Madaktari wengi ni misukule walio hai

Madaktari wengi ni misukule walio hai

Unaongea haya ukiwa kwenye kochi nyumbani kwa shemeji yako unakunywa energy na karanga mbichi ngoja siku uumwe ndio utaona umuhimu wa hao watu.

Nadhani hujamuelewa,kuuma kila mtu anaumwa hata wewe ambaye haupo kwa shemeji yako,inshu ni kwanini wanasayansi wetu wa afya hawana miongozi na tafiti na dawa zao kila jambo wanasubiri muongozo wa wazungu?huoni kuwa tuna wanasayansi wa afya misukule?
 
Nimetumia neno msukule kwa makusudi maalumu. Msukule sio tusi ni nomino, ni jina la mtu aliyetekwa nyara kiroho na kupotezwa kimazingara.

Kwanini madaktari ni misukule? Nitafafanua kwa ufupi na kwa kiwango kinachoeleweka.

Madaktari wengi akili zao zimefungwa minyororo, hawana wazo huru, wala hawana ujuzi huru. Wamebeba furushi la elimu ya kukaririshwa na kumezeshwa kama makinda ya bundi-mwitu.

Nikizungumza daktari, kwa muktadha wa kitanganyika, namaanisha watu wote wanaojiita wataalamu wa sayansi ambao kimsingi wala sio wataalamu, wengi wao wana diploma za D mbili kisha wakaunga unga mpaka Kairuki University au Bugandooh kisha wakavaa makoti meupe wakaanza kujiita madaktari na wanasayansi.

Kiukweli wako mbali sana na sayansi. Hawaijui wala hawaielewi sayansi. Ukimuuliza daktari wa kitanganyika kwanini kansa haina dawa anakwambia kansa haina dawa kwa sababu mabeberu hawajaleta chanjo.

Mfumo mzima wa daktari wa kitanganyika umejengwa katika muhimili wa kukariri na kusubiri maagizo ya mabeberu.

Beberu likiamuru kwamba kansa haina dawa basi ujue daktari wa kitanganyika hapindui meza. Ni mwendo wa kansa haina dawa hadi pale beberu litakapoamua vinginevyo.

Huu ni msukule wa kitanganyika katika mavazi meupe. Akili imefungwa minyororo ya chuma.

Corona ilituaibisha. Wanasayansi wetu wa kitanganyika walijificha uvunguni wakisubiri kuokolewa na mabeberu. Alhamdulillah mabeberu wakatutupia magunia ya chanjo tuyafakamie tupendavyo.

MY TAKE: Madaktari wote wafutiwe leseni zao wakawe wachimbaji wa kawaida wa mitaro ya barabara.
kosa la mfumo wa serikali au kosa ni product ( madaktari ) inayozaliwa kutoka mfumo mbovu wa ccmu ? angalai sehem sahihi ya kutupa lawama zako
 
Wanatibu kwa kufuata miongozo ya mabeberu,hakuna daktari bongo mwenye dawa yake au anatibu kufuata miongozo yeake hayupo,bora hata waganga wakienyeji kuliko hawa misukule ya mabeberu.
Hatukatai kutibu kutokana na mabeberu mana wao wanamuandaa daktari vema sana haswa kwenye upande wa vitendo zaidi kuliko nadharia
 
Inaonyesha una dharau sana na taaluma za watu
Lakini inaonyesha taaluma hio unayoizungumzia huijui na wala haikuhusu ndio maana unaropoka ropoka tu
Misukule hutengenezwa kwa mifumo ya mwanga au mchawi ambaye ndio huendesha taratibu zote

Na kama umeona madaktari ni misukule basi wametengenezwa na serikali
Mikakati ya serikali kuboresha mafunzo kwa watoa huduma za Afya Tanzania inaionaje?
Vifaa vyenye teknolojia ya hali ya juu katika kugundua magonjwa na matibabu vipo?

Usiongee upumbavu na kukashifu watoa afya wakati ndugu zako , wewe na familia yako mnawategemea hao hao ambao mnawaona misukule
Ukweli usemwe,Dr. wa kweli ni yule anagundua tatizo na kulifanyia kazi.Huyo ni kipaji chake. Sio ninyi mnaopewa semina ikija dawa mpya ya mabeberu au mashine mpya,ninyi ni kufuata maelezo tu.
 
