Kweli Wewe NYENTE NAMBA MOJAWakale walipoacha hela ya mboga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Wewe NYENTE NAMBA MOJAWakale walipoacha hela ya mboga!
Wenye Mali pia tatizo. Sasa kama utaletewa mteja bei imeongezwa si umuambie ukweli mteja mbele ya dalali !! Au na muuzaji nae tamaa za dunia.Jamani nyinyi mnaojiita MADALALI naomba angalieni uwezekano wa kubadili jinsi ya ufanyaji kazi WENU, mnachelewesha Sana biashara kwasababu ya kuweka chajuu kikubwa na WAKATI mwingine mteja akifika Bei ya mwenye BIDHAA hamsababishi wauziane...nawaomba CHUKUENI Asante KUTOKA kwa muuzaji na mnunuzi Basi ili Mambo yawe mepesi...
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nadhani kama kuna dalali hapa na akaamua kutumia huu mfumo wa kamishen atapiga sana kaziAhahahaha wew ni Dalali wa Magari, bila shaka ulitaka kujitetea
Punguzeni kuweka cha Juu kikubwa, chukueni Commission tu inatosha
Kwenye hii nchi fursa ni nyingi Sana ukitulia kuanza kutafuta MATATIZO ya watu ukaamua KUWASAIDIA utagundua watu wanashida nyingi Sana... na wanahitaji msaadawenye Mali pia tatizo. Sasa kama utaletewa mteja bei imeongezwa si umuambie ukweli mteja mbele ya dalali !! Au na muuzaji nae tamaa za dunia
Halafu kitu haikitoki sasa maana bei watu wanajua wengine nashangaa hupati mteja kumbe kuna mpumbafu mmoja kuweka upajaMtu anauza kitu chake,let's say 5mln dalali anatangaza kukiuza 15mln
Lakini hiyo yote ni tamaa iliyowajaa
Ova
Aisee mtu anapata 120m kirahisi na bila jashoAfadhali hiyo. Nyumba (kiwanja cha 80M), wao wameuza 200M. Eti wachukue 120M. Mwenye nyumba kagoma hauzi tena!
Watu wa ajabu sanaHalafu kitu haikitoki sasa maana bei watu wanjua wengine nashangaa hupati mteja kumbu kuna mpumbafu mmoja kuweka upaja
Ng'ombe sana hawa jamaaAfadhali hiyo. Nyumba (kiwanja cha 80M), wao wameuza 200M. Eti wachukue 120M. Mwenye nyumba kagoma hauzi tena!
Siku zote kwa kitu chochote lipa kwa mwenye mali sio dalaliHii kitu imenikuta madale nimeumia sana baada ya kununua kiwanja sqm 500 kupitia kwa dalali milioni 14 baada ya kukutana na jirani yangu niliyenunua kabla yake akanimbia amenunua milioni 8 kwa mwenye eneo
Eti jasho manenoAisee mtu anapata 120m kirahisi na bila jasho
U see..inaumiza Sana ukijajuaHii kitu imenikuta madale nimeumia sana baada ya kununua kiwanja sqm 500 kupitia kwa dalali milioni 14 baada ya kukutana na jirani yangu niliyenunua kabla yake akanimbia amenunua milioni 8 kwa mwenye eneo
Wale bwana hawajawahi kua MSAADA aisee labda ukiwa mvivu...Wanasaidia ila mmmmh
Pole sanaHii kitu imenikuta madale nimeumia sana baada ya kununua kiwanja sqm 500 kupitia kwa dalali milioni 14 baada ya kukutana na jirani yangu niliyenunua kabla yake akanimbia amenunua milioni 8 kwa mwenye eneo