Madaktari wa kiume wasijihusishe na uchunguzi wa sehemu za Siri za wanawake, sera itungwe upya daktari wa kike ahudumie wanawake!

Sasa wewe mkeo akigegedwa kinakuuma nini sii maamuvi ya mkeo
 
Kwani Tanzania mgonjwa wa kike hapewi nafasi ya kuchagua jinsia ya dr anayem-examine? Kama hawapewi basi nadhani ni kutokana na kuwa na upungufu wa madokta wa kike, lakini kama hamna dharura, mgonjwa ana haki ya kuchagua dr. Nchi nyingi sasa hivi wanawake wanapenda kutibiwa na wanawake wenzao pale wanapofanyiwa matibabu/kuchunguzwa sehemu za siri. Na pia ma-gynecologist wa kiume wanazidi kupungua na nafasi zao kuchukuliwa na kina mama.
 
Madaktari wenyewe kuna maeneo hawatoshi unadhani hilo litawezekana nchi nzima?.Option niwewe kuajiri daktari wako kwasababu dunia yaleo hakuna kipya.Kama niswala lakukosekana maadili na uadilifu ata hao wanawake nao wanamichezo michafu wao kwa wao siku hizi.cha msingi weledi,sheria na kanuni za kazi zizingatiwe.
 
Wanaogopa nini wakati wanasema HAKI sawa.au hii haki sawa nikwenye pesa na vyeo vyakisiasa tu uko kwingine wanataka kujitenga.
 
Hili jambo liangaliwe kwa jicho la mwewe maana ni kweli mtoto wa kike akishikwa kule kwa pap*chi hawezi kutoka salama,ata kwa madaktari wa kike huenda wanaingia huo mchezo na wagonjwa wa kiume,,
 
Me wakiume napenda sana kuonyesha kazi zangu kwa daktari wa kike, nahii unataka waitungie Sheria .
 
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu
Hata Madaktari wa kipindi kile wao pia walikuwa ni wa kisasa katika zama zao ni vile wewe ulikuwa bado mdogo ukawa unawaona kama madingi.

dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Wenyewe pia wanapenda na ndiyo maana hawajawahi kulalamika
 

Kwa hiyo unapendekeza Wanaume wahudumie Wanaume na wanawake wahudumie Wanawake?
Ni kwa uchumi huu huu ambapo dactari mmoja anahudumia watu sijui 1000?
 
Hivi ratio ya wauguzi kwa wagonjwa ipo vipi ? Au Tanzania tuna ma Gynaecologist wangapi na jinsia zao zipoje...

Hizi Political Correctness mara nyingi huwa ni noise zinazopoteza muda wa kufanya mambo ya msingi...
 
Nilioomaliza chuo nilipatwa na changamoto ya kiafya ikanibidi nilazwe hosii, jirani yangu alikuwa ni baba kabisa Kwa makamu yake na miaka yangu anqeza kunizaa.
Yule baba alikuwa na changamoto katika njia ya mkojo yani mkojo ulikuwa hautoki njia ilikuwa imeziba.

Kaka nurse mmoja asee akaanza kuishika mashine ya yule baba na nurse Kwa umri wake ni mtoto wa yule baba nilipatwa na aibu mimi pamoja na kuwa nilikuwa hoi lakin ile hali ilinihuzunisha sana.

Nurse alikuwa anaishika mara aipigepige mara aipikichepikiche yani ilikuwa ni balaa.

Kuna vile vipazia alikuwa kavitandaza kuziba watu wasione lakin kwa angle nilikuwa nimelazwa mimi kulikuwa hakuna kipingamizi niliona kila kilichoendlea
 
Haha ukishaumwaaa au kuwa matatizo ya mwili utakubaliana na lolote tu

Ova
 
Kwamba macho au Kope zako ziliganda na ulishindwa kufumba macho au kuangalia pembeni ?

Kuna kitu kinaitwa professionalism na thank God any nurse worth his / her salt anatambua hilo..., na kama mtu mgonjwa hizo habari za kwamba huyu ni binti au anaweza akawa mtoto wangu nadhani zinakuwa sio kipaumbele kwa wakati huo....

Kwahio inategemea kama kuna luxury ya wauguzi wa kila jinsia na kila umri basi hilo litafanyika..., bali hatuwezi kuwapoteza ndugu zetu kwa kukosa huduma sababu eti hatuna category ya muhudumu kwa mgonjwa husika (umri, jinsia na labda hata Imani)
 
Ikitungwa sheria hiyo itungwe sambamba na sheria nyingine ya kuwaadhibu wenye wivu wa kishamba dhidi ya wake zao ama waume zao.Na pia itungwe sheria ya kuhakikisha elimu ndani ya jamii zetu inatolewa kwa usawa kati ya watoto wa kike na wa kiume ili tuwapate madaktari wa kutosha kuwahudumia wanawake pekee na wanaume pekee.Bila kusahau kutunga sheria ya kuzuia upendeleo ili kuwapata madaktari hawa kwa sababu ya jinsia zao ila iwe ni kwa sifa zinazotakiwa na ufanisi unaohitajika katika kazi ya udaktari.
 
Daktari hawezi kukufanyia ujinga kama Wewe ni Mtu timamu,baadhi ya wagonjwa wakikutana na daktari wa kiume ndio hutoa vishawishi Kwa mhudumu,unakaa unamrembulia daktari unadhani yeye Sio binadamu?Unamshawishi mwenyewe anashawishika anakutumia Kwa sababu ya tamaa mwisho anakuacha.Na Wewe unaanza kulia baada ya Kuona lengo lako halijatimia.
Siku Zote jinsi mwanamke unavyojiweka ndio unavyokaribisha vishawishi muda mwingine Sio Kwa uzuri ulio nao bali ni kutokana na mienendo Yako kila anayepita anakuona kama Wewe ndio jalala la kumwaga uchafu.Jitahidi usiwe jalala,jijali na jithamini mwenyewe mwisho wa siku na Wewe utathaminiwa na kupata watu wanajua kujali na kuthamini.
 
Acha fikra mbaya, kwani akihudumiwa na mwanamke mwenzie hataingizwa vidole?? Kila sehemu kuna kanuni, sheria na maadili ya kazi, na mtoa huduma wa jinsia yeyote anaweza kuvunja maadili hayo.
Mbona kuna watoa huduma wa kike wanapigwa sana miti na wagonjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…