Kiongozi;
Naomba nikusahihishe kuwa, hakuna kozI yoyote ya Afya inayopelekea kutibu mtu unayoweza kusoma ukiwa na Chini ya pass 4 zikiwemo Chem, Bio, Phy na Maths (na sio pass mbili kama ulivyo andika)
Lakini pia, Nikutoe wasiwasi kuwa, Nimefuatilia data za miaka ya hivi karibuni waliochaguliwa kusoma kozi hizo ngazi ya Diploma ni wale wanye pass za juu sana (Div ONE) na ninauhakika hakuna mwenye Chini ya Div 3 amechaguliwa kwenye chuo chochote hata huko Private.
Kuhusu magonjwa ya Virusi
Wale waliosoma PCB (Form Six) wanaelewa vizuri kwa nini ni vigumu sana kutengeneza dawa ya Ugonjwa unaosababishwa na Virusi, sidhani kama ni suala la udaktari; pengine ni mtu mwenyewe uliye ongea naye
By the way; Sio kIla anayevaa Koti Jeupe ni Dactari (MD) hata hivyo huwezi kufanya Research kwa kuongea na mtu mmoja au wawili halafu uiite research.....
Mwisho: Nikumegee tu kidogo kuwa, virusi vinatabia nyingi za kuonesha kuwa haviko hai na tabia chache za kuonesha kuwa vipo hai. Hivyo hutegemea kwa asilimia zote Cell ya kiumbe hai ili kuishi; sasa mara nyingi kuua kirusi/kutibu kirusi, inabidi uue cell ili kisipate pa kuishi ambapo ni karibia sawa na kuua kiumbe......matokeo yake mathara yanakuwa makubwa kuliko faida....hivyo tafiti mbalimbali bado zinaendelea.....
Mimi sio Dactari ila nilisoma hayo masomo yakanipa uelewa kiasi....
Unajua hujui,elewa mada usirukie tu.
 
Misukile hyo hyo ndo inatibu ndugu zako wakapona na wakaamka vitandani hebu heshima hata kidogo jitihada zao kwenye kusaidia jamii na suala la ugunduzi Hilo hata usilaumu mana wengi wao toka wakiwa mwaka wa kwanza wa udaktari Hadi kuwa maprofesa elimu bado n Ile ile na n mfumo kila mtu ameukuta
Ndo maana mnaitwa misukule kwa kua hamjiongezi.Mnaishia pale alipo ishia mzungu
 
Mleta mada ameandika vizuri ila kwa kuchanganya mambo, kila kada ina kazi yake na kazi ya daktari sio hiyo uliyotaja. Daktari hahusiki kabisa kwenye uvumbuzi wa dawa wala vifaa tiba, wenzetu ni kweli Mungu kawapa uwezo zaidi yetu ila daktari sio kazi yake kugundua dawa kwa ajili ya ugonjwa fulani.

Labda ungetupia lawama kwa pharmaceutical scientists, lakini sio daktari.
Huko ndiko kukariri kwenyewe
 
Madactar wengi kama sio wote ni wapumbavu na wanaoshiriki mfumo haramu wa kuangamiza maisha ya watu.

Wanajua kabisa baadhi ya dawa ni sumu lkn wanazidi kutushawishi tuzitumie,

Wanaweza kuwa na uwezo wa kumsaidia mtu apone lkn wanaendekeza maslahi mbele ya pesa.

Tiba ya magonjwa mengi ipo na inapatikana lkn kutokana na ushenzi waliofundishwa huko mavyuoni kuwa magonjwa fulani hayatibiki basi nao wamekuwa wapuuzi wanaozipinga tafiti asilia zinazotibu hayo magonjwa ambayo vyuoni wameaminishwa hayatibiki


Madactari ni mapromoter na wapiga debe wa matajiri na wafanya biashara dunian ambao wanaitumia Hii sector kama biashara yao ya kujinufaisha na kuutawala ulimwengu kupitia magonjwa feki, tiba feki na uzushi mwingi.

Magonjwa kama Ukimwi, Cancer, sijui vidonda vya tumbo, Presha, haya yanatibika na baadhi yao wanayosema ni magonjwa hayapo bali wameunda unda list ya vijigonjwa na kuvipa majina magumu yakutisha ili kuwahadaa watu kuwa hayo magonjwa hayatibiki, na wamewalaghai watawala wetu kuwa watakuwa wakiwapa misaada ya haya magonjwa kupitia chanjo, vifaa tiba, na mikopo ya kupambana na haya magonjwa, kumbe nyuma ya pazia ni uzushi unaoendelea na biashara haramu.

Afya ya binadamu ni biashara tamu sana ambayo inawatajirisha wengi sana kama hamuamini jiulizeni, mbona technolojia na sayansi imekua kubwa kwanini magonjwa hayakwishi? Kwanini kila siku maduka ya dawa na mahospitali yanaongezeka? Jibu ni moja tu hakuna solution yoyote iliyotengenezwa ili kutibu bali kuna mbinu haramu zimeboreshwa ili kuiboresha hii biashara haramu.

Magonjwa kama Ukimwi ni vitu ambavyo kiuhalisia havikutakiwa kupewa promo kama wanayoipa maana ukimwi kiuhalisia ni kakitu kadogo sana kanakozidiwa hata na homa, kiufupi ukimwi ni sawa na mafua ambayo yamepewa Promotion ya kutisha kuwa yanaangamiza na kuua ilihali hata ktk Top 10 ya magonjwa yanayoua huo ukimwi haupo na haujawai kuwepo, kiuhalisia Ukimwi haupp na haujawai kuwepo, bali kuna gonjwa la zinaa ambalo ni dogo kuliko hata UTI au kaswende, ambalo washenzi wanaonufaika na biashara ya madawa waliamua kuunda Hofu na kuieneza then watu walipoikubali hii hofu wakadanganywa kuhusu hiki kijigonjwa cha uongo wakiiitacho ukimwi.

Madactar acheni kusapoti ushetani mnaoufanya mahospitalini na mujali maisha ya watu, tunajua kuwa huo udactari wala sio wito bali ni kazi kama kazi zingine, sasa kwanini msitumie hizo akili zenu mlizotumia kukalili hizo pumba mnazotumia kutumaliza na badala yake mutumie akili kuleta mabadiriko ktk afya za watu? Kwanini msiwe wa kweli? Kwanini msianze kusapoti movement ya kuponya matatizo pasipo kutujazia matatizo mapya? Kwanini mnakua sehemu ya hii biashara haramu?

Madactari na waalimu ni watu ambao wametufikisha hapa tulipo kupitia hofu na kutujaza uongo mkubwa ambao kiuhalisia na kimtaa mtaa maisha hayapo kama wanavyotaka wao yawe, hawa ni baadhi ya watu, washenzi wa kikoloni wanawatumia kutudanganya,kutupotosha,kutiharibia afya zetu na kutumaliza taratibu kwa kujua ama bila kujua.

Bahati mbaya haya mambo wao wenyewe baadhi wanayafahamu na baadhi hawayafahamu na ndio hawa wanaopingapinga mambo.

[emoji117]Mark this: Unapoona maduka ya dawa yameongezeka, vituo vya afya kuongezeka, mahospital kuongezeka, vifaa tiba kuongezeka, uonapo haya mambo hutakiwi kushangilia bali unatakiwa kusikitika kwa huzuni kubwa kwa maana kifo kipo karibu na njia zake zinaboreshwa kila siku ili kifo kikufikie popote ulipo, kiufupi namaanisha penye nyuki ndipo penye asali, hii biashara haramu inakua kweli kweli, mitaani imechanganya kwelikweli na imekubali kutokana ongezeko la wateja(wagonjwa).

Muda wenu utafika tu wa kuumbuka.
 
Huko ndiko kukariri kwenyewe
Basi kama ni kukariri tuombe walimu wakasimamie majengo, wachore michoro ya barabara na madaraja makubwa.

Hakuna ukiraka kwenye fani mkuu.
 
Madactar wengi kama sio wote ni wapumbavu na wanaoshiriki mfumo haramu wa kuangamiza maisha ya watu.

Wanajua kabisa baadhi ya dawa ni sumu lkn wanazidi kutushawishi tuzitumie,

Wanaweza kuwa na uwezo wa kumsaidia mtu apone lkn wanaendekeza maslahi mbele ya pesa.

Tiba ya magonjwa mengi ipo na inapatikana lkn kutokana na ushenzi waliofundishwa huko mavyuoni kuwa magonjwa fulani hayatibiki basi nao wamekuwa wapuuzi wanaozipinga tafiti asilia zinazotibu hayo magonjwa ambayo vyuoni wameaminishwa hayatibiki


Madactari ni mapromoter na wapiga debe wa matajiri na wafanya biashara dunian ambao wanaitumia Hii sector kama biashara yao ya kujinufaisha na kuutawala ulimwengu kupitia magonjwa feki, tiba feki na uzushi mwingi.

