ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Moja ya sababu za maradhi yasiyoambukiza lakini yamewaathiri watu wengi (lifestyle diseases) ni ulaji mbovu wa vyakula hasa vya asili ya wanga na mafuta. Maradhi haya ni kisukari, maradhi ya moyo n.k
Kwa kuwa chakula kikuu cha wananchi wetu ni ugali wa mahindi nawashauri madaktari wetu wawashauri wagonjwa wao waachane ulaji wa ugali wa sembe kila wanapokwenda kwao kwa matibabu. Pia wenye mashine za kusaga unga wabadilike na kuanza kusaga unga wa dona wenye ubora ili tuanze kuuzoea.
Kwa kuwa chakula kikuu cha wananchi wetu ni ugali wa mahindi nawashauri madaktari wetu wawashauri wagonjwa wao waachane ulaji wa ugali wa sembe kila wanapokwenda kwao kwa matibabu. Pia wenye mashine za kusaga unga wabadilike na kuanza kusaga unga wa dona wenye ubora ili tuanze kuuzoea.