Madaktari wamponda Kibonde kupitia mtandao wa FB

Madaktari wamponda Kibonde kupitia mtandao wa FB

KAULI YA MADAKTARI KWA KIBONDE (imenyofolewa toka mtandao wa facebook)
54.jpg


ephraimu kibonde hii ndiyo shukrani yako kwa madr Nakumbuka sana mwaka 2007 , ukiwa hoi bin taabani wewe na mkeo namna madaktari walikuwa wanakuhudumia kwa huruma bila kukata tamaa! wakati we na mkeo mkiwa mmekata tamaa kabisa ya kuishi lakini madaktari wale walipigana kufa kuokoa maisha yako kimwili na kisaikolojia!

wakati huo ulikuwa huwezi hata kutembea ukiwa umenyonyoka hadi nywele, tena siku moja daktari mmoja alisaidia kukubeba kutoka juu kukupandisha kitandani huku ukitoa udenda kwa udhoofu, daktari yule hakujali hali hiyo mbaya uliyokuwa nayo kwani alikubeba bila hata kuvaa gloves wakati nesi aliyekuwa anakuhudumia alipokuwa akihangaika kutafuta gloves ili aweze kukubeba, unajua ni kiasi gani daktari yule alirisk maisha yake ?? ungeweza kumuambukiza ugonjwa wako lakini alisahau hilo kwa huruma yake na kukuhudumia kwa roho moja. jitihada hizo hatimae ziliza matunda na maisha yako yaliokolewa!!

sasa wewe kibonde ni fadhila gani kubwa sana au ni kiasi gani cha pesa ulichopewa na serikali hadi kusahau wema wa madaktari na kuweza kukaa na kuropoka ropoka ovyo hapo redioni?? wewe kweli kibonde ofall the people ni wa kuwatukana madaktari tena hadharani?? au umeshaahidiwa kutibiwa india maisha yako yote?? wewe na familia yako?? kumbuka kuwawewe essentially we na mkeo bado ni wagonjwa na bado maisha yenu yako mikononi mwa madr! Hivi next time utakapoenda clinic pale.......... utaweza kumtizama dr wako usoni?? Kibonde wewe kweli of all the people ?? mteja wa kudumu wa madr wa kila mwezi where the hell did u get the guts??

KIBONDE DOMO NA NJAA VITAKUPONZA
Duu hadi nimesisimka... Usimtukane mamba kabla hujavuka mto

Jr[emoji769]
 
Balaaa siku hizi watu wanajipa moyo na ARV ila ukumbuke ukipata ugonjwa kama kisukari high blood pressure,figo n.k yani hizo ARV huwa kichocheo cha kifo cha ghafla. Na wazungu wanataka watu wasipate muda wa kuuguza sana kwa hyo ni dkk tuu.
 
Kaburi limefukuliwa,tuliokuwa hatujui kilichokuwa nyuma ya pazia tumekijua...haya ni maisha na kila mmoja ana njia zake kufikia hatma yake.

Pamoja na kasoro zake za hapa na pale kama binadamu mwenye mapungufu kama ilivyo kwangu na kwako bado tunapaswa kumwombea katika safari yake ya mwisho.

Nawaonea huruma sana wanawe kwa pigo lingine kuu katika maisha yao.

Hakika mastori ya town yatapoa,hayatanoga tena,ucheshi wako tutaukumbuka kwa kadri tutakayoweza...

R.I.P Kibonde
 
Kamwe JF haiwezi kuchuja..hii ndo raha yake.. Ndo maana nikimaliza SIKU bila kuingia huku nakuwa kama mgonjwa.
Kaburi limefukuliwa,tuliokuwa hatujui kilichokuwa nyuma ya pazia tumekijua...haya ni maisha na kila mmoja ana njia zake kufikia hatma yake.

Pamoja na kasoro zake za hapa na pale kama binadamu mwenye mapungufu kama ilivyo kwangu na kwako bado tunapaswa kumwombea katika safari yake ya mwisho.

Nawaonea huruma sana wanawe kwa pigo lingine kuu katika maisha yao.

Hakika mastori ya town yatapoa,hayatanoga tena,ucheshi wako tutaukumbuka kwa kadri tutakayoweza...

R.I.P Kibonde
 
Balaaa siku hizi watu wanajipa moyo na ARV ila ukumbuke ukipata ugonjwa kama kisukari high blood pressure,figo n.k yani hizo ARV huwa kichocheo cha kifo cha ghafla. Na wazungu wanataka watu wasipate muda wa kuuguza sana kwa hyo ni dkk tuu.
Kumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom