Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

Duuh hawa Jamaa mdogomdogo usikate hiki mara kile mwishowe watasema watu wasifanyiwe tohara( kutahiriwa)tena, ila wazingatie usafi tu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aaasubutuuuu,. wengine wana vuzi la kalikiti+stiliwaya full kuchomwa chomwa jomonii mpaka huelewi,.ziwepo tuu za stimulation kwa mbaaali na sio kama zile za yohana mbatizaji,. lol
😂😂😂 Ila kitu nachokubali kwenye msitu mara nyingi kunaambatana na uaminifu hasa kwa wapenzi wa mbali, yakirefuka sana unapunguza kwa mkasi tu zinabaki nyasi fupi Basi burudani😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nakuona ulivyolisubiri jibu hivi inawezekana kweli sijui Nina hali gani katika ikulu yangu mpk nikajiangalie,,ilikuwa mbinu ya kukimbia hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23]ikulu mujaraabu
 
Walahi naupenda msitu mnene wenye mfereji wenye maji mengi, msitu bila mbudu wala miti wala vijito siutaki asilani, kuna papa zingine ni ngumu zikakwaruza na zikata kama wembe, unaingiza tu kama unaingiza kwenye kiota cha miba. Fugeni fusi mpendeze
 
Kwa waislam tu.Kukaa na mavuzi mwanamke kukaa nayo kwa cku 20 na mme kwa cku 40 ni najinsi hivyo tusiwasikilize hao hata magomvi walikuwa hawakati sasa wanakata..
 
Umuhimu wa jukwaa la wakubwa ndo mada kama hizi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom