georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Hapana msinipe uwaziri mkuu. Ofisi ya waziri mkuu imeshuka sana heshima kipindi hiki. eti wanataka billioni moja ya kuzika viongozi ambao hawajulikani watakufa lini. huu ni ufisadi taken too far. Labda unipe uwaziri wa kukosoa kosoa na kupinga pingaMkuu georgeallen Tutakupa U-Waziri Mkuu unasemaje?Hutaki kupata cheo cha U-Waziri Mkuu wewe georgeallen?
ulianza vizuri lakini ukaharibu mbaya ulipomtaja babu yako eti naye ni dokta.
Mkuu Kifyatu Hongera sana kwa maneno yako ya Point, mimi hata wasiponiita Daktari sitoweza kukasirika ningelipenda pia waniite kwa jina langu kamili ninaitwa kwa jina hili (MziziMkavu Hauchimbwi Dawa) huwa ninafurahi mtu kuniita hilo jina langu mkuu kuliko hayo majina mengine ya kupachikwa na watu Daktari au Mganga wa kienyeji, jina langu kamili ndio hili tu MziziMkavu Hauchimbwi Dawa au unaweza kusema jina lingine Mchunguzi na Mtaalamu wa Dawa za mitishamba hilo jina pia langu siwezi kulikataa lakini hayo majina ya kizungu mie wapi na wapi jamani.
Mzizimkavu naye anataka aitwe Dr, hii ni tatizo kwa wapenda sifa wote wanataka waitwe madaktari, JK mwenyewe from my heart hastahili kuitwa Dr kama hajakwenda shule, sasa kama rais wa nchi anapenda kuitwa Dr wakati hastahili je wengine huku mtaani si kila mtu atajiita Dr
sijazungumzia maovu ya mtu bali nazungumzia talanta na merit. waatu wapewe uongozi by merit na wawe na talanta ya uongozi. siyo kwa sababu ya kujuana au alikuponyesha kwa mizizi
Mimi ni mbeba maboksi, mzee.Basi usitokwe na povu mkuu georgeallen, kwa kifupi mheshimiwa waziri mtarajiwa MziziMkavu mpaka hivi naandika haya bado hatujapata mtu mwenye maovu yake hivyo fani yake inamlinda kutokana na ujuzi/taaluma yake hivyo cheo chake bado kiko pale pale. Nikuulize kidogo, kwani wewe fani yako ni nini zaidi ya kulalamika?
Kifyatu hii kitu haipo- MD (mitishamba) honoris causa? Nimecheki google na Encyclopedia zote hamnaAsante Dr. MziziMkavu (Hauchimbwi Dawa) kwa humility unayoonyesha, lakini kwa michango yako mingi unayotoa hapa mimi nakutunukia MD (mitishamba) honoris causa. Keep it up.
Mimi ni mbeba maboksi, mzee.