#COVID19 Madaktari waishauri Serikali chanjo ya Corona kuwa ya lazima

Kwa kua wao mamechanjwa ndio wanataka kiwe kilio Cha wengi sio mbona hawasemi kupima ukimwi iwe lazima na majibu yatoke hadharani
 
Very critical, umejidadavua vyema kabisa. Maswali muhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…