Point kubwa sana umeandika mzee👋👏Swali la kujiuliza, madaktari wao wamechanjwa, sasa kama wamechanjwa wanakufaje wakati wamechanjwa na tuliambiwa ukichwanjwa haufi hata ukiugua na wala haulazwi?
Na kama hawajachanja, ina maana na wao hawaamini chanjo hiyo wanayotusisitiza sisi tuchanjwe?
Mbona hatulazimishani kwenda kutibiwa tukiugua, chanjo bure na bado tulazimishane, mbona matibabu mengine hatulazimishani?
Hawa sio wataalam? Hebu soma profile yao na kwa nini wamejiuzulu!Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Sasa wewe inakuuma nini tukiwa wapumbavu? Au kinakusokota nini tukifa? Si ndio vizuri mbakie mliochanja werevu? Kinachokufurukuteni ni kipi haswa?Wote wanaopinga chanjo kichwani hamna kitu.
Sio chanjo zote zinatoka kwa mabeberu.
Nchi kama
Iran
Cuba
India
Taiwan
Urusi
Ni baadhi ya nchi wamegundua chanjo wao wenyewe kwa utalaam wao. Sasa hoja itakuwa na wao hawajui wafanyalo wanataka kuua raia wao wenyewe kwa chanjo waliogundua wenyewe bila msaada wa beberu ,,?
Haingii akilini.
Hapa bongo hatuna uwezo wa kutengeneza au kubuni chanjo lazima itoke nje.
Hoja nyingi za watu kuwa wajinga tu. Corona ipo. Futi 6 kule chini kwenye mwanandani hakuna jf kule acheni upumbafu. Corona ipo.
Sina ushauri kwa kuwa mpaka sasa ni jambo la hiari kila mtu atajuwa anataka nini ila kitu kimoja na uhakika baadae itakuwa ni lazima na zitatumika njia mbadala kulazimisha nchi zingine wameshaanza huwezi kwenda kazini kama hujachanja huwezi kwenda ofisi za serikali hujachanza watumishi wa umma utachagua kazi au chanjo taratibu itaanza optional lakini itabadilika. Corona haitaisha leo wala kesho kila mwaka kuna wave mpya inakuja tuko ya 3 sijui ya 4 na wameshasema dawa ni kuchanja tu huko mbele hutarusuhiwa kuhatarisha maisha ya watu wengine sababu ya maoni ya mtu binafsi huu ugonjwa wa dunia sio Tanzania tu. Nakuhakikishia iko siku watu watapiga foleni kuomba chanjo na hii msg yangu hifadhi utakumbuka haya maneno. Iko siku hata CV za kazi kigezo itakuwa umechanja? kuingia chuo umechanja? yanakuja yote haya na ubishi utaisha tu dunia imeamua ni suala la muda tu.Kwahiyo unashauri nini?
Na wewe si usichanje tu kuna sehemu nimelazimisha mtu akachanje? mbona mnajitoa ufahamu. kwa taarifa yako siku itakuja utaitafuta mwenyewe chanjo na hili linakuja wala usiwe na hofu ubishi wote utaisha usidhani sasa hivi unabembelezwa ndio itakuwa hivi maisha taraitibu mtu ataambiwa achague achanjwe au akae nyumbani maana hata kubaliwa sehemu taratibu tu imeanza... mark hii msgWewe si uchanjetu basi
Kati ya watanzania milioni 57 waliochanja hawafiki Laki nne, ina maana hao million 56 wote wasiochanja ni wafuasi wa Askifu Gwajima?Wote wanaopinga chanjo kichwani hamna kitu.
Sio chanjo zote zinatoka kwa mabeberu USA
Nchi kama
Australia Producing WHO prequalified vaccine(s) Belgium Producing WHO prequalified vaccine(s) Brazil Producing WHO prequalified vaccine(s) Bulgaria Producing WHO prequalified vaccine(s) Canada Producing WHO prequalified vaccine(s) China (People's Republic of) Producing WHO prequalified vaccine(s) Cuba Producing WHO prequalified vaccine(s) Denmark Producing WHO prequalified vaccine(s) France Producing WHO prequalified vaccine(s) Germany Producing WHO prequalified vaccine(s) India Producing WHO prequalified vaccine(s) Indonesia Producing WHO prequalified vaccine(s) Islamic Republic of Iran Not producing WHO prequalified vaccine(s) Italy Producing WHO prequalified vaccine(s) Japan Producing WHO prequalified vaccine(s) Mexico Not producing WHO prequalified vaccine(s) Netherlands Producing WHO prequalified vaccine(s) Republic of Korea Producing WHO prequalified vaccine(s) Russian Federation Producing WHO prequalified vaccine(s) Serbia Not producing WHO prequalified vaccine(s) Sweden Producing WHO prequalified vaccine(s) Switzerland
Ni baadhi ya nchi wamegundua chanjo wao wenyewe kwa utalaam wao. Sasa hoja itakuwa na wao hawajui wafanyalo wanataka kuua raia wao wenyewe kwa chanjo waliogundua wenyewe bila msaada wa beberu ,,?
