#COVID19 Madaktari waishauri Serikali chanjo ya Corona kuwa ya lazima

#COVID19 Madaktari waishauri Serikali chanjo ya Corona kuwa ya lazima

Tulia bro. Alikokopi sio aliyetengeneza acha ulongo longo.

Ame quote kipande

Nenda healthline.com

Additionally, individuals receiving the J&J vaccine were less likely to be hospitalized than those who didn’t receive the vaccine. In fact, the J&J vaccine was 93 percent effective at preventing hospitalization for COVID-19 14 days after vaccination and 100 percent effective 28 days after.

Panua mawazo sio kila kitu kwenye mtandao unakula tu muna figisu kibao.

Au nikuletee nyingine kama hujatosheka.
Okay nilijua una respond kwenye comment yangu. Achana na hao healthline.com sijui wadudu gani. Nimekuletea taarifa ya watengenezaji chanjo wanaojua kila kilichomo mule ndani. Huu ndio ukweli usiosemwa!
 
Achana na ujinga wa healthline sijui nani. Hii ni factsheet toka kwa manufacturer. Hizo zingine porojo tu!


Tena nikuongezee na hiki kasome. Wewe leta siasa na porojo lakini hili jambo ni sensitive sana!

View attachment 1943378

View attachment 1943374
Manufacturer
Okay nilijua una respond kwenye comment yangu. Achana na hao healthline.com sijui wadudu gani. Nimekuletea taarifa ya watengenezaji chanjo wanaojua kila kilichomo mule ndani. Huu ndio ukweli usiosemwa!
Ok fact sheet weka source bro.
Nita cross check.

Any way thanx for keeping me busy niko deep porini, i think you are a good guy to have an intellectual argument with.
Mtandao shida kidogo inachukua muda mrefu sana just open tab. God bless.
 
Unapojikita kwenye kuchangia hojs hasa za kitaalamu, kwanza kabisa uwe na uwezo wa comprehension wa kujua mada ni nini, pili uwe na uwezo wa kufanya review ya kinachozungumzwa.

Rudi ukasome hoja ya hao madaktari; ni kuwa wanaitaka serikali ilazimishe watu wachanje na sababu mojawapo ni kuwa wao madaktari na wahudumu wa afya wanakufa sana kwa sababu ya kuambukizwa na wagonjwa wasiochanjwa wakati wakiwatibu. Hii ndio gist ya debate.

Sasa hoja zetu sisi tunaopinga ni kuwa wanakufaje sana wakati wamechanja na wakati nadharia zilizipo ni kuwa ukichanja hata ukipata corona huwi na hali mbaya na wala huhitaji oksijeni tofauti na wale wasiochanja?

Suala la wewe kunidai data, ulipaswa uwadai hao madaktari watoe data za hivyo vifo walivyosema wanavishuhudia mahospitalini. Mimi katika uzi wangu wa kuwahoji nimeuliza data pia.

Kabla hujadebate jitahidi kuelewa hoja ya msingi.
Katika mtoa hoja uzi #1 hakuna haya maelezo kuwa wamesema wanakufa sana nimerudia tena kusoma nilichoona kuwa iwe lazima kwa kuwa bado wanapata corona. Hakuna sehemu wala taarifa kuwa wahudumu wote wa afya wamepokea chanjo taarifa yote kwa ujumla haijitoshelezi. Hoja yangu chanjo inafanya kazi na imethibitika kutoka nchi wanaotoa data kabla ya chanjo na baada ya chanjo imethibitika inafanya kazi kwa asilimia kubwa sio 100% lakini hata kama imepunguza 85% basi ni mafanikio. Ningependa kujuwa source ya hiyo taarifa ili nisome taarifa kamili nipate kujuwa hoja yao ni nini?
Of 51,281 Covid-19 deaths in England between 2 January and 2 July, 640 were people who had received both vaccination doses

Fully vaccinated 640

After one dose 11,617

Unvaccinated 38,964
 
Manufacturer

Ok fact sheet weka source bro.
Nita cross check.

Any way thanx for keeping me busy niko deep porini, i think you are a good guy to have an intellectual argument with.
Mtandao shida kidogo inachukua muda mrefu sana just open tab. God bless.
 
Watu wanaendelea na maisha bila chanjo na wapo tayari na matokeo wewe uje uwalazimishe.
 
Wameshauri lini na wapi?

Mbona unaokoteza ubuyu na kutuhatibia misingi ya great thinkers?
Huna akili au? Jana madaktari wakuu kutoka mikoa yote walikuwa na kikao na katibu mkuu wa wizara ya afya
 
Nim
Nimecheki Fact Sheet ya PFITZER nimekuta;

COMIRNATY (COVID-19 Vaccine, mRNA) and the Pfizer-BioNTech COVID-19 Vaccine
may not protect everyone.


Vilevile duration ya protection " unknown" kama J&J.

Kwa mtu yeyote anaweza kukimbia kwa data kama hizi.

Lakini kwanini watalaam mabingwa kule USA wameruhusu zitumike kule kwao.? Itakuwa faida ni maradufu kuliko hasara.
Inaelekea chanjo zote zina hiki au kile.

Sisi hatuna ujanja lazima tuagize tu chanjo tok nje.

Kwa nini sasa hatuwaamini hawa mabingwa wetu wanavyotushauri ?
Sababu wao wanazo data halisi za wanaokufa na kupona, sisi wengine tunasoma tu na kufananisha na kuperuzi mitandaoni. Tuwaamini watalaam.
 