Magonjwa kama Ukimwi, Cancer, sijui vidonda vya tumbo, Presha, haya yanatibika na baadhi yao wanayosema ni magonjwa hayapo bali wameunda unda list ya vijigonjwa na kuvipa majina magumu yakutisha ili kuwahadaa watu kuwa hayo magonjwa hayatibiki, na wamewalaghai watawala wetu kuwa watakuwa wakiwapa misaada ya haya magonjwa kupitia chanjo, vifaa tiba, na mikopo ya kupambana na haya magonjwa, kumbe nyuma ya pazia ni uzushi unaoendelea na biashara haramu.

Afya ya binadamu ni biashara tamu sana ambayo inawatajirisha wengi sana kama hamuamini jiulizeni, mbona technolojia na sayansi imekua kubwa kwanini magonjwa hayakwishi? Kwanini kila siku maduka ya dawa na mahospitali yanaongezeka? Jibu ni moja tu hakuna solution yoyote iliyotengenezwa ili kutibu bali kuna mbinu haramu zimeboreshwa ili kuiboresha hii biashara haramu.

Magonjwa kama Ukimwi ni vitu ambavyo kiuhalisia havikutakiwa kupewa promo kama wanayoipa maana ukimwi kiuhalisia ni kakitu kadogo sana kanakozidiwa hata na homa, kiufupi ukimwi ni sawa na mafua ambayo yamepewa Promotion ya kutisha kuwa yanaangamiza na kuua ilihali hata ktk Top 10 ya magonjwa yanayoua huo ukimwi haupo na haujawai kuwepo, kiuhalisia Ukimwi haupp na haujawai kuwepo, bali kuna gonjwa la zinaa ambalo ni dogo kuliko hata UTI au kaswende, ambalo washenzi wanaonufaika na biashara ya madawa waliamua kuunda Hofu na kuieneza then watu walipoikubali hii hofu wakadanganywa kuhusu hiki kijigonjwa cha uongo wakiiitacho ukimwi.

Madactar acheni kusapoti ushetani mnaoufanya mahospitalini na mujali maisha ya watu, tunajua kuwa huo udactari wala sio wito bali ni kazi kama kazi zingine, sasa kwanini msitumie hizo akili zenu mlizotumia kukalili hizo pumba mnazotumia kutumaliza na badala yake mutumie akili kuleta mabadiriko ktk afya za watu? Kwanini msiwe wa kweli? Kwanini msianze kusapoti movement ya kuponya matatizo pasipo kutujazia matatizo mapya? Kwanini mnakua sehemu ya hii biashara haramu?

Madactari na waalimu ni watu ambao wametufikisha hapa tulipo kupitia hofu na kutujaza uongo mkubwa ambao kiuhalisia na kimtaa mtaa maisha hayapo kama wanavyotaka wao yawe, hawa ni baadhi ya watu, washenzi wa kikoloni wanawatumia kutudanganya,kutupotosha,kutiharibia afya zetu na kutumaliza taratibu kwa kujua ama bila kujua.

Bahati mbaya haya mambo wao wenyewe baadhi wanayafahamu na baadhi hawayafahamu na ndio hawa wanaopingapinga mambo.

[emoji117]Mark this: Unapoona maduka ya dawa yameongezeka, vituo vya afya kuongezeka, mahospital kuongezeka, vifaa tiba kuongezeka, uonapo haya mambo hutakiwi kushangilia bali unatakiwa kusikitika kwa huzuni kubwa kwa maana kifo kipo karibu na njia zake zinaboreshwa kila siku ili kifo kikufikie popote ulipo, kiufupi namaanisha penye nyuki ndipo penye asali, hii biashara haramu inakua kweli kweli, mitaani imechanganya kwelikweli na imekubali kutokana ongezeko la wateja(wagonjwa).

Muda wenu utafika tu wa kuumbuka.
Umeeleza vema sana.
 
Madactar wengi kama sio wote ni wapumbavu na wanaoshiriki mfumo haramu wa kuangamiza maisha ya watu.

Wanajua kabisa baadhi ya dawa ni sumu lkn wanazidi kutushawishi tuzitumie,

Wanaweza kuwa na uwezo wa kumsaidia mtu apone lkn wanaendekeza maslahi mbele ya pesa.