Haingii akilini.
Hapa bongo hatuna uwezo wa kutengeneza au kubuni chanjo lazima itoke nje.
Halafu kuna askofu mtalaam wa kila kitu, 5G yeye mtalaam Uviko ndio bingwa kabisa ana followers pumbafu kama yeye eti kila dose ya kichupa ni mtu mmoja sasa eti kuna serisl number, eti ukichanjwa sababu unaandika jina basi kule USA unaingizwa kwenye benki ya takwimu, wanaanza kukufuatilia.
Sasa hao wa Iran wamekataa chanjo ya USA na mabeberu wengine wamegundua chanjo zao, hizo takwimu zitaenda USA au zinabaki Iran., au kuna mtu kahongwa kule Iran, yaani Ayatolah kapokea rushwa dili la corona.
Hqpo ndipo utakapoona Gwajima alivyojinga sana. Ila wajinga wengi wana mfollow
Corona ipo. Futi 6 kule chini kwenye mwanandani hakuna jf kule acheni upumbafu
Lakini waliochanja wataendelea kufa na kuambukiza.Sina ushauri kwa kuwa mpaka sasa ni jambo la hiari kila mtu atajuwa anataka nini ila kitu kimoja na uhakika baadae itakuwa ni lazima na zitatumika njia mbadala kulazimisha nchi zingine wameshaanza huwezi kwenda kazini kama hujachanja huwezi kwenda ofisi za serikali hujachanza watumishi wa umma utachagua kazi au chanjo taratibu itaanza optional lakini itabadilika. Corona haitaisha leo wala kesho kila mwaka kuna wave mpya inakuja tuko ya 3 sijui ya 4 na wameshasema dawa ni kuchanja tu huko mbele hutarusuhiwa kuhatarisha maisha ya watu wengine sababu ya maoni ya mtu binafsi huu ugonjwa wa dunia sio Tanzania tu. Nakuhakikishia iko siku watu watapiga foleni kuomba chanjo na hii msg yangu hifadhi utakumbuka haya maneno. Iko siku hata CV za kazi kigezo itakuwa umechanja? kuingia chuo umechanja? yanakuja yote haya na ubishi utaisha tu dunia imeamua ni suala la muda tu.
Elimu inayotolewa ndogo sana ndio tatizo. Hakuna chanjo duniani inazuia kufa huu ni opotoshaji. Chanjo inakusaidia kutoumwa sana mpaka kufikia kuhitaji huduma za ICU inapunguza makali lakini haina maana huwezi kuumwa kuambukiza asilimia 10% mtu aliyechanja anaweza kuambukiza ndio maana nchi zingine ukiwa umechanja hutakiwi kuwa quarantine chance ya kuambukiza ndogo. Kufa tutakufa tu iwe corona au sio corona haina maana kwa kuwa siku tutakufa tu basi tusipate tiba. Sasa ukiweza kupunguza hatari ya kuumwa kwa asilimia 90% utapuuza hili? Hakuna sehemu yoyote wamesema ukichanjwa basi wewe huwezi kufa ila unapunguza hatari kwa kiasi kikubwa na hili data zimethibitisha hili. Elimu haijatolewa vizuri kwa watu na sitaki kumlaumu tu kama hajapata taarifa za kutosha ana haki ya kuuliza ila hata hao wanaokuja na hoja mnapewa msizae hoja dhaifu maana kama issue kuzaa basi wangewachoma watoto wachanga ambao tunawapeleka clinic wenye future waje wanichome mimi nimeshajichokea na watoto kumi huko na wala siwezi kuzaa tena.Lakini waliochanja wataendelea kufa na kuambukiza.
