Madalali wa bongo mna matatizo gani lakini?

Madalali wa bongo mna matatizo gani lakini?

Hizi lugha ni za siri kumficha mteja, mfano sisi ambao mara nyingi tunasafiri na gari binafsi kuna lugha ya pesa wanatumia wale madalali wa abiria, ukiingia kichwa umepigwa. Unajua kuna pesa inaitwa mpira, paa, mpira paa, mbasa, talaa? Hahahaha
Ahahaa mambo ya:
Paa ndogo
Kieka
Vibee
Talaa ndogo
Vifoko
Paa
Misiki
Msev
Mteze
Mteze paa
Mbasa
Mbasa paa
Talaa
Talaa paa
Mifoko
Paa kubwa............
 
Mbona hii ndio tasnia kubwa Bongo kwa sasa kila mtu dalali

 
Ahahaa mambo ya:
Paa ndogo
Kieka
Vibee
Talaa ndogo
Vifoko
Paa
Misiki
Msev
Mteze
Mteze paa
Mbasa
Mbasa paa
Talaa
Talaa paa
Mifoko
Paa kubwa............
Mpira ni sh ngapi na paa ni sh ngapi na mteze ni sh ngapi
 
Sa ivi wana misemo Yao wanakuambia wahi haraka bosi kalewa😃😃

Screenshot_20240619-220018~2.jpg
 
I see, mtoa HOJA umeleta kitu cha msingi sana, hawa wanaojiita "MADALALI" hakika ni changamoto..yaani wana dunia yao wenyewe na mbaya zaidi wana confidence hiyo😀..WABADILIKE!
 
Back
Top Bottom