Madalali mnachelewesha biashara za watu

Madalali mnachelewesha biashara za watu

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
748
Reaction score
367
Jamani nyinyi mnaojiita MADALALI naomba angalieni uwezekano wa kubadili jinsi ya ufanyaji kazi WENU, mnachelewesha Sana biashara kwasababu ya kuweka chajuu kikubwa na WAKATI mwingine mteja akifika Bei ya mwenye BIDHAA hamsababishi wauziane...nawaomba CHUKUENI Asante KUTOKA kwa muuzaji na mnunuzi Basi ili Mambo yawe mepesi...

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
😎Kafanyajwe
Kapewa nyumba auze ml.30, yeye kamleta mteja kamwambia ml.60-50 haishuki. Jamaa kamwambia nalipa 40 dalali kakataa katakata.

Sasa mnunuzi alidokezwa na mtu kuwa nyumba inauzwa mahali akamwambia nipeleke kumbe anapelekwa kwenye ile nyumba kakutana na mwenye nyumba kamuuliza kaambiwa ni ml.30. Jamaa akalipa cash bila kuombea, dalali anafika anakuta watu wanaandikishiana. Hakupewa hata Mia na mwenye nyumba wala kutoka kwa manunuzi.
 
Jamaa washenzi sana hawa. Gari la mil 5 anakusukumia mil 6.5-7
Nilikutana na dalali kanambia gar mil 8.5 nikaenda kanikutanisha na mwenye gari. Mwenye gari anataka 9 cash na dalali alimwambia yeye anataka 9 me nikakubali kulipa 9 lakini nikajua dalali kwangu hapati kitu coz nimeuziwa nje ya Bei aliyonambia heeee akaanza kulalamika nimpe laki mwenye gar akasema usimpe chochote maadam ameshatukutanisha hahahaha tukamuonea huruma tukamchangia 50,50akapewa laki wasumbufu Hawa usiombee awe na shida ya hela anadaiwa Kodi au ada huwa wanafos kinoma

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Jamani nyinyi mnaojiita MADALALI naomba angalieni uwezekano wa kubadili jinsi ya ufanyaji kazi WENU, mnachelewesha Sana biashara kwasababu ya kuweka chajuu kikubwa na WAKATI mwingine mteja akifika Bei ya mwenye BIDHAA hamsababishi wauziane...nawaomba CHUKUENI Asante KUTOKA kwa muuzaji na mnunuzi Basi ili Mambo yawe mepesi...

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hivi hatuna kampuni ya udalali Tanzania?

Hawa jamaa ni wajinga kabisa

Mimi mwenyewe walishanipa hasara kibao

Kuna sehemu eneo la milion 4 waliniuzia million 7 badae nikaja kujua iliniuma sana ile pesa

Tunahitaji kampun ya udalali inayoweka rates za chini mfano kitu cha milioni 5 anachukua laki 5 kwa mnunuaji na laki 5 kwa muuzaji biashara imeisha yule mnunuzi analipia 5.5 million
 
Hivi hatuna kampuni ya udalali Tanzania?

Hawa jamaa ni wajinga kabisa

Mimi mwenyewe walishanipa hasara kibao

Kuna sehemu eneo la milion 4 waliniuzia million 7 badae nikaja kujua iliniuma sana ile pesa

Tunahitaji kampun ya udalali inayoweka rates za chini mfano kitu cha milioni 5 anachukua laki 5 kwa mnunuaji na laki 5 kwa muuzaji biashara imeisha yule mnunuzi analipia 5.5 million
Mbona zipo nyingi MFANO kupatana Ila sasa tatizo ni kwamba wauzaji wengi sio wajanja wa kupost BIDHAA zao KWAHIYO wanaojua ndio wana kazi ya kuranda na Simu kupiga picha na kubandika matangazo...kuna wakati kupatana UNAWEZA ukagongana na mtu anauza kituchake mwenyewe biashara inakua nyepeeesiiiiiii

Muhimu ni jamii kuamka ukiwa na BIDHAA yako weka mtandaoni wakufuate japo hao madalali hukohuko pia wamejaa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nilikutana na dalali kanambia gar mil8.5 nikaenda kanikutanisha na mwenye gar mwenyegar anataka 9 cash na dalali alimwambia yeye anataka 9 me jikakubali kulipa 9 lakin nikajua dalali kwangu hapat kitu coz nimeuziwa nje ya Bei aliyonambia heeee akaanza kulalamika nimpe laki mwenye gar akasema usimpe chochote maadam ameshatukutanisha hahahaha tukamuonea huruma tukamchangia 50,50akapewa laki wasumbufu Hawa usiombee awe na shida ya hela anadaiwa Kodi au ada hua wanafos kinoma

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hii mijamaa ni noma hafu tamaa mbele. Usikute mwenye nyumba anapangisha 250 yenyewe inakwambia 300,000/=. Bila kujua kuwa mlipaji ataumia kila mwezi. Na hii ili apate hako ka 50,000 ka juu
 
Hivi hatuna kampuni ya udalali Tanzania?

Hawa jamaa ni wajinga kabisa

Mimi mwenyewe walishanipa hasara kibao

Kuna sehemu eneo la milion 4 waliniuzia million 7 badae nikaja kujua iliniuma sana ile pesa

Tunahitaji kampun ya udalali inayoweka rates za chini mfano kitu cha milioni 5 anachukua laki 5 kwa mnunuaji na laki 5 kwa muuzaji biashara imeisha yule mnunuzi analipia 5.5 million

Anzisha wewe msisubiri kila kitu mwingine afanye mnapishana na fursa.
 
Back
Top Bottom