Uliyaelewa vizuri maelezo ya madaktari wakati wakishauri chanjo iwe lazima? Walidai wananchi wengi kutokuchanja imesababisha wao madaktari wafe kwa kuambukizwa wakati wanawatibu hao wananchi wasiochanja. Sasa swali madaktari wanakufaje wakati wamechanja na hata kwa mujibu wa maelezo yako ukichanja uko safe?Elimu inayotolewa ndogo sana ndio tatizo. Hakuna chanjo duniani inazuia kufa huu ni opotoshaji. Chanjo inakusaidia kutoumwa sana mpaka kufikia kuhitaji huduma za ICU inapunguza makali lakini haina maana huwezi kuumwa kuambukiza asilimia 10% mtu aliyechanja anaweza kuambukiza ndio maana nchi zingine ukiwa umechanja hutakiwi kuwa quarantine chance ya kuambukiza ndogo. Kufa tutakufa tu iwe corona au sio corona haina maana kwa kuwa siku tutakufa tu basi tusipate tiba. Sasa ukiweza kupunguza hatari ya kuumwa kwa asilimia 90% utapuuza hili? Hakuna sehemu yoyote wamesema ukichanjwa basi wewe huwezi kufa ila unapunguza hatari kwa kiasi kikubwa na hili data zimethibitisha hili. Elimu haijatolewa vizuri kwa watu na sitaki kumlaumu tu kama hajapata taarifa za kutosha ana haki ya kuuliza ila hata hao wanaokuja na hoja mnapewa msizae hoja dhaifu maana kama issue kuzaa basi wangewachoma watoto wachanga ambao tunawapeleka clinic wenye future waje wanichome mimi nimeshajichokea na watoto kumi huko na wala siwezi kuzaa tena.
Usipochanja ni mjinga tu rudia kusoma comment yangu usipoelewa mwombe Mungu akuepushe na corona.Kati ya watanzania milioni 57 waliochanja hawafiki Laki nne, ina maana hao million 56 wote wasiochanja ni wafuasi wa Askifu Gwajima?
Sijachanja na sitachanja kamwe na ninadunda fit tu. Ninamtegemea Mungu sana na ndiye anayenikinga na corona.Usipochanja ni mjinga tu rudia kusoma comment yangu usipoelewa mwombe Mungu akuepushe na corona.
Wameshauri lini na wapi?Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Mimi nadhani hayo ni maneno yako ukisema wamesema wanakufa ungeweka data ni wangapi wamepata na wangapi wamekufa? Je wangekuwa hawajachanja kabisa number zingekuwa vipi? kusema sisi tunakufa huku tumechanja na watu wachanjwe haileti maana. Ni wapi wamesema ukichanja ndio uko safe 100%. Chanjo inapunguza watu kuumwa sana mpaka kufikia kuwa ICU au inapunguza makali ya ugonjwa kwa kiasi kikubwa kuumwa bila kufikia hatua mbaya, na hili limethibitishwa nchi zilizochanja kwa wingi corona ipo lakini ICU ziko empty kuna wakati kabla ya chanjo kulikuwa hakuna nafasi Hosp zimejaa watu ICU leo corona ipo lakini hawafikii kuumwa kwenda Hosp. Chanjo haizuii kifo inapunguza kwa kiasi kikubwa sana. Ni kama dawa za malaria zipo na ukiumwa malaria chance kubwa utapona ukitumia dawa lakini pia kuna watu wanakufa na malaria pamoja na kutumia dawa sasa ingekuwa hakuna dawa kabisa za malaria ingekuwaje kwa wagonjwa. hoja utasema situmii dawa ya malaria faida yake nini mbona watu wanakufa kwa malaria.Uliyaelewa vizuri maelezo ya madaktari wakati wakishauri chanjo iwe lazima? Walidai wananchi wengi kutokuchanja imesababisha wao madaktari wafe kwa kuambukizwa wakati wanawatibu hao wananchi wasiochanja. Sasa swali madaktari wanakufaje wakati wamechanja na hata kwa mujibu wa maelezo yako ukichanja uko safe?
Nimeshajanja single dose tarehe 12 Aug. Hao madaktari ndio wananafasi nzuri ya kujua wanaokufa waliochanja au wasiochanja, sababu kila siku watu wanakufa kazini kwao.Sijachanja na sitachanja kamwe na ninadunda fit tu. Ninamtegemea Mungu sana na ndiye anayenikinga na corona.
Mjinga ni wewe unayejifanya una uchungu sana na wasiochanja.
We ni daktari, weka takwimu hapa. Walichanja laki 4 waliokufa wangapi ?Chanjo hauziuii kuambiukizwa au kuambukiza corona...
Chanjo zinapelekesha haswa...
Wanaofariki kwa chanjo ni wengi kuliko wasiochanjwa...
Wanapukutika wengine sana...We ni daktari, weka takwimu hapa. Walichanja laki 4 waliokufa wangapi ?
Mi nimechanja acha uongo. Naona woga wa kufa unakusumbua.Wanapukutika wengine sana...
Na wengine wapo hoi hawajielewi sababu ya chanjo...
Inasikitisha sana... Watu wanataabika...M
Mi nimechanja acha uongo. Naona woga wa kufa unakusumbua.
Sijui kwa wengine mi nimechanja maneromango kisarawe,
Hakuna homa wala kichwa kuuma wala nini, wala kizunguzungu, huenda wengine wamepata hayo matatizo. Hata bomba la kutolea maji kwa mbele liko safi kwa utendaji wake, wife hajasema lolote.