Madalali mnachelewesha biashara za watu

Madalali mnachelewesha biashara za watu

Jamani nyinyi mnaojiita MADALALI naomba angalieni uwezekano wa kubadili jinsi ya ufanyaji kazi WENU, mnachelewesha Sana biashara kwasababu ya kuweka chajuu kikubwa na WAKATI mwingine mteja akifika Bei ya mwenye BIDHAA hamsababishi wauziane...nawaomba CHUKUENI Asante KUTOKA kwa muuzaji na mnunuzi Basi ili Mambo yawe mepesi...

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wenye Mali pia tatizo. Sasa kama utaletewa mteja bei imeongezwa si umuambie ukweli mteja mbele ya dalali !! Au na muuzaji nae tamaa za dunia.
 
wenye Mali pia tatizo. Sasa kama utaletewa mteja bei imeongezwa si umuambie ukweli mteja mbele ya dalali !! Au na muuzaji nae tamaa za dunia
Kwenye hii nchi fursa ni nyingi Sana ukitulia kuanza kutafuta MATATIZO ya watu ukaamua KUWASAIDIA utagundua watu wanashida nyingi Sana... na wanahitaji msaada

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Halafu kitu haikitoki sasa maana bei watu wanjua wengine nashangaa hupati mteja kumbu kuna mpumbafu mmoja kuweka upaja
Watu wa ajabu sana
Kuna madalali baadhi yao
Wanaharibu biashara za watu
Na kuwacheleweshea mambo yao

Ova
 
Hii kitu imenikuta madale nimeumia sana baada ya kununua kiwanja sqm 500 kupitia kwa dalali milioni 14 baada ya kukutana na jirani yangu niliyenunua kabla yake akanimbia amenunua milioni 8 kwa mwenye eneo
 
Back
Top Bottom