mganga kalumanzila maana nawazimia madaktareeee[emoji182][emoji182][emoji182]View attachment 874207
Unamaanisha dr MD au specialist? Manake MD analipwa 900k per month hapo ana bachelor
 
Yani kila hospital ninayopita sijawahi kutana na Dr asiye na mvutooo.
Duuuh wanajua kuvaa hasa suruali za kadeti mashati yamenyooshwa vizur yani mahandsome[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Jaman jana nilikuwa mitaa ya Mirembe hospital wale wakaka sjui walikuwa kwenye field sijui mitihani yani wotee wazurii khaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Ila madr wanajua kuvaa alafu mbona sura zaoo nzurii sana au macho yangu.

Usiombe ukutane na Mahb madr ndo wametoka kuajiriwa kama mwaka au miaka miwili wanakuwaga wazuri yanii vijana vijana wanavaa vizur yani [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]

Alafu Madr wanapenda kumiliki vitu vizur vizur kuanzia simu,magari na nyumba kwa sababu wana mihelaaa.

Ndo maana nimeamua kuolewa na Mganga kalumanzila maana nawazimia madaktareeee[emoji182][emoji182][emoji182]View attachment 874207
Ma engineer vp?
 
I realy love this work

Despite all the hardship that we get

One thing , pride to us is not our first priority but some one's life

Nothing that makes me feel good like saving some body life

Na kuondoa uchungu to certain relatives

Na hakuna uchungu naupata like someone departing in my hand

I dont want it to happen again

I love my work
download%20(2).jpeg
 
Back
Top Bottom