Jana waganga wa vituo vya afya vyote waliitwa Dar kwenye kikao na viongozi wa wizara ya afya, viongozi wa serikali na wafadhili. Katika maazimio yao walipendekeza serikali itangaze chanjo iwe ni lazima kwa kila mtu atake asitake.

Sababu ya kutaka chanjo iwe lazima ni kwamba madaktari wengi wanafariki kwa covid kutokana na kuambukizwa na wagonjwa pale wanapowapa huduma.

Swali la kujiuliza, wafadhili waliitwa kwenye hicho kikao ili iweje?
View attachment 1941596


Chanjo ni hiyari, kama mtu anajiona yupo kwenye risk ya kuambukizwa basi na achanje kwa hiyari yake. Short and clear.
 
 
Inasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
Ni kweli kabisa usemacho mkuu. Maelfu wanapoteza maisha na kupata ulemavu lakini watu sijui wamelishwa limbwata gani na wazungu.🤫
🤫
 
Shit is going to hit the funny!

Haya yalijulikana mapema tu kuwa yangeweza kutokea
 
Nim

Nimecheki Fact Sheet ya PFITZER nimekuta;

COMIRNATY (COVID-19 Vaccine, mRNA) and the Pfizer-BioNTech COVID-19 Vaccine
may not protect everyone.


Vilevile duration ya protection " unknown" kama J&J.
Sasa jiulize kwa nini hizi taarifa watu hawaambiwi, wanaambiwa tu zitawakinga na watu wameamini kiasi ambacho ukiwaambia vinginevyo wanakuona mburura, mjinga usiyejua a wala be!

Kwa mtu yeyote anaweza kukimbia kwa data kama hizi.
Actually hii ni grand experiment, na fact sheet iko wazi kabisa. Ila ukisema hivyo kuna watu wanataka kukumeza. Jiulize ni kwa nini?

Lakini kwanini watalaam mabingwa kule USA wameruhusu zitumike kule kwao.? Itakuwa faida ni maradufu kuliko hasara.
Inaelekea chanjo zote zina hiki au kile.
Kuna habari hautazisikia kwenye vyombo vya propaganda vya mpinga Kristo ambavyo ndio wengi wamevipa macho, masikio na mioyo yao.
Mfano, hii habari umeisikia popote?

Two of the FDA’s most senior vaccine leaders are exiting from their positions, raising fresh questions about the Biden administration and the way that it’s sidelined the FDA.

Marion Gruber, director of the FDA’s Office of Vaccines Research & Review and 32-year veteran of the agency, will leave at the end of October, and OVRR deputy director Phil Krause, who’s been at FDA for more than a decade, will leave in November. The news, first reported by BioCentury, is a massive blow to confidence in the agency’s ability to regulate vaccines.

A former senior FDA leader told Endpoints that they’re departing because they’re frustrated that CDC and their ACIP committee are involved in decisions that they think should be up to the FDA

Ninaamini una akili timamu, na ninaamini umejua sasa kuwa wataalam kule hawako kimya. Fukuto lipo mpaka kwa most senior scientists ila hawatangazi na wanazima habari hizi kwa nguvu zote. Jiulize kwa nini?

Soma full story hapa: In a major blow to vaccine efforts, senior FDA leaders stepping down

Sisi hatuna ujanja lazima tuagize tu chanjo tok nje.
Haikuwa lazima. Chanjo imekuwa authorized under emergency use. Wengi humu wanapiga taralila na hata hawajui maana ya EUA. Wangejua wangepiga kimya. Sisi hapa hatuna emergency so chanjo haikuwa lazima. Ila kwa sababu wameagiza itabidi watu wachome.

Kwa nini sasa hatuwaamini hawa mabingwa wetu wanavyotushauri ?
Sababu wao wanazo data halisi za wanaokufa na kupona, sisi wengine tunasoma tu na kufananisha na kuperuzi mitandaoni. Tuwaamini watalaam.
Wataalamu hawa hawa walioandika kilicholeta hii debate yote tuwaamini? Hawa hawa wanaotuambia chanjo iwe lazima, chanjo ambayo watengenezaji hawajui itamkinga nani na kwa muda gani, ndio tuwasikilize? Una uhuru wa kikatiba kuwasikiliza kwenye hili, ila mimi hapana. Naona kabisa wanatutupa chini ya uvungu wa basi lililo spidi 120.

Nawapenda na kuwaheshimu sana madaktari. Ni watu muhimu sana. Ila kwenye hili, hao madaktari waliosema wala sikubaliani nao. Wameiacha sayansi nyuma na hizi zote ni siasa kwa namna moja ama nyingine. Anayetaka kuwafuata aende nao tu, ni hiyari yake!
 
Kwani kuna aliyekataa kuwa hakuna waliokufa baada ya kuchanja lakini ni asilimia ngapi kulinganisha na waliochanjwa?ni suala la muda tu lakini hii chanjo itakuwa lazima tu.
Kwa watu wa design yako ndio mtalazimishwa
 
Yule mbwa koko aliyekufa alituharibia sana nchi.
Kama wewe unavyotuharibia na upofu wako...you are simply blind...blinded by hatred and ignorance...muda si mrefu utajua hujui
 
Italy leo wametangaza kama mfanyakazi wa serikali mpaka tarehe 15 Oct hujachanja basi utahesabiwa likizo bila malipo baada ya tangazo hilo watu kwa wingi wamejiandikisha kupata chanjo kwa zaidi ya 40%, hii soon itakuja tu ni wakati tu taratibu tutaelewana...
 
Kama wewe unavyotuharibia na upofu wako...you are simply blind...blinded by hatred and ignorance...muda si mrefu utajua hujui
Kamuombee kwanza yule mfu saa hizi anachezea vitasa.
 
Back
Top Bottom