Mvumbuzi hukujibu maswali yangu.
Mgonjwa wako ana diagnosis gani?
Tunaweza kukusaidia ushauri kwa nini alipewa/kunyimwa drip na kupewa discharge ili khali wewe unaona anatakiwa kubaki.
mvumbuzi yaonekana wewe unaishi kinadharia sana,na ni mtu wa kusikiliza maneno ya mtaani.inaelekea kabla ya kwenda mt meru ulisikia madaktari ni wauaji kwa hiyo chochote alichokifanya daktari ulikiona kinahusiana na mauaji ya mgonjwa wako,you were preoccupied with this wrong idea!
Hapa pia unaanza kuihisi mahakama haitakutendea haki hivyo siku utakayofika mahakamani utaona yote yanayofanyika si haki.
Try to look at the glass as half filled and not half empty.
Nakubaliana na wewe kupitia sauti unaweza kuleta mabadiliko lakini kamwe huwezi kushawishi mabadiliko kwa kutumia lugha za kihuni au kidhalilishaji.
Imagine madaktari wa mt meru waseme liwalo na liwe sasa wanaanza rasmi kuneglect wagonjwa kwa sababu hata wafanye kazi vipi reward wanayopata ni kejeli na dharau,unadhani utakua umeleta mabadiliko chanya au hasi?
Tafakari!
Alafu mgonjwa alishatibiwa selian na mkapewa transfer kuenda ocean road kilichokufanya umlete mt meru ni nini?kilichokufanya kushindwa kumtibu hospitalini kwako ni nini kama alikuwa anahitaji drip tu?kuna umuhimu wa kuenda kuupgrade elimu yako au na wewe ni nesi?kama unaona umeonewa naomba ukalalamike kwa medical officer in charge ukalalamike
umewahi kujaribu ikawa hivyo au unaextrapolate mazungumzo ya kwenye vijiwe vya kahawa?
Jamani hz ni kashfa.i know dr.israel personally as a friend and a workmate huyo mgonjwa ugonjwa wake (sitausema sababu ya doctor patient confidetiality) hatuwezi kuutibu hapa mt meru na inabidi aende kcmc fr further management.doctor kushauriana na nesi wake si kitu cha ajabu.plz rekebisha hiyo post yako na umuombe msamaha
JF ni medium muafaka ya watu kushare experiences zao ktk maisha kama mtoa hoja alivyofanya. Swala la kusema angeenda kutoa taarifa linaonyesha jinsi analytical skills zako zilivyo ndogo ktk agenda husika.
Kama ungekuwa positive ktk hili basi ungelifanyia kazi na si kutetea kutowajibika.
Nimefuatilia exchange zako kinachonishangaza ni kwamba zaidi ya swala ku-smear mtu au taasisi hakuna kitu positive ulichopata ktk hiyo thread juu ya huduma hapo Mount Meru hususani kutoka kwa huyo dk husika. Why are you defensive?
Unaonekana kutokubaliana na mtoa hoja je ulikuwepo wakati hiyo incident inatokea?
Nadhani mtoa hoja alikuwa na nia njema tu ya kuweka wazi kilicho transpire. Swala la kusema ana smear mtu au taasisi ni moja kati weakness kubwa sana kwa watu wasioweza kujibu hoja za msingi.
Heshima kwako Mvumbuzi,
Mkuu leo nimepita Mt Meru Hospital nimedodosa habari ulizozileta jamvini nimegundua mambo yafuatayo.
Dr Israel simwajiriwa wa Mt Meru Hospital yuko kwaajili ya mazoezi [Internship].
Mkuu Dr Israel ni mchapakazi na hodari sana hana sifa mbaya ,mambo uliyoandika yana lengo la kumharibia.Nimeuliza watu wengi tena vitengo tofauti eg Maabara,X-Rays na Paramedical ilikujiridhisha na uchunguzi wangu usiokuwa rasmi.
Naomba kuwasilisha.
Kaka umeniuliza nina uhakika gani na hizo transfer.umejikanyaga mwenyewe ndugu yangu,umeandika walisuspect ana escc(esophageal squamous cell carcinoma).mgonjwa kama huyo direct watakuambia uende ocean road coz escc is radiosensitive.nina uhakika mgonjwa wako alikuwa na uwezo wa kumeza liquid foods otherwise usingeandika kuwa mgonjwa ana uwezo wa kutembea coz mtu ambaye angekuwa hypoglycaemic kutokana na kutokula angekuwa weak and bed ridden.also i believe ungeongea na dr.israel personally umueleze malalamiko yako coz kulalamika hapa does not gurantee kwamba ataiona hii thread so point yako kuwa hii ni changamoto kwake is invalid
Dr Chichi with due respect ningeomba upime utetezi wako.Dunia imebadilika na watu wanajua haki zao.Kama mgonjwa ni terminally ill au ana ugonjwa ambao outcome yake ni doubtful close relatives wanakuwa counseled na kama hilo likifanyaika hakuna tena mikakanganyiko.Binafsi nimeshuhudia madudu mengi.Amini kuwa wachangiaji wana hoja na kwa pamoja tuzifanyie kazi.
Mvumbuzi kazi yako ni kutafuta makosa kwenye comment za watu na unakwepa kujibu maswali.kwanini mgonjwa hamkumpeleka ocean road?alafu unaandika eti mgonjwa aliomba aongezewe drip,toka lini mgonjwa akajua more thn his doctor nini kinahitajika kufanyika kwake?mtu mwenye dysphagia tunamwambia either aende kcmc au selian for biopsy ili tujue uvimbe histologicaly ukoje then aende ocean road sasa wewe umetoka selian na mkaambiwa muende ocean road ukaamua kumleta kwetu.also umesema mgonjwa shida yake ni chakula tu,mgonjwa wa naamna hiyo hatukai naye wodini unless awe anashindwa kupitisha hata liquids na drip siyo substitute ya chakula.tena dr.israel aliconsider kumuwekea gastric feeding tube bahati mbaya theater yetu inarekebishwa.kuwa na shukran kwamba mgonjwa wako alitibiwa.simtetei mtu coz i just know him personally,angekuwa anafanya madudu ningekuunga mkono ila he is a hardworker anayezingatia medical ethics
Kwanza labda nichangie kwa kusema kuwa Madaktari wazuri na waadilifu serikalini ni wachache mno na ni kutokana na mfumo wetu mbovu wa kiuchumi na kisiasa, ni Hospitali gani hapa Tanzania isiyo mahili kwa Rushwa? Muhimbili kumeoza wala sihitaji kuelezea, Ocean road binafsi nimetoa rushwa kwa daktari mahiri tu na bado mgonjwa wangu akafa, KCMC nako nimeshuhudia rushwa kwa bingwa mzimaaa na ndipo mgonjwa akapewa Respirator machine baada ya kutoka Operation room, (fikiria nini kilitokea kwani machine hiyo ilizimwa toka kwa mgonjwa mwingine) Ukweli rushwa na hospitali zetu ni kama uji na mgonjwa na kama humpendi mgonjwa wako basi acha kuwapa chochote/CCD uone moto utakavyokuwakia, Mifano hai ninayo mingi lakini tuachane na hilo turudi kwenye hoja zako nilipoweka red, Nafikiri wewe ni daktari na ningependa nikuulize kama upo Monduli na umegundua mgonjwa wako ana Ca basi unataka kutuaminisha kuwa hawezi kuwa referred KCMC? Mbona Temeke hupeleka wagonjwa wao wa Cancer Muhimbili kwanza halafu Muhimbili ndio huwapeleka Ocean road,(Naamini unajua kwa nini huwa hivyo) tafadhali acha uongo kuwa mkweli na hata huyo naye Dr Israel mie namwona na makosa mawili tu ambayo ni ya kitaaluma/Medical ethics, moja kama kweli mgonjwa alikuwa na kansa je kwa nini Dr Israel ashindwe kutoa Palliative care hapo Mt Meru mpaka hapo nduguze watakapokuwa tayari kumhamishia KCMC au Ocean road? hivi kweli hujui kuwa Daktari hapaswi kumtoa mgonjwa wadini mpaka hapo mgonjwa atakaposema amepata nafuu? au ndio yaleyale ya kunyanyasa wagonjwa na kusahau kuwa muda wote madaktari mnapaswa kunyenyekea wagonjwa wenu pasipo kuonyesha dalili yoyote ya ku solicit rushwa, Pili Dr Israel haku- handle vizuri mgonjwa wake kwa kutokumuambia ukweli mgonjwa na nduguze..truth telling, kama alikuwa anafanya non voluntary Euthanasia then is fine vinginevyo alipaswa kukaa na mgonjwa/nduguze na awape elimu tosha na nafikiri wangemuelewa na ndugu Mvumbuzi asingeliweka hapa complain zake na kuwaita wauaji, Dr Chichi jaribuni kwenda na wakati la sivyo si mbali sana mtajikuta mnashitakiwa kila mara kwa kushindwa kutimiza wajibu wenu ulioandikwa vizuri tu ndani ya medical ethics, mnatakiwa mshukuru watu kama Mvumbuzi ni wengi japo mie naona ilikuwa ni haki kabisa huyo Dr Israel kushtakiwa pamoja na kwamba bado ni intern bado ingefundisha na wengine kuwajibika kwa wagonjwa ipasavyo
Kwanza labda nichangie kwa kusema kuwa Madaktari wazuri na waadilifu serikalini ni wachache mno na ni kutokana na mfumo wetu mbovu wa kiuchumi na kisiasa, ni Hospitali gani hapa Tanzania isiyo mahili kwa Rushwa? Muhimbili kumeoza wala sihitaji kuelezea, Ocean road binafsi nimetoa rushwa kwa daktari mahiri tu na bado mgonjwa wangu akafa, KCMC nako nimeshuhudia rushwa kwa bingwa mzimaaa na ndipo mgonjwa akapewa Respirator machine baada ya kutoka Operation room, (fikiria nini kilitokea kwani machine hiyo ilizimwa toka kwa mgonjwa mwingine) Ukweli rushwa na hospitali zetu ni kama uji na mgonjwa na kama humpendi mgonjwa wako basi acha kuwapa chochote/CCD uone moto utakavyokuwakia, Mifano hai ninayo mingi lakini tuachane na hilo turudi kwenye hoja zako nilipoweka red, Nafikiri wewe ni daktari na ningependa nikuulize kama upo Monduli na umegundua mgonjwa wako ana Ca basi unataka kutuaminisha kuwa hawezi kuwa referred KCMC? Mbona Temeke hupeleka wagonjwa wao wa Cancer Muhimbili kwanza halafu Muhimbili ndio huwapeleka Ocean road,(Naamini unajua kwa nini huwa hivyo) tafadhali acha uongo kuwa mkweli na hata huyo naye Dr Israel mie namwona na makosa mawili tu ambayo ni ya kitaaluma/Medical ethics, moja kama kweli mgonjwa alikuwa na kansa je kwa nini Dr Israel ashindwe kutoa Palliative care hapo Mt Meru mpaka hapo nduguze watakapokuwa tayari kumhamishia KCMC au Ocean road? hivi kweli hujui kuwa Daktari hapaswi kumtoa mgonjwa wadini mpaka hapo mgonjwa atakaposema amepata nafuu? au ndio yaleyale ya kunyanyasa wagonjwa na kusahau kuwa muda wote madaktari mnapaswa kunyenyekea wagonjwa wenu pasipo kuonyesha dalili yoyote ya ku solicit rushwa, Pili Dr Israel haku- handle vizuri mgonjwa wake kwa kutokumuambia ukweli mgonjwa na nduguze..truth telling, kama alikuwa anafanya non voluntary