Tiba ya magonjwa mengi ipo na inapatikana lkn kutokana na ushenzi waliofundishwa huko mavyuoni kuwa magonjwa fulani hayatibiki basi nao wamekuwa wapuuzi wanaozipinga tafiti asilia zinazotibu hayo magonjwa ambayo vyuoni wameaminishwa hayatibiki


Madactari ni mapromoter na wapiga debe wa matajiri na wafanya biashara dunian ambao wanaitumia Hii sector kama biashara yao ya kujinufaisha na kuutawala ulimwengu kupitia magonjwa feki, tiba feki na uzushi mwingi.

Magonjwa kama Ukimwi, Cancer, sijui vidonda vya tumbo, Presha, haya yanatibika na baadhi yao wanayosema ni magonjwa hayapo bali wameunda unda list ya vijigonjwa na kuvipa majina magumu yakutisha ili kuwahadaa watu kuwa hayo magonjwa hayatibiki, na wamewalaghai watawala wetu kuwa watakuwa wakiwapa misaada ya haya magonjwa kupitia chanjo, vifaa tiba, na mikopo ya kupambana na haya magonjwa, kumbe nyuma ya pazia ni uzushi unaoendelea na biashara haramu.

Afya ya binadamu ni biashara tamu sana ambayo inawatajirisha wengi sana kama hamuamini jiulizeni, mbona technolojia na sayansi imekua kubwa kwanini magonjwa hayakwishi? Kwanini kila siku maduka ya dawa na mahospitali yanaongezeka? Jibu ni moja tu hakuna solution yoyote iliyotengenezwa ili kutibu bali kuna mbinu haramu zimeboreshwa ili kuiboresha hii biashara haramu.

Magonjwa kama Ukimwi ni vitu ambavyo kiuhalisia havikutakiwa kupewa promo kama wanayoipa maana ukimwi kiuhalisia ni kakitu kadogo sana kanakozidiwa hata na homa, kiufupi ukimwi ni sawa na mafua ambayo yamepewa Promotion ya kutisha kuwa yanaangamiza na kuua ilihali hata ktk Top 10 ya magonjwa yanayoua huo ukimwi haupo na haujawai kuwepo, kiuhalisia Ukimwi haupp na haujawai kuwepo, bali kuna gonjwa la zinaa ambalo ni dogo kuliko hata UTI au kaswende, ambalo washenzi wanaonufaika na biashara ya madawa waliamua kuunda Hofu na kuieneza then watu walipoikubali hii hofu wakadanganywa kuhusu hiki kijigonjwa cha uongo wakiiitacho ukimwi.

Madactar acheni kusapoti ushetani mnaoufanya mahospitalini na mujali maisha ya watu, tunajua kuwa huo udactari wala sio wito bali ni kazi kama kazi zingine, sasa kwanini msitumie hizo akili zenu mlizotumia kukalili hizo pumba mnazotumia kutumaliza na badala yake mutumie akili kuleta mabadiriko ktk afya za watu? Kwanini msiwe wa kweli? Kwanini msianze kusapoti movement ya kuponya matatizo pasipo kutujazia matatizo mapya? Kwanini mnakua sehemu ya hii biashara haramu?

Madactari na waalimu ni watu ambao wametufikisha hapa tulipo kupitia hofu na kutujaza uongo mkubwa ambao kiuhalisia na kimtaa mtaa maisha hayapo kama wanavyotaka wao yawe, hawa ni baadhi ya watu, washenzi wa kikoloni wanawatumia kutudanganya,kutupotosha,kutiharibia afya zetu na kutumaliza taratibu kwa kujua ama bila kujua.

Bahati mbaya haya mambo wao wenyewe baadhi wanayafahamu na baadhi hawayafahamu na ndio hawa wanaopingapinga mambo.

[emoji117]Mark this: Unapoona maduka ya dawa yameongezeka, vituo vya afya kuongezeka, mahospital kuongezeka, vifaa tiba kuongezeka, uonapo haya mambo hutakiwi kushangilia bali unatakiwa kusikitika kwa huzuni kubwa kwa maana kifo kipo karibu na njia zake zinaboreshwa kila siku ili kifo kikufikie popote ulipo, kiufupi namaanisha penye nyuki ndipo penye asali, hii biashara haramu inakua kweli kweli, mitaani imechanganya kwelikweli na imekubali kutokana ongezeko la wateja(wagonjwa).

Muda wenu utafika tu wa kuumbuka.
Barikiwa mkuu
 
Back
Top Bottom