mwanachondogoro
Member
- Aug 27, 2013
- 40
- 8
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka moja na busy na amezaliwa na ulemavu wa miguu yaani anamfupa mmoja kila mguu madaktar Wanasema akatwe miguu kuanzia kwenye magoti ili aanzishwe mazoezi ya viungo bandia sasa ninachojiuliza jee taratibu za kitabibu zinasemaje kuhusu ya kukata viungo vya mtoto mdogo kama huyu na jee nyie akizaliwa na mfupa mmoja hawezi kutembea kwamba ile mfupa hauna uwezekano wa kutembea