Euthanasia then is fine vinginevyo alipaswa kukaa na mgonjwa/nduguze na awape elimu tosha na nafikiri wangemuelewa na ndugu Mvumbuzi asingeliweka hapa complain zake na kuwaita wauaji, Dr Chichi jaribuni kwenda na wakati la sivyo si mbali sana mtajikuta mnashitakiwa kila mara kwa kushindwa kutimiza wajibu wenu ulioandikwa vizuri tu ndani ya medical ethics, mnatakiwa mshukuru watu kama Mvumbuzi ni wengi japo mie naona ilikuwa ni haki kabisa huyo Dr Israel kushtakiwa pamoja na kwamba bado ni intern bado ingefundisha na wengine kuwajibika kwa wagonjwa ipasavyo
ndugu yangu,temeke humpeleka mgonjwa muhimbili fr further pathological invesitigation ambayo kwetu sisi its either selian or kcmc.mgonjwa anayekuwa na pathological evidence ya cancer anaweza akapitia kwetu coz tukimrefer sisi as a goverment hospital its cheaper than coming from a private hospital.na kuhusu kumdischarge mgonjwa namsikiliza mgonjwa ila indication inatokana na physical examination ntakayofanya.kuna mgonjwa anakuambia amezidiwa wakati vipimo vyote vinaonesha yuko fit au kuna mwingine anakuambia yupo fit ila on the contrary he is seriously sick.kaka palliative care inatolewa kwa yule anayehitaji not every case.kwa ugonjwa wake tunawaambia wamlishe vitu laini or liquid food.angekuwa hawezi kupitisha hata maji asingepewa discharge.unamuweka mgonjwa kama huyo wodini mpaka ndugu anapopata hela akiondoka anaondoka na magonjwa mengine aliyoyapata hapa hospitali.as a doctor its critical to reduce the period of stay in the hospital as much as possible for your patient to prevent hospital acquired infections.pia kumbuka in africa infrstructure ni duni so mgonjwa anayeweza kuenda nyumbani kama huyu inabd umdischarge kupunguza msongamano coz sisi ni regional hospital we recieve thousands of patients.nadhani walishindwa kuelewana coz mi mwenyewe wodini kwangu nilikuwa na wagonjwa kama hao wa3.i counselled them wakaenda selian for biopsy wakatuletea majibu na tukawadirect orc directly.kumbukeni na sisi ni binadamu,we have feelings we just cant decide to kill someone.inatuuma but what can we do?nimshike mkono mvumbuzi na kumpeleka mpaka ocean road?
Mvumbuzi kazi yako ni kutafuta makosa kwenye comment za watu na unakwepa kujibu maswali.kwanini mgonjwa hamkumpeleka ocean road?alafu unaandika eti mgonjwa aliomba aongezewe drip,toka lini mgonjwa akajua more thn his doctor nini kinahitajika kufanyika kwake?mtu mwenye dysphagia tunamwambia either aende kcmc au selian for biopsy ili tujue uvimbe histologicaly ukoje then aende ocean road sasa wewe umetoka selian na mkaambiwa muende ocean road ukaamua kumleta kwetu.also umesema mgonjwa shida yake ni chakula tu,mgonjwa wa naamna hiyo hatukai naye wodini unless awe anashindwa kupitisha hata liquids na drip siyo substitute ya chakula.tena dr.israel aliconsider kumuwekea gastric feeding tube bahati mbaya theater yetu inarekebishwa.kuwa na shukran kwamba mgonjwa wako alitibiwa.simtetei mtu coz i just know him personally,angekuwa anafanya madudu ningekuunga mkono ila he is a hardworker anayezingatia